Sauti......................... ........


hii inatokana na ishu nzima ya hormones...za kike zinazidi...then anakua na higher pitched sounding voice!...ina uhusiano sana na suala zima la homosexuality!...
na hii hupelekea hata nywele kama ndevu kutokua kwa wingi kama huyo aliyeonekana TBC
ANAKOSA UJASIRI:kwanza kwa sababu tayari ana tabia za wadada (um not saying women are not confident...LOL)
pili sauti walio nayo inawafanya wasiwe comfortable kuzungumza!...
 
Hivi tutasemaje kuhusu wale wanawake wenye sauti nene halafu pia wana nywele kwenye kidevu.....nadhani wale pia wanajiamini sana,halafu nasikia wengi wao matajiri
 
BAGAH hebu kohoa kidogo nisikie sauti yako...
 
raha ya mwanaume awe na sauti nzito.....
inaraha yake.....
yaani inanyevua, inahamasisha.....

ila sidhani kama sauti nyembamba ina ubaya....

sipendi mwanaume awe na sauti laini, samahani wale wa pwani ila sipendi mwanaume awe na sauti laini halafu awe na lafudhi ya pwani (tanga znz hivi.....) navumilia tu ....
 
Hivi sauti ni proportional na mambo mengine au?

Absolutely YES !
Sauti inahusika sana na mambo mengine kadhaa,
mf. Katika category ya Lovezone Sauti ndiyo chachizo la awali kabisa !
Wangapiwangapi wanasikika wakisema vitu kama :
"Aisey sijabahatika kuonana nae uso kwa macho, tumeongea by call lakini Sauti yake is too romantic"
Aidha Sauti pia huhusika for "Security purposely"
mf. Vibaka, Wezi baadhi ya nyakati hupigia mahesabu kwenda kufanya uhalifu kwenye nyumba flani na wakafika eneo la tukio , mara wakasikia sauti nzito zinakohoa kutoka vyumba tofauti huwapa uelekeo kwamba hapo watapata upinzani mkubwa na kutotekeleza azma yao.
Binafsi yangu siridhishwi kabisa na mwanaume mwenye sauti sterio .
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…