SCRIPTED: Je, mpira wa Kombe la Dunia una sumaku (magnet) ndani?

SCRIPTED: Je, mpira wa Kombe la Dunia una sumaku (magnet) ndani?

Labda kama utazungumzia tukio kama hiliView attachment 3620382
1000460097.jpg
 
Na ndiyo maana Betting companies zinapiga hela ya kutosha
Na vipi yanga anapofungwa au Simba kufungwa Huwa mpira unaongozwa na jamaa fulani mwenye sumaku au 🤣
 
mpira wa Trionda una sensor ya kisasa ya 500Hz iliyojengwa ndani yake. Sensor hii inafuatilia mwendo wa mpira, kasi ya mashuti, mzunguko (spin), na mguso wa wachezaji kwa usahihi mkubwa, na data hutumika kusaidia VAR na mfumo wa AI kufanya maamuzi ya haraka na sahihi katika mechi za Kombe la Dunia 2026.
Kwa kifupi, mpira wa Trionda si mpira wa kawaida bali ni kifaa cha kiteknolojia kilichoundwa kuongeza usahihi, uwazi na msisimko katika mashindano ya FIFA World Cup 2026.
 
Kwa iyo sumaku inapeleka mpira kwa wazungu tu?,kwamba iyo sumaku inafanya wachezaji wa afrika weusi walewe sifa wakipata goli mbili bila adi dk85?, kwamba mashindano yale ni video game kwaiyo ata mayele nae anachezeshwa kwa kubojezwa pads?,kwamba wachezaji wote sio halisi? (WAAFRIKA WEUSI SISI BADO MANYANI KWA MAWAZO YA MTOA MADA)
Mkuu punguza hasira.

Kwahiyo wewe kwa akili yako finyu unadhani hicho kitu hakiwezekani!?
 
Africa bana watu wanafanya investment kwenye Sports nyie mnawaza ushirikina na Conspiracy theories
Conspiracy theories sio za Afrika tu mbona ni issue za Dunian nzima.

Halafu wapi nimeongelea Africa kwenye uzi huu.

Au ni vile najibishana na taahira hapa.
 
Kweli kaka mwafrica akipiga shuti lina paa juu mzungu akipiga lina lenga goli.

Alisikika kijana mmoja akiwa na master sport mdomoni
Naona mataahira wapo wengi humu.

Hujaelewa hata mada unachangia kama umekatwa kichwa.
 
Baadhi ya "conspiracy theorists" wameanza kuhoji namna ambavyo matukio na mifumo ya mashindano ya Kombe la Dunia hujitokeza, na kufanya mashindano hayo yaonekane kana kwamba yameandaliwa (scripted) kwa namna fulani.

Kuna madai kwamba baadhi ya video zilizowahi kuwekwa kwenye YouTube zilieleza kuwa mpira unaotumika kwenye Kombe la Dunia una sumaku (magnet) inayomwezesha mtu asiyejulikana kufanya baadhi ya maamuzi au kuathiri mwelekeo wa mchezo kulingana na maelekezo aliyopewa. Video hizo zinadaiwa kuondolewa baadaye.

Licha ya ukubwa na hadhi ya Kombe la Dunia, baadhi ya watu wanaamini kuwa huenda tunakuwa tunatazama mchezo unaodhibitiwa, kana kwamba ni "video game".
View attachment 3620372
Unaleta mambo ya NBC PL duniani sio?
 
Back
Top Bottom