Scottish independence results: NO side wins plebiscite!

Scottish independence results: NO side wins plebiscite!

Scotland will remain part of the United Kingdom -- along with England, Wales and Northern Ireland -- following a historic referendum vote.

A majority of voters rejected the possibility of Scotland breaking away and becoming an independent nation.
Scottish First Minister Alex Salmond admitted defeat in a televised statement early Friday -- and urged the rest of Scotland to do the same.


He thanked Scotland "for 1.6 million votes for Scottish independence."

Source: Scotland rejects independence in referendum - CNN.com
Mkuu Kimbunga, asante kwa hii taarifa. Nashauri Zanzibar nako wafanye referendum kama wanautaka muungano au laa ili hizi kelele ziishe!.

Pasco
 
Zanzibar ni njaa zinawasumbua.wanataka kutawaliwa na mwarabu eti wanaamini neema itakuja. Sultani alikaa zenji muda gani? Aliacha nini? Muaafrica galafu changanya na udini (tena uislam) ujinga na uozo mtupu.

Hapo ndio IQ za wazungu zinapo kuwa kubwa kulinganisha na miafrika!! kinacho shindikana ni nini cha kuwapa hao unao waita wenye njaa kupewa haki ya kuulizwa kama wanautaka muungano huu au hawautaki?? kwa wa Scottish mzizi wa fitina umekwisha hata wale waliokuwa wanataka kujitenga watalizika na hutasikia tena wakidai hilo suala, kwani wao wenyewe sasa ndio wameamua kwani kukaa kwenye muungano miaka 307, bila kujua ulikuwaje ni shida.Lakini hapa ni shidaa hiyo hati tu ya muungano imeonekana kwa mbinde! wa afrika democrasia tulilazimishwa tu.Na kama waziri mkuu wa Uk, angekuwa na akili kama za viongozi wetu hapa hii kura ya maoni isingeruhusiwa kamwe, ila wao wako fair chama kilitangaza katika kampeni yake kuwa kikishinda lazima kiwaulize wananchi wake kama wanataka kuendelea na muungano huo, na wamepewa nafasi hiyo na wameamua.Na hii itakuwa kama vuguvugu kwa wazanzibar kuitumia japo wapate nafasi ya kuulizwa tu.
 
zanzibar waiitishe kura ya maoni na wao waulizwe kama wanataka muungano
 
Scotland has voted to stay in the United Kingdom after voters decisively rejected independence.
With the results in from all 32 council areas, the "No" side won with 2,001,926 votes over 1,617,989 for "Yes".
Scotland's First Minister Alex Salmond called for unity and urged the unionist parties to deliver on more powers.
UK Prime Minister David Cameron said he was delighted the UK would remain together and said the commitments on extra powers would be honoured.
Mr Cameron said the three main unionist parties at Westminster would now follow through with their pledge of more powers for the Scottish Parliament.
"We will ensure that those commitments are honoured in full," he said.
He announced that Lord Smith of Kelvin, who led Glasgow's staging of the Commonwealth Games, would oversee the process to take forward the commitments, with new powers over tax, spending and welfare to be agreed by November, and draft legislation published by January.
_77689115_77689114.jpg
Chief counting officer Mary Pitcaithly declared the result at the Royal Highland Centre in Edinburgh

Scottish referendum results in detail
The prime minister also acknowledged that the people of England, Wales and Northern Ireland must have a bigger say over their affairs.
And he promised a resolution to the West Lothian question - the fact that Scottish MPs can vote on English issues at Westminster.
In other developments:

The result became a mathematical certainty at 06:08, as the returning officer in Fife announced a comfortable No vote.
Shortly afterwards, Mr Salmond said he accepted the defeat and called for national unity.
He said the referendum and the high turnout had been a "triumph for the democratic process" and promised to keep his pledge in the Edinburgh Agreement which paved the way for the referendum to respect the result and work for the benefit of Scotland and the United Kingdom.
Jump media player
Media player help

Out of media player. Press enter to return or tab to continue.



The moment the No side won an unassailable lead over the Yes camp

He told supporters: "The unionist parties made vows late in the campaign to devolve more powers to Scotland.
"Scotland will expect these to be honoured in rapid course - as a reminder, we have been promised a second reading of a Scotland Bill by March 27 next year.
And the First Minister said: "Whatever else we can say about this referendum campaign, we have touched sections of the community who have never before been touched by politics, these sections of the community have touched us and touched the political process."
In a rallying call to his supporters, Mr Salmond urged the Yes voters to reflect on how far they had come.
"I don't think any of us, whenever we entered politics, would have thought such a thing to be either credible or possible," he said.
"Over the last few weeks we have seen a scare and a fear of enormous proportions - not a scaremongering directed at the Scottish people but the scare and the fear at the heart of the Westminster establishment as they realise the mass movement of people that was going forward in Scotland.
Jump media player
Media player help

Out of media player. Press enter to return or tab to continue.



Alex Salmond and David Cameron react to the result

"Today of all days as we bring Scotland together, let us not dwell on the distance we have fallen short, let us dwell on the distance we have travelled and have confidence the movement is abroad in Scotland that will take this nation forward and we shall go forward as one nation."
This margin of victory for the Better Together campaign - 55% to 45% - was greater by about 3% than that anticipated by the final opinion polls. The winning total needed was 1,852,828.
_74982321_line976.jpg

What the 'No' vote means for Scotland and rest of the UK
_77684439_sc_no_304x96(1).gif


_74982321_line976.jpg

Speaking in Downing Street, Mr Cameron said the result was decisive.
He said: "Now the debate has been settled for a generation, or as Alex Salmond has said: 'Perhaps for a lifetime'.
"So there can be no disputes, no re-runs; we have heard the will of the Scottish people."
The prime minister also spoke of the implications for the other nations of the UK.
'English voices'"In Wales there are proposals to give the Welsh Government and Assembly more powers and I want Wales to be at the heart of the debate on how to make the United Kingdom work for all our nations," he said.
"In Northern Ireland, we must work to ensure that the devolved institutions function effectively."
Mr Cameron said "millions of voices of England must also be heard".
"The question of English votes for English laws, the so-called West Lothian question, requires a decisive answer so just as Scotland will vote separately in the Scottish Parliament on their issues on tax, spending and welfare, so too England as well as Wales and Northern Ireland should be able to vote on these issues.
"And all this must take place in tandem with and at the same pace as the settlement for Scotland."
_74982321_line976.jpg

The people have spoken. But it's not over.BBC political editor Nick Robinson
_77687788_77687784.jpg

The people have spoken. Scotland has rejected independence. The result has been accepted by both sides. So that you might think is that. Not a bit of it.
The fact that over 1.5m British citizens voted to break away from the rest of the UK, the fact that a majority in Scotland's biggest city - Glasgow - backed independence, the fact that the Westminster establishment briefly thought this vote was lost, is the reason for that.
The leaders of the three UK parties are now promising significant constitutional change and not just for Scotland but for England, Wales and Northern Ireland as well.
They have agreed on a timetable for giving more powers to the Scottish Parliament but are a long, long way from agreeing proposals.
Read more from Nick Robinson.
_74982321_line976.jpg

Alistair Darling, who led the Better Together campaign, said the people of Scotland had "chosen unity over division and positive change rather than needless separation".
"It is a momentous result for Scotland and also for the United Kingdom as a whole," he said.
Mr Darling said the result had "reaffirmed all that we have in common and the bonds that tie us together", adding: "Let them never be broken."
"As we celebrate, let us also listen," he said.
"More than 85% of the Scottish population has voted. People who were disengaged from politics have turned out in large numbers.
"While they have voted on the constitution, that was not the only or perhaps the major issue that drove them to the polls.
"Every political party must listen to their cry for change, which could be echoed in every part of our United Kingdom but had this opportunity to express itself in Scotland."
Mr Darling thanked his "great team of volunteers" who had worked on the Better Together campaign.
He added: "You represent the majority of opinion. Your voices have been heard. We have taken on the argument and won. The silent have spoken."
_74982321_line976.jpg

Constitutional revolution on the wayAnalysis by Andrew Marr
_77687781_77687780.jpg

What started as a vote on whether Scotland would leave the UK has ended with an extraordinary constitutional revolution announced outside Downing Street by the Prime Minister.
It throws down the gauntlet to the Labour Party, and hints that we are going to see very big change coming and it had better come quickly.
We always used to be told that if you laid all the economists in the world end to end they still wouldn't reach a conclusion and I think that could be said often about parliamentary committees and inquiries and commissions.
Well, it can't happen this time because it's not taking place in a sealed room with the Westminster parties, the old smug consensus, getting round an argument with each other as before.
This is really taking place in a huge glass house, being watched by all the Scottish voters and by millions of people around the UK.
What the Scottish shock has done is produce a constitutional revolution on a very, very tight timetable. Possibly the most exciting political story in my lifetime.
_74982321_line976.jpg

_77689887_reuters.jpg
"No supporters celebrate after their decisive victory

_77689122_77689118.jpg
A man walks past a discarded "Yes" campaign paper hat on the Royal Mile ain Edinburgh

_77689558_77689434.jpg
Pro-independence supporters console one another in Edinburgh

_77689878_77689565.jpg
"No" campaigners were jubilant as the scale of the result became known

_77689881_77689561.jpg
Many "Yes" supporters were visibly upset by the result

Mr Salmond's deputy, Nicola Sturgeon, said in an earlier concession statement that there was a "real sense of disappointment that we have fallen narrowly short of securing a 'Yes' vote".
But she said the country had been "changed forever" and vowed to work with "anyone in any way" to secure more powers for Scotland.
Across Scotland, the "No" vote was a majority in 28 of the country's 32 local authority areas.
Glasgow, Scotland's largest council area and the third largest city in Britain, voted in favour of independence by 194,779 to 169,347, with Dundee, West Dunbartonshire and North Lanarkshire also voting "Yes".
But Edinburgh, the nation's capital, rejected independence by 194,638 to 123,927, while Aberdeen City voted "No" by a margin of more than 20,000 votes.
 
By Farrel Jnr Foum

Kura za hapana zilizoshinda leo hazijaja kwa urahisi maana ahadi za kurejesha mamlaka makubwa Scotland yataifanya nchi hii kuwa na mfumo mpya wa muungano wao. Bwana Alex Salmond namuona ni mwenye kipaji kikubwa na mwenye kujiamini, anajuwa anachokifanya na nina hakika hii ilikuwa ni one man war against vyama vyote vikuu, hata wakubwa waliostaafu na kubezwa katika siasa za nchi kama Gordon Brown naye pia alijitumbukiza kuhakiksha hawajitengi na umoja wao. Dunia nzima ilihamia Scotland kuhakikisha no vote inapatikana. Nakumbuka hata Bill clinton nae aliwasihi kutojitenga kwa vile madhara yake ni makubwa zaidi kwa alliance wa marekani wanaemtegemea.

Kura za asilimia 45 ni nyingi ukitazama namna gani alivyoshinda na establishment ya miaka 300 ya umoja wao. Lakini naamini hakufanya tu bila ya plan maalum ya kuhakikisha madai ya Scotland yanasikika vizuri upande wa pili na pia mabadilko makubwa zaidi ya matarajio ya wengi ya kimamlaka kwao yanapewa nguvu hasa pale wataposhindwa kujitenga. Kwa waskotish leo ni ushindi juu yao kwa vile miezi minane inayokuja tutaona namna gani mamlaka makubwa yakielekea North kuanzia masula ya fedha, kodi, na hata uwezo wa kupanga fiscal policy zao. Chancelor wa fedha anaporwa mamlaka makubwa ya maamuzi kuelekea devolution ya bunge la scotland huku hata mgao wa fedha kwa scotland ukiengezeka maradufu kuliko kwa waingereza wenyewe. Hio ndio cost ya umoja wao.

Projects kubwa kubwa kama za welfare na hata pension zitawanufaisha zaidi waskotish kutokana na mamlaka waliokubaliwa kupewa. Lakini kuna possibility kubwa kwa England nayo kupewa devolution ya bunge lake. Hili halina mjadala, ninaamini katika miezi minane ijayo kilio cha waingereza kitazidi kukuwa hasa baada ya UKIP kulivalia njuga suala zima la mamlaka makubwa kwa Scotland wakiwa si wapingaji bali wakidai nao usawa kwa bunge lao mahsusi kwa yale yaliokuwa hayamo katika umoja wao. Kwa sasa mamlaka waliopewa waskotish yatazidisha kelele za devolution kwa england ili kuepusha wabunge waskotland kuchangia masuala wasio yahusu ambayo kwa sasa yatazidi kuwa makubwa zaidi.
Wanaomdharau Alex Salmond hawajui strategies zake na za SNP walizozipanga, kwanza wataendelea kuwa madarakani kwa muda mrefu zaidi, kwa vile asilimia kubwa ya kura walizopata zinaonyesha wataweza kuunda serikali hasa kutokana na ukweli wa kutoiva kwa Labour na Tory katika uundaji wa serikali ya pamoja.

Pili wataendelea kuyatumia mamlaka watakayoongozewa kwa faida ya watu wao na zaidi kwamba wameweza kukidhi ahadi walioitoa ya kuleta referendum baada ya kuchaguliwa. Hili kwa upande wa uingereza chini ya uongozi wa Cameron linawaumiza kichwa kwa vile ahadi yao ya referendum kwa EU wameshindwa kuitekeleza kwa woga wa kushindwa na hata Labour pia anafahamu challenge zinazowakabili mbele yao.
Nilioyasoma kwa wenzetu:-
Kwanza ustaarabu walioutumia kuhakisha kampeni zao zinakwenda kisheria na kuheshimiana.
Pili uhuru wa maoni ya kila mmoja bila ya kufukuzana, kupandikiziana kesi na kutishana kwa uingiaji wa msituni kupinga ukuwaji wa maoni ya wananchi.
Tatu hakukuwa na matusi yalioelekezwa kwa aliekuja na kura ya maoni kwa sababu uhuru wa kusikiliza maoni ya wananchi unaheshimiwa na demokrasia ni nguzo ya utawala wenye nguvu.
Nne umoja umelindwa kwa kusikilizwa malalamiko yao na kuhakikisha unalindwa kwa kuwapa mamlaka yao waskotish wanayoyadai.
Tano kwa lolote lenye mashaka, njia bora ni kurejea kwa wananchi na kuweza kupata kauli moja kubwa ya kuondosha utata.
Sita wingi wa wabunge wa SNP katika scotland haukuwafanya kupindisha taratibu au kupandikiza maoni yao kwa jambo lenye nguvu ya wananchi, walikubali kulirejesha moja kwa moja kwa wananchi kusikiliza maoni yao.
Saba umoja wa kweli ni wa kuheshimiana, wa kufuata haki na usawa kwa kila upande.
Nane hata katika miungano mikubwa yenye faida kwa pande zote ikiwa hakuna haki, usawa, heshima na kusikilizwa kwa maoni ya wananchi hakuna guarantee ya kudumu kwa miungano hio.
Tisa tunapojadili faida za miungano tujikite katika uzito wa hoja si kelele za mchele wa mbeya na tashtiti za dharau kwa wengine. Khofu ya jeshi kuchukuwa nchi na tashtiti za kutuita wauza vitunguu haitasaidia kurejesha umoja tunaoutamani.
Kumi tunapopima faida za kuwepo kwa muungano tusidharau mchango wa sehemu nyengine kwa sababu ya udogo wake na udogo wa population yake. Uingereza inapopulation ya watu milio sitini, scotland milioni sita, ratio ya 6:1. Na kwetu pia milioni arobaini kwa milioni moja haiwapi haki walio,wengi na kuzima kwa wachache.
Nimalizie kwa waliofurahia referendum ya No vote kwa Scotland, wafahamu kwanza faida ya referendum ambayo kwa upande wetu imekuwa ikichezewa chezewa kisiasa.
Pili ikiwa referndum ya no vote ya 55% ni ya kupigiwa makofi na kupongezana, wakumbuke pia mabadiliko ya zanzibar ya katiba ya 2010 yalikuja na ushindi wa asilimia 66. Imagine kama No vote wangelipata ukubwa wa majority ya asilimia 66.
Wito wangu ni kwa wenye mamlaka kutuuliza nasi wananchi wa nchi hizi mfumo gani wa serikali tunaoutaka katika muungano na mabadiliko tunayoyatarajia. Tunahitaji kura ya maoni kutuuliza kwa uwazi muelekeo wetu sio vyama kubeba hatamu na matashi ya wananchi.
 
Hii ya uskochi imenifanya ni amini kuwa mambo ya kiwa magumu kwelikweli hata hawa wanaojidai ni magwiji wa demokrasia ulimwenguni nao huwa wanachakata kura kupata matakoe wanayo yataka.

Hapa kura zimechakatwa kuepuka malkia kusikitishwa na kuhuzunika.
 
hii ishu ya kwetu ya muungano si inaweZa kuwa sorted kwa style kama hii,wanzazibari waseme wazi if they want in or not..au ishawahi fanyika before??
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Thubutu MAFISIEM wawaruhusu Wazenj wajiamulie kama wanataka wabaki kwenye Muungano awe wawe nchi huru. MAFISIEM wanajua itakula kwao Wazenj watafanya kweli na hapo ndipo Tanganyika yetu itafufuka tena.

hii ishu ya kwetu ya muungano si inaweZa kuwa sorted kwa style kama hii,wanzazibari waseme wazi if they want in or not..au ishawahi fanyika before??
 
thubutu mafisiem wawaruhusu wazenj wajiamulie kama wanataka wabaki kwenye muungano awe wawe nchi huru. mafisiem wanajua itakula kwao wazenj watafanya kweli na hapo ndipo tanganyika yetu itafufuka tena.

..what a new terminology !!!..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
That is not my problem, discuss this issue with the owners of this forum.

Ahsante mkuu haina haja ya kujadili tena nimeshaelewa kuputia BBC Swahili...

Sio tatizo lako ndio ni langu...

Barikiwa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tubarikiwe sote Mkuu lusungo

Nakutakia ​usiku mwema na weekend njema Mkuu

Ahsante mkuu haina haja ya kujadili tena nimeshaelewa kuputia BBC Swahili...

Sio tatizo lako ndio ni langu...

Barikiwa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kimbunga, asante kwa hii taarifa. Nashauri Zanzibar nako wafanye referendum kama wanautaka muungano au laa ili hizi kelele ziishe!.

Pasco

Kwa kufanya hivi tutakuwa tumekata mzizi wa fitina. Tusisusbiri tufanye sasa.
 
alex-salmond-564x272.jpg
Waziri Mkuu wa Scotland Aliyejiuzulu Alex Salmond

Kura za hapana zilizoshinda leo hazijaja kwa urahisi maana ahadi za kurejesha mamlaka makubwa Scotland yataifanya nchi hii kuwa na mfumo mpya wa muungano wao. Bwana Alex Salmond namuona ni mwenye kipaji kikubwa na mwenye kujiamini, anajuwa anachokifanya na nina hakika hii ilikuwa ni one man war against vyama Farrell Foum

Kura za hapana zilizoshinda leo hazijaja kwa urahisi maana ahadi za kurejesha mamlaka makubwa Scotland yataifanya nchi hii kuwa na mfumo mpya wa muungano wao.

Bwana Alex Salmond namuona ni mwenye kipaji kikubwa na mwenye kujiamini, anajuwa anachokifanya na nina hakika hii ilikuwa ni one man war against vyama vyote vikuu, hata wakubwa waliostaafu na kubezwa katika siasa za nchi kama Gordon Brown naye pia alijitumbukiza kuhakiksha hawajitengi na umoja wao.

Dunia nzima ilihamia Scotland kuhakikisha no vote inapatikana. Nakumbuka hata Bill clinton nae aliwasihi kutojitenga kwa vile madhara yake ni makubwa zaidi kwa alliance wa marekani wanaemtegemea.

Kura za asilimia 45 ni nyingi ukitazama namna gani alivyoshinda na establishment ya miaka 300 ya umoja wao.

Lakini naamini hakufanya tu bila ya plan maalum ya kuhakikisha madai ya Scotland yanasikika vizuri upande wa pili na pia mabadilko makubwa zaidi ya matarajio ya wengi ya kimamlaka kwao yanapewa nguvu hasa pale wataposhindwa kujitenga.

Kwa waskotish leo ni ushindi juu yao kwa vile miezi minane inayokuja tutaona namna gani mamlaka makubwa yakielekea North kuanzia masula ya fedha, kodi, na hata uwezo wa kupanga fiscal policy zao.

Chancelor wa fedha anaporwa mamlaka makubwa ya maamuzi kuelekea devolution ya bunge la scotland huku hata mgao wa fedha kwa scotland ukiengezeka maradufu kuliko kwa waingereza wenyewe. Hio ndio cost ya umoja wao.

Projects kubwa kubwa kama za welfare na hata pension zitawanufaisha zaidi waskotish kutokana na mamlaka waliokubaliwa kupewa. Lakini kuna possibility kubwa kwa England nayo kupewa devolution ya bunge lake.

Hili halina mjadala, ninaamini katika miezi minane ijayo kilio cha waingereza kitazidi kukuwa hasa baada ya UKIP kulivalia njuga suala zima la mamlaka makubwa kwa Scotland wakiwa si wapingaji bali wakidai nao usawa kwa bunge lao mahsusi kwa yale yaliokuwa hayamo katika umoja wao.

Kwa sasa mamlaka waliopewa waskotish yatazidisha kelele za devolution kwa england ili kuepusha wabunge waskotland kuchangia masuala wasio yahusu ambayo kwa sasa yatazidi kuwa makubwa zaidi.

Wanaomdharau Alex Salmond hawajui strategies zake na za SNP walizozipanga, kwanza wataendelea kuwa madarakani kwa muda mrefu zaidi, kwa vile asilimia kubwa ya kura walizopata zinaonyesha wataweza kuunda serikali hasa kutokana na ukweli wa kutoiva kwa Labour na Tory katika uundaji wa serikali ya pamoja.

Pili wataendelea kuyatumia mamlaka watakayoongozewa kwa faida ya watu wao na zaidi kwamba wameweza kukidhi ahadi walioitoa ya kuleta referendum baada ya kuchaguliwa.

Hili kwa upande wa uingereza chini ya uongozi wa Cameron linawaumiza kichwa kwa vile ahadi yao ya referendum kwa EU wameshindwa kuitekeleza kwa woga wa kushindwa na hata Labour pia anafahamu challenge zinazowakabili mbele yao.
Nilioyasoma kwa wenzetu:-

Kwanza ustaarabu walioutumia kuhakisha kampeni zao zinakwenda kisheria na kuheshimiana.

Pili uhuru wa maoni ya kila mmoja bila ya kufukuzana, kupandikiziana kesi na kutishana kwa uingiaji wa msituni kupinga ukuwaji wa maoni ya wananchi.

Tatu hakukuwa na matusi yalioelekezwa kwa aliekuja na kura ya maoni kwa sababu uhuru wa kusikiliza maoni ya wananchi unaheshimiwa na demokrasia ni nguzo ya utawala wenye nguvu.

Nne umoja umelindwa kwa kusikilizwa malalamiko yao na kuhakikisha unalindwa kwa kuwapa mamlaka yao waskotish wanayoyadai.

Tano kwa lolote lenye mashaka, njia bora ni kurejea kwa wananchi na kuweza kupata kauli moja kubwa ya kuondosha utata.

Sita wingi wa wabunge wa SNP katika scotland haukuwafanya kupindisha taratibu au kupandikiza maoni yao kwa jambo lenye nguvu ya wananchi, walikubali kulirejesha moja kwa moja kwa wananchi kusikiliza maoni yao.

Saba umoja wa kweli ni wa kuheshimiana, wa kufuata haki na usawa kwa kila upande.
Nane hata katika miungano mikubwa yenye faida kwa pande zote ikiwa hakuna haki, usawa, heshima na kusikilizwa kwa maoni ya wananchi hakuna guarantee ya kudumu kwa miungano hio.

Tisa tunapojadili faida za miungano tujikite katika uzito wa hoja si kelele za mchele wa mbeya na tashtiti za dharau kwa wengine. Khofu ya jeshi kuchukuwa nchi na tashtiti za kutuita wauza vitunguu haitasaidia kurejesha umoja tunaoutamani.

Kumi tunapopima faida za kuwepo kwa muungano tusidharau mchango wa sehemu nyengine kwa sababu ya udogo wake na udogo wa population yake. Uingereza inapopulation ya watu milio sitini, scotland milioni sita, ratio ya 6:1. Na kwetu pia milioni arobaini kwa milioni moja haiwapi haki walio,wengi na kuzima kwa wachache.

Nimalizie kwa waliofurahia referendum ya No vote kwa Scotland, wafahamu kwanza faida ya referendum ambayo kwa upande wetu imekuwa ikichezewa chezewa kisiasa.

Pili ikiwa referndum ya no vote ya 55% ni ya kupigiwa makofi na kupongezana, wakumbuke pia mabadiliko ya zanzibar ya katiba ya 2010 yalikuja na ushindi wa asilimia 66. Imagine kama No vote wangelipata ukubwa wa majority ya asilimia 66.

Wito wangu ni kwa wenye mamlaka kutuuliza nasi wananchi wa nchi hizi mfumo gani wa serikali tunaoutaka katika muungano na mabadiliko tunayoyatarajia. Tunahitaji kura ya maoni kutuuliza kwa uwazi muelekeo wetu sio vyama kubeba hatamu na matashi ya wananchi.Mustakabl wa Waskochi


Chanzo: Mzalendo

http://mzalendo.net/makala/mustakabl-wa-waskochi.html
 
Back
Top Bottom