Scholarahip kwenda nje 2018

Scholarahip kwenda nje 2018

benaboy

Member
Joined
Oct 24, 2015
Posts
42
Reaction score
32
Kama kuna mdau anajua utaratibu wa kuapply sholarship kwenda nchi kama ukraine , china , Malaysia au nchi nyingine ambazo ni mshirika mzuri kusaidia elimu ya bongo naomba utupie.

Kuna dogo anahitaji utaratibu sema yupo form six saiv pale tosamaganga anapiga PCB na ndoto yake ni kwenda kupiga MEDICINE.

Sasa anahitaji utaratibu wa kuapply na link zenye offer kwa mwakani na application form kabisa halafu bahati mbaya hili limenipita kushoto..kama kuna mdau anaweza okoa jahazi afanye hivyo nene.
 
Kama kuna mdau anajua utaratibu wa kuapply sholarship kwenda nchi kama ukraine , china , Malaysia au nchi nyingine ambazo ni mshirika mzuri kusaidia elimu ya bongo naomba utupie.

Kuna dogo anahitaji utaratibu sema yupo form six saiv pale tosamaganga anapiga PCB na ndoto yake ni kwenda kupiga MEDICINE.

Sasa anahitaji utaratibu wa kuapply na link zenye offer kwa mwakani na application form kabisa halafu bahati mbaya hili limenipita kushoto..kama kuna mdau anaweza okoa jahazi afanye hivyo nene.
Mwambie aende British Council kwanza apige pepa ya English na afaulu then anitafute
 
Mwambie aende British Council kwanza apige pepa ya English na afaulu then anitafute
Sawa sawa bro...ngoja nifanye utaratibu baada ya sherehe hizi halafu nakutafuta.
 
Pepa nimeona zinaanzia laki 5 na 20, hiyo ni IELTS, pia kuna SAT na Toefil lazima apige pepa moja kama IELTS anatakiwa anape walau 5 kwenda juu. Ngumu kupata scholarship kama hajafanya mtiani mmoja wapo.
Oui hizi pepar zinakuwaga bei gani boss au free tu
 
Serikali ya Japan inasaidia watoto yatima au walipoteza mzazi mmoja kuweza kusoma mazomo ya cho kikuu japani. Kama unamjua yeyote na mwenye vigezo mpatie link hii afanye application, mwisho wa application ni Feb 24, 2018. Apply for the Ashinaga Africa Initiative — Ashinaga
Naskukuru sana mkali....lakin nimfatilia hii inataka mtu awe tayari na matokeo.......ivi hatuwez pata ambayo inaruhusu application mpaka angalau yatoke matokeo ..maana necta dogo anapiga mwaka huu
 
Back
Top Bottom