playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,661
- 1,581
Naona uneandika essay mkuu..tatizo mashabiki wa kiba ndugu nyie jaribuni kumshauri sio kumsifia tuu hii nyimbo alitakiwa ndio anayamiliki yeye sio yeye kushirikishwa yeye hapo mtamsifia tu lakini ukweli ukija kwenye nyimbo zake mwenyewe mbona hawi creative to that extent...msikae mumshindanishe na domo,domo yeye ni business oriented yeye ana deal na market ali kiba hayupo huko.......msikae mumshindanishe na domo mnapoteza muda tuuu
Hahahaaaaa jipe moyo na endeleeni kumpumbaza aendelee kupiga PLAYBACK kwenye show zake
Hapo kwenye bold mkuu umeteleza
Yani ni shiiidaaaaa nimehama timu rasimi naungana n nifah na team kibaa huyu jamaa anajua kwaheri team diamond mnisamehe tu nimeshindwa vumilia hiki kishindoAcha kabisa mama,sio kwa dance lile!
Karibuuuuuuuuuu.....Yani ni shiiidaaaaa nimehama timu rasimi naungana n nifah na team kibaa huyu jamaa anajua kwaheri team diamond mnisamehe tu nimeshindwa vumilia hiki kishindo
Poa timu kisimiHow I wish hizi timu maandazi (mnisamehe walengwa) zingefanya kazi ya ku promote vipaji na sio maugomvi ya kupambanisha wasanii wetu! East Afrika is blessed kwa kweli, the real cradle of mankind!
**Tuendelee kuandika historia! Good job!!
Hahaaaaaaaaaa htrDiamond ni Mwanamuziki machachari....Ali Kiba ni mwanamuziki Hodari
Ww jamaa kwa kukesha mitandaoni kama choko Fulani iviHahaaaaaaaaaa htr
huna sababu nyengine nyuma ya panzia?Yani ni shiiidaaaaa nimehama timu rasimi naungana n nifah na team kibaa huyu jamaa anajua kwaheri team diamond mnisamehe tu nimeshindwa vumilia hiki kishindo
acha wivu choko mwenzangu then nna hela ya bando sibahatishi...Ww jamaa kwa kukesha mitandaoni kama choko Fulani ivi
Wote waliosifu pia wamemsifu Kiba kuliko saut sol, ss unataka sifa apate Kiba alf lawama ndo wapate saut eti!?Sasa unamponda Kiba kwa beat ya wimbo alioshirikishwa?..
Ficha upumbavu wako mkuu..Usiifiche hekima yako...
Kiba kashirikishwa kuingiza vionjo na Sauti Sol...Wewe kwa ujuha wako na wivu wako wa Kiswahili unaanza kumponda Kiba badala ya producer aliyewatengenezea Sauti Sol beat...
Baeleze baelewe...Inaonekana umemjua kiba juzijuzi tu, nakushauri mfuatilie kwa ukaribu utajua kuwa kiba anatisha hadi kiuchezaji
We talentboy au talentgirl? ? Unaumia vipi kiuno kuwa kigumu we umesikia kiba mcheza show. .kama unataka kugawa na mwenye miuno mcheck hbabaWimbo uko moderate na ata Kiba pia kaimba moderate,hlf kiba kaimba kidogo sana so hajapata nafasi nzuri ya kudondosha zile silaha zake kwa kujinafasi zaidi,sasa cjui mashairi yalimuishia kutokana na idea ya wimbo au ndivo sauti souls walivompangia!n ways nimependa kile kipande cha dance and I wish video nzima ingekuwa vile,ila jamani Kiba ni mvivu sana wa kucheza yaani ana kiuno kigumu kama TOSI za Pemba,inabdi afanye sn mazoezi ili kiuno kiwe chepesi km sauti yake.
Huu ni zaidi ya ukweli...kwa anaependa mziki mzuri ni lazima uwe shabiki wa ali kiba
Ahaha right to speakkwa anaependa mziki mzuri ni lazima uwe shabiki wa ali kiba