Wenzio wanailinda ccm sio vidampa ninyi mkifa hawana shida.Jaman TISS mko wapi? Watu kama hao mnawafuta kimyakimya!
Mtaalam wa ngumi halafu anatumia Visu na Bisibisi?!
bila shaka yeye ni mtaalamu wa bisibisi na visu, japo najua havina utaalamu hahaha.Hapo ilitakiwa ripoti tu, amejaribu kukimbia kapigwa ya mguu kafa basiDuh, afadhali huyo fedhuli kakamatwa, watu kama hao haina haja ya ushaidi ni kuwapiga mvua tu iwe fundisho kwa wengine
Huyo labda akaokokee gerezani,atakasike kwa Damu ya Yesu otherwise sijui tu,mbona hali itakuwa ngumu kwa wote watakaoshiriki kumtia hatianiilitakiwa apotezwe huyo hakuna cha miaka wala nini..huko anaenda kukomaa zaidi..
mvua ya nn...m naona wamtangulize kwa mungu awahi kujibu mashtakaDuh, afadhali huyo fedhuli kakamatwa, watu kama hao haina haja ya ushaidi ni kuwapiga mvua tu iwe fundisho kwa wengine