kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Naona mashabiki wa simba wana lalamika sijui leo wamebebwa sijui wamebebwa maneno mengi kana kwamba refa alichukuwa mpira na kwenda kuweka ndani alafu ikawa goli
Na pili mpira ambao wanasema tumebebwa umepigwa kwa bahati mbaya na nzuri kwetu mpira ule haukuwa Assist au goli bali tulitumia nguvu zetu kutafuta goli
Tatu mngelikuwa ninyi mngeliweza? kwanini msikubali tu yanga wapo sawa
Na ukiona Azam ameonewa na wewe mpeni vocha refaa alafu tukutane
Tabu iko pale pale
Ukiona adui yako anakusifia rudi nyuma angalia umekosea wapi
Ila ukiona adui yako analalamika jua kabisa umewapiga kweli kweli
Na pili mpira ambao wanasema tumebebwa umepigwa kwa bahati mbaya na nzuri kwetu mpira ule haukuwa Assist au goli bali tulitumia nguvu zetu kutafuta goli
Tatu mngelikuwa ninyi mngeliweza? kwanini msikubali tu yanga wapo sawa
Na ukiona Azam ameonewa na wewe mpeni vocha refaa alafu tukutane
Tabu iko pale pale
Ukiona adui yako anakusifia rudi nyuma angalia umekosea wapi
Ila ukiona adui yako analalamika jua kabisa umewapiga kweli kweli