Sayansi ya kutambua yai zima na bovu

choza choza

JF-Expert Member
Jan 17, 2019
1,650
2,989
Jana katka pitapita zangu alikuja mtu anauza mayai ya kuku, basi mimi na rafiki yangu tukamwita ili tununue, rafiki yangu yule akachukua mayai matatu akayaunganisha kwa ncha zake kisha akasema la katikati likizunguka ujue ni mazima, na kweli yai la katikati likafanya rotation.

Kisha akaliweka pembeni akachukua lingine tena likazunguka, nikamuuliza ni nguvu gani inafanya lizunguke akasema yeye hajui ila kwao ndio wanafanya hivo.

Sasa nimeleta hapa kama kuna wataalamu wanaojua hii njia, ni nguvu gani inafanya yai la katikati li rotate likiwa zima?
 
Jana katka pitapita zangu alikuja mtu anauza mayai ya kuku, basi mimi na rafiki yangu tukamwita ili tununue, rafiki yangu yule akachukua mayai matatu akayaunganisha kwa ncha zake kisha akasema la katikati likizunguka ujue ni mazima, na kweli yai la katikati likafanya rotation.

Kisha akaliweka pembeni akachukua lingine tena likazunguka, nikamuuliza ni nguvu gani inafanya lizunguke akasema yeye hajui ila kwao ndio wanafanya hivo.

Sasa nimeleta hapa kama kuna wataalamu wanaojua hii njia, ni nguvu gani inafanya yai la katikati li rotate likiwa zima?
Njia rahisi ambayo haihitaji mayai matatu ni kuchukua yai moja na kulishika kwa kuzungushia vidole viwili vya mwanzo na kulitazama kwa kuelekea jua, zima utaona njao na bovu jeusi.
 
sidhani kama comment yangu inahusiana na mm kuitwa dogo.
Inahusiana ww mtu akiita maji neno mma haihusiani na utoto? Je mwanaume akisema hapendi wanaume wenye vitamin haihusiani na ushoga? Ww umeongea ki immaturity una moaka chini ya 35 .tusikuite dogo?
 
Jana katka pitapita zangu alikuja mtu anauza mayai ya kuku, basi mimi na rafiki yangu tukamwita ili tununue, rafiki yangu yule akachukua mayai matatu akayaunganisha kwa ncha zake kisha akasema la katikati likizunguka ujue ni mazima, na kweli yai la katikati likafanya rotation.

Kisha akaliweka pembeni akachukua lingine tena likazunguka, nikamuuliza ni nguvu gani inafanya lizunguke akasema yeye hajui ila kwao ndio wanafanya hivo.

Sasa nimeleta hapa kama kuna wataalamu wanaojua hii njia, ni nguvu gani inafanya yai la katikati li rotate likiwa zima?
Mimi nafahamu ile njia ya kuyaweka mayai kwenye maji ndani ya chombo kama bakuli au kikombe ambapo zima huzama na bovu au ambalo limeanza kutengeneza kifaranga huelea au kubadilisha mkao, yaani ncha huja juu ya maji.
 
Jana katka pitapita zangu alikuja mtu anauza mayai ya kuku, basi mimi na rafiki yangu tukamwita ili tununue, rafiki yangu yule akachukua mayai matatu akayaunganisha kwa ncha zake kisha akasema la katikati likizunguka ujue ni mazima, na kweli yai la katikati likafanya rotation.

Kisha akaliweka pembeni akachukua lingine tena likazunguka, nikamuuliza ni nguvu gani inafanya lizunguke akasema yeye hajui ila kwao ndio wanafanya hivo.

Sasa nimeleta hapa kama kuna wataalamu wanaojua hii njia, ni nguvu gani inafanya yai la katikati li rotate likiwa zima?
Mkuu hukuchukua video wakati anafanya hilo zoezi uiweke hapa.
 
Jana katka pitapita zangu alikuja mtu anauza mayai ya kuku, basi mimi na rafiki yangu tukamwita ili tununue, rafiki yangu yule akachukua mayai matatu akayaunganisha kwa ncha zake kisha akasema la katikati likizunguka ujue ni mazima, na kweli yai la katikati likafanya rotation.

Kisha akaliweka pembeni akachukua lingine tena likazunguka, nikamuuliza ni nguvu gani inafanya lizunguke akasema yeye hajui ila kwao ndio wanafanya hivo.

Sasa nimeleta hapa kama kuna wataalamu wanaojua hii njia, ni nguvu gani inafanya yai la katikati li rotate likiwa zima?
Zipo sayansi nyingi zisizo na majibu
  1. Yai hilohilo likiwa zima linaelea kwenye maji likiwa bovu linazama (au kinyume chake kama sijakosea)
  2. Nyoka anaweza kugandishwa asiondoke kwa kujishika kiwiko cha mkono au maziwa kwa wanawake
  3. Vidonda vya shingoni vinaweza kupona kwa kunywea maji kwenye ungo
  4. Unaweza kumzuia mwenye kigugumizi asiongee kabisa kwa kufunika ungo wakati anazungumza
  5. Mtu akisahau kitu ukitaka akumbuke huko aliko basi kiguse hicho alicho kisahau
 
Zipo sayansi nyingi zisizo na majibu
  1. Yai hilohilo likiwa zima linaelea kwenye maji likiwa bovu linazama (au kinyume chake kama sijakosea)
  2. Nyoka anaweza kugandishwa asiondoke kwa kujishika kiwiko cha mkono au maziwa kwa wanawake
  3. Vidonda vya shingoni vinaweza kupona kwa kunywea maji kwenye ungo
  4. Unaweza kumzuia mwenye kigugumizi asiongee kabisa kwa kufunika ungo wakati anazungumza
  5. Mtu akisahau kitu ukitaka akumbuke huko aliko basi kiguse hicho alicho kisahau
Aisee! Mkuu ungo ni sehemu gani mwilini?
 
Jana katka pitapita zangu alikuja mtu anauza mayai ya kuku, basi mimi na rafiki yangu tukamwita ili tununue, rafiki yangu yule akachukua mayai matatu akayaunganisha kwa ncha zake kisha akasema la katikati likizunguka ujue ni mazima, na kweli yai la katikati likafanya rotation.

Kisha akaliweka pembeni akachukua lingine tena likazunguka, nikamuuliza ni nguvu gani inafanya lizunguke akasema yeye hajui ila kwao ndio wanafanya hivo.

Sasa nimeleta hapa kama kuna wataalamu wanaojua hii njia, ni nguvu gani inafanya yai la katikati li rotate likiwa zima?


Njia za kutengeneza Mayai ya kisasa hatari kweli munaopenda kula Mayai ya kisasa kazi kwenu.
 
Back
Top Bottom