SCRIPTED: Je, mpira wa Kombe la Dunia una sumaku (magnet) ndani?

SCRIPTED: Je, mpira wa Kombe la Dunia una sumaku (magnet) ndani?

Kivip mkuu kwamba haiwezekani!?
achana na conspiracy theories zisizo na msaada kwenye maisha yako au hata ya ndugu zako. njoo na mikakati ya kuhakikisha Tanzania nzima inakuwa na supply ya maji ya uhakika kwa mwaka mzima.
 
Kama ni hivyo mbona ni rahisi kupanga matokeo?
1000460279.jpg
 
achana na conspiracy theories zisizo na msaada kwenye maisha yako au hata ya ndugu zako. njoo na mikakati ya kuhakikisha Tanzania nzima inakuwa na supply ya maji ya uhakika kwa mwaka mzima.
Hizo petty issues fanya wewe.
 
Timu za Afrika zimekuwa bure kabisa kwenye haya mashindano. Kwa hali hii hata king'amuzi silipii tena kuangalia huu upuuzi. Hiyo hela bora nikanywee pombe.
 
Kwa iyo sumaku inapeleka mpira kwa wazungu tu?,kwamba iyo sumaku inafanya wachezaji wa afrika weusi walewe sifa wakipata goli mbili bila adi dk85?, kwamba mashindano yale ni video game kwaiyo ata mayele nae anachezeshwa kwa kubojezwa pads?,kwamba wachezaji wote sio halisi? (WAAFRIKA WEUSI SISI BADO MANYANI KWA MAWAZO YA MTOA MADA)
 
Africa bana watu wanafanya investment kwenye Sports nyie mnawaza ushirikina na Conspiracy theories
 
Kweli kaka mwafrica akipiga shuti lina paa juu mzungu akipiga lina lenga goli.

Alisikika kijana mmoja akiwa na master sport mdomoni
 
Kitu kikishakua na teknorojia ndani yake kinaweza kua Controliwa

Mazungu ni mashenzi sana yakiamua jambo
 
Kweli kaka mwafrica akipiga shuti lina paa juu mzungu akipiga lina lenga goli.

Alisikika kijana mmoja akiwa na master sport mdomoni
 
Kuna madai kwamba baadhi ya video zilizowahi kuwekwa kwenye YouTube zilieleza kuwa mpira unaotumika kwenye Kombe la Dunia una sumaku (magnet) inayomwezesha mtu asiyejulikana kufanya baadhi ya maamuzi au kuathiri mwelekeo wa mchezo kulingana na maelekezo aliyopewa. Video hizo zinadaiwa kuondolewa baadaye.
Hizo video ziko wapi kwa sasa Mkuu?
 
Baadhi ya "conspiracy theorists" wameanza kuhoji namna ambavyo matukio na mifumo ya mashindano ya Kombe la Dunia hujitokeza, na kufanya mashindano hayo yaonekane kana kwamba yameandaliwa (scripted) kwa namna fulani.

Kuna madai kwamba baadhi ya video zilizowahi kuwekwa kwenye YouTube zilieleza kuwa mpira unaotumika kwenye Kombe la Dunia una sumaku (magnet) inayomwezesha mtu asiyejulikana kufanya baadhi ya maamuzi au kuathiri mwelekeo wa mchezo kulingana na maelekezo aliyopewa. Video hizo zinadaiwa kuondolewa baadaye.

Licha ya ukubwa na hadhi ya Kombe la Dunia, baadhi ya watu wanaamini kuwa huenda tunakuwa tunatazama mchezo unaodhibitiwa, kana kwamba ni "video game".
View attachment 3620372
Umeona goli la Harry Kane la pili ? Ile Kasi ya mpira sio ya kawaida kabisa
 
Waafrika sisi ni wabovu tusitafute excuse
 
Labda kama utazungumzia tukio kama hili
FB_IMG_1782971633475.jpg
 
Back
Top Bottom