Science is the Savior of Humanity

Kusubiri sayansi ibatilishe uwepo wa Mungu ni kama kusubiri ramani ifute ardhi: ramani inapokuwa sahihi zaidi, ndivyo dunia inavyoonekana halisi zaidi.

Ni kama kutegemea kioo kifiche uso: picha inavyoonekana wazi zaidi, ndivyo uwepo unavyothibitishwa zaidi.

Ni kama kutafuta giza ndani ya moyo wa jua: unavyochunguza zaidi, ndivyo mwanga unavyoongezeka.
 
Kuna kitabu Cha mwarabu kimejaa ngonjera nyingi na kinaitwa " kimekamilika" na tunskatazwa kusoma kitabu kingine eti chenyewe kina Kila kitu. Niwaulize wahitimu wa kitabu hicho bacho hukaririwa. Je waliwahi kugundua hata sindano kutumia ilim iliyopo kwenye chapisho hilo la mwarabu?
 
Mbona Ilim, 😂😂😂😂
 


Napenda vilaza kama nyinyi
Na najua huna elimu ulikimbia umande au ulipitishwa na kimajina

Kwanza twende kwenye uvumbuzi, kama lugha haipandi shauri yako, ndio hasara ya kuwa kilaza

Kwenye hesabu, hakuna hesabu isiyokuwa na Aljebra
  • Algebra discipline: Al-Khwarizmi is considered the father of the algebra discipline. The word Algebra comes from the Arabic الجبر (al-jabr) in the title of his book Ilm al-jabr wa'l-muḳābala. He was the first to treat algebra as an independent discipline in its own right

Kwenye Utabibu, hii ndio ilikuwa encyclopaedia ya kufundishia udaktari mpaka ulaya miaka ile,
  • The Canon of Medicine (Arabic: القانون في الطب, romanized: al-Qānūn fī l-ṭibb) is an encyclopedia of medicine in five books compiled by Avicenna (ابن سینا, ibn Sina) and completed in 1025.It presents an overview of the contemporary medical knowledge of the Islamic world, It became the standard textbook for teaching in European universities into the early modern period, The Canon of Medicine remained a medical authority for centuries. It set the standards for medicine in medieval Europe and the Islamic world and was used as a standard medical textbook through the 18th century in Europe

Sasa twende kwenye Quran unayoita ngojera kama kuna uvumbuzi kulinganisha na upupu wa vatikani kuhusu yuda kamtomba huyu na kumzaa yule, au pumba za mazingaombwe ya kutoa mikate na samaki iliyofichwa kwenye magunia

In Surah Ar-Rahman, it states “He released the two seas, meeting [side by side], Between them is a barrier [so] neither of them transgresses” (Quran, 55:19-20).
  • Science has discovered that in places where two different seas meet, there is a barrier that divides them which helps both the seas maintain their own temperature, salinity, as well as density
  • The scientific understanding of the separation of seas and oceans—meaning the physical, hydrological, or geological barriers that keep different bodies of water from fully mixing—has been discovered and refined over several centuries, with key milestones occurring in the 16th, 18th, and 20th centuries.
 
Kabla hatujaisifu sayansi tumpe Kwanza sifa zake aliyemuumba BINADAMU alafu hyo binadamu ndo akagundua SAYANSI.
 
Embrace the Madness, hutaki kunya BOGA, nimekuelewa mkuu hapo umechukua point 3 ila kwa wale wafuasi wa kukanyaga mafuta utapata tabu huwaambii kitu
Baada ya miaka 50 ijayo jinsi sayansi inavyozidi kuleta mapinduzi na kuyafanya mambo mengi kuwa wazi na yaliyo kuwa yanaonekana kuwa ni miujiza Ya kimungu kuwa ni kitu Cha kawaida Hilo kundi la wakanyaga mafuta nalo lote litatoweka watu watakuwa wanahitaji fact tu na sio Imani za kidini

Tatizo ni kwamba Dini pia ni mtahi wa serikali nyingi zilizopo Duniani USA RUSSIA wanatumia dini kama Moja ya silaha za kuwatawala watu

Pindi hao super powers watakapo acha hiyo michezo ndio masuala ya Imani za kidini yatakapo kufa rasmi
 
So did Mohamed flew to heaven with a winged horse?
 
Kabla hatujaisifu sayansi tumpe Kwanza sifa zake aliyemuumba BINADAMU alafu hyo binadamu ndo akagundua SAYANSI.
Ni kweli ni Mungu wa Baruch De Spinoza, yule anaejidhihirsha kupitia gunduzi za kisayansi na mazingira asilia, na wala SIYO yule wa imani potofu/kishirikina (superstitious beliefs) za wakristo, wayahudi, na waisilamu
 
So did Mohamed flew to heaven with a winged horse?
Wakati Sayansi ya leo imejua kuna nguvu ya asili isiyoonekana na inayoundwa na maada ya isiyooneka na kwa kutokujua wakaamua kuita Dark Enegy na Dark Matter, na huu utafiti ndio unawasukuma kusema kuna uwezekano wa kuwa na mfumo mwingine wa maisha wenye viumbe huko anga za mbali, na pia kutoa baadhi ya ushahidi wa huo kwa matukio yasiyoelezeka, hapo ndio neno Aliens linapokuja kwenye picha kamili.
 
Ni kweli ni Mungu wa Baruch De Spinoza, yule anaejidhihirsha kupitia gunduzi za kisayansi na mazingira asilia, na wala SIYO yule wa imani potofu/kishirikina (superstitious beliefs) za wakristo, wayahudi, na waisilamu
Mungu wa waislam alikuwepo kitambo hata hii Dunia haikuwepo
 
Ishu ya dark Ishu ya dark matter na dark energy haihusiani kabisa na stori za imani potofu za kidini (superstitious beliefs) za waislamu, wakristo, na wayahudi.

Dark matter and dark energy is just an unknown matter and unknown energy respectively which is to be uncovered by science and not prayers, hija, or fasting and neither will it be found on the torah, bible, and quran.

Ishu ya Aliens ilikuwa far way back before the raised concerns of dark matter and energy.

Kuna mabilioni ya solar system kwenye universe tunamoishi.
Kuna mabilioni ya Galaxy kwenye universe kwenye universe tunamoishi.
Kuna mabilioni ya jua (stars) kubwa na ndogo kwenye universe tunamoishi.
Probably yes kuna uwezekano wa uwepo wa aliens ambao wanaweza kuwasilicone based ama carbon based kama sisi, na probably haitowezekana kuonana nao kwasabb ya umbali kutoka tulipo na wao walipo, lakini pia every galaxy and solar system is on motion. The universe is expanding, our galaxy is moving away from other galaxy, therefore to uncover the mystery and existence of aliens is highly improbable but not impossible.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…