Gamba la Mbu
Senior Member
- Jun 28, 2020
- 159
- 419
Wakuu habarini!
Binafsi nimekuwa mkereketwa sana kila nionapo nyaraka rasmi hususani ya serikali inapokuwa na maandishi haya kwa chini
" Scanned by CamScanner "
Huwa naona nyaraka hiyo inajitolea uthamani wake na hivyo kupunguza au kuondoa kabisa uhalali wake
Wakati nafanya kazi shirika fulani la serikali nilikuwa natumiwa nyaraka za hivi mara kwa mara lakini niliweza kuzi- crop kwanza kisha nikaendelea nazo.
Jinsi ya Kuondoa hili neno" Scanned by CamScanner "
Ni rahisi sana. Hakikisha unapopakua application yako una-signup kwanza kabla ya kuanza kuitumia. Ukisha jisajili basi hutaliona hilo neno chini ya nyaraka uliyoi-scan.
Ni muhimu sana kuipa uthamani nyaraka yako.
Mfano hilo chini ni tangazo la kazi na limewekwa kwenye tovuti ya serikali. Inafikirisha kidogo.
Gamba was here.
Binafsi nimekuwa mkereketwa sana kila nionapo nyaraka rasmi hususani ya serikali inapokuwa na maandishi haya kwa chini
" Scanned by CamScanner "
Huwa naona nyaraka hiyo inajitolea uthamani wake na hivyo kupunguza au kuondoa kabisa uhalali wake
Wakati nafanya kazi shirika fulani la serikali nilikuwa natumiwa nyaraka za hivi mara kwa mara lakini niliweza kuzi- crop kwanza kisha nikaendelea nazo.
Jinsi ya Kuondoa hili neno" Scanned by CamScanner "
Ni rahisi sana. Hakikisha unapopakua application yako una-signup kwanza kabla ya kuanza kuitumia. Ukisha jisajili basi hutaliona hilo neno chini ya nyaraka uliyoi-scan.
Ni muhimu sana kuipa uthamani nyaraka yako.
Mfano hilo chini ni tangazo la kazi na limewekwa kwenye tovuti ya serikali. Inafikirisha kidogo.
Gamba was here.