kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 1,996
- 5,045
Kuna changamoto zinatokea kwenye maisha na baadhi zinaweza kutatuliwa na mamlaka husika. Mojawapo ya swala lenye changamoto sana ni swala la elimu ya shuleni na vyuoni. Natumaini wahusika (wazazi na serikali)wanaweza kupitia huku na kusaidia kutatua changamoto hizo.
JE KAMA WEWE ULIACHA SHULE AU CHUO, NI NINI KILISABABISHA UFIKIE MAAMUZI HAYO? NA JE KWA SASA UNAJUTIA AMA UNAONA ULIFANYA UAMUZI SAHIHI?
JE KAMA WEWE ULIACHA SHULE AU CHUO, NI NINI KILISABABISHA UFIKIE MAAMUZI HAYO? NA JE KWA SASA UNAJUTIA AMA UNAONA ULIFANYA UAMUZI SAHIHI?