Kweli kabisa wanaume kuwa na sauti kama ya mwanamke huwa inakosesha raha kabisa nilisoma na kijana mmoja
hata mwalimu akimuuliza swali anaona aibu kujibu lakini mwambie kuandika atawashinda wote
Dah! mtoto wa kiume lake base bwana usidanganyike!sauti nzito inahamasisha nyie duh! wenye sauti za kama wanabana pua pole zao aisee! lazima watakosa comfidence tuu!
Kweli kabisa wanaume kuwa na sauti kama ya mwanamke huwa inakosesha raha kabisa nilisoma na kijana mmoja
hata mwalimu akimuuliza swali anaona aibu kujibu lakini mwambie kuandika atawashinda wote