Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,196
- 2,151
Habari za mchana wakuu,
Naomba msaada wadau jinsi ya kuifanya website yangu kuwa bookmark app yaani mtu aki add kwenye homescreen inakua kama app na mtu akifungua inakua full screen kama app haioneshi navigations au url tab kwa juu. Nimeweka screenshot zinazoonesha utofauti kwa uelewa zaidi.
Naomba msaada wadau jinsi ya kuifanya website yangu kuwa bookmark app yaani mtu aki add kwenye homescreen inakua kama app na mtu akifungua inakua full screen kama app haioneshi navigations au url tab kwa juu. Nimeweka screenshot zinazoonesha utofauti kwa uelewa zaidi.