SBC Tanzania yapunguza bei ya vinywaji vyake

SBC Tanzania yapunguza bei ya vinywaji vyake

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Ni kodi wamepunguziwa au wameanza kuchakachua maana sasa hivi ni 500
Vipi kuhusu coca hawawezi kulalamika kama punguzo halitokani na upungufu wa gharama za uzalishaji?
Naomba mungu TBL na Serengeti nao wafuate nyayo za Pepsi

Kampuni ya SBC Tanzania limited, watengenezaji na wasambazji wa vinywaji baridi, imepunguza bei ya vinywaji vyake kutoka shilingi mia sita hadi kufikia shilingi mia tano, kwa chupa yenye ujazo wa mililita 350 na 300.

Na kusema kuwa kupungua kwa bei hiyo hakuta athiri ubora wa soda zake.
 
Last edited by a moderator:
inaonekana mjini mgeni wewe ngoja utashangaa Mengi uku mjini mpaka papuchi inauzwa
 
Ni kodi wamepunguziwa au wameanza kuchakachua maana sasa hivi ni 500
Vipi kuhusu coca hawawezi kulalamika kama punguzo halitokani na upungufu wa gharama za uzalishaji?
Naomba mungu TBL na Serengeti nao wafuate nyayo za Pepsi
Via ipande hadi 10000
 
Washenzi tu hawa wamepunguza mikoa ya pwani tu,kwani wamesikia huku kijijini kwetu hatupendi kunywa soda
 
Arusha na Moshi Bei ya soda za kampuni ya Pepsi ni mia tano tu (500)
 
Hapo na kimpumu na kangala soko lake litasimama kwa muda, mkuu signature yako ungeweka 2020 au unasubii mpaka issue Zanzibar ipite?
 
Hahahaaa kibo10 unapenda kilaji wew
 
Kampuni ya SBC Tanzania limited, watengenezaji na wasambazji wa vinywaji baridi, imepunguza bei ya vinywaji vyake kutoka shilingi mia sita hadi kufikia shilingi mia tano, kwa chupa yenye ujazo wa mililita 350 na 300.

Na kusema kuwa kupungua kwa bei hiyo hakuta athiri ubora wa soda zake.
[video]https://youtu.be/p8FaChXaLNc[/video]
 
Soda za kampuni ya PepsiCo zinazotengenezwa Tanzania ubora wake uko chini sana kulinganisha na makampuni mengine au bidhaa za Pepsi toka nchi Nyingine
 
Labda ifike sh 200 ndio zitanunulika sana kwa maana soda hasa milinda ilikuwa zamani maana hata ikifunguliwa tu ndani chumba kizima utaisikia harufu ya milinda yani ni orange halisi lakini hizi za sasa mmh.. aibu SBC badilikeni tuleteeni bidhaa halisi kama zamani
 
Back
Top Bottom