Inatengenezeka?, na itagharimu kiasi ganiHicho kioo kimevunjika. kwa kawaida vioo vya LCD vina matabaka zaidi ya moja na kila tabaka limefunikwa kwa material kama plastic. Sasa hapo kioo kimevunjika kwa ndani na juu kimefunikwa na plastic.
Angalia hapo chini nimeweka picha ya kioo kilichovunjika ingawa hakionekani kwa macho na hicho kingine kinaonesha mstari kabisa.
Kubadilisha kioo ndio suluhisho hapo. Itakugharimu takriban 100,000 hadi 150,000 kwa kioo kipya kabisa.Inatengenezeka?, na itagharimu kiasi gani
Pole sana mkuu kama upo DAR ES SALAAM mm nitakubadilishia kwa Tsz 75000/=Inatengenezeka?, na itagharimu kiasi gani