Wana JF wenzangu naomba mchango wenu wa mawazo na msaada kwa manufaa ya wengi wenye mpango wa kujiendeleza kielimu, naomba kwa mwenye kufahamu namna mtu anaweza kuomba scholarship na kupata anifahamishe tafadhali,nawasilisha
Asanteni sana wadau mana pia nilikua nahitaji sana huu mpango,kwa kweli naenjoy sana hapa Jf na shukrani kwenu nyote mnaoenndelea kutoa msaada kwa kile mnachokijua,be blessed all.
Hivi wanaJF wenzangu naomba mnijuze zaidi kuna baadhi ya balozi kama ubelgiji,uholanzi nk kwa hapa Tz nasikia zinasaidia kusomesha graduates, naomba kujua huwa muda wa maombi unakuwa lini na wanataka uwe na sifa zipi,ntashukuru kwa mawazo mtakayonipa,asanteni
Fungua link hii Hatua za kuomba nafasi za masomo ughaibuni utaweza kusoma interview niliyofanya na Mwananchi kuhusu ni hatua zipi mtu azipitie kuweza kupata scholarships. Na pia unaweza kuniandikia hapa makulilo@makulilofoundation.org ukiwa na details za grades, program inayofikiria nikupe ushauri ufanyaje
Unaweza pia kupitia sites zangu, just google MAKULILO utasoma
[MAKULILO]Fungua link hii http://www.mwananchi.co.tz/magazines/33-maarifa/3780-hatua-za-kuomba-nafasi-za-masomo-ughaibuni.html" target="_blank">Hatua za kuomba nafasi za masomo ughaibuni</a> utaweza kusoma interview niliyofanya na Mwananchi kuhusu ni hatua zipi mtu azipitie kuweza kupata scholarships. Na pia unaweza kuniandikia hapa <a href="mailto:makulilo@makulilofoundation.org">makulilo@makulilofoundation.org</a> ukiwa na details za grades, program inayofikiria nikupe ushauri ufanyaje Unaweza pia kupitia sites zangu, just google MAKULILO utasoma
MAKULILO
California
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.