Sauti ya Moze Iyobo inabadilika kama kinyonga?

Zawadi B Lupelo

JF-Expert Member
Jul 19, 2015
2,549
3,722
Wadau nimeona kuna uzi unamuonesha Moze Iyobo akihojiwa hivi karibuni huku sauti yake ikiwaacha wengi na mshangao.
Nimeingia YouTube na kukutana na video ya Moze Iyobo akiwa anatoa sauti kubwa na nzito hali iliyonifanya nijiulize kulikoni mtu mmoja ana sauti kubwa na ndogo? Je anaigiza sauti? Ipi ni sauti yake halisi kubwa au ndogo?
Msikilize hapa akitoa sauti kubwa


Hii hapa ndiyo sauti ya Moze Iyobo iliyowaacha watu na mshangao


Baada ya kuzikia hizo sauti hizi mbili je ipi sauti halisi ya Moze Iyobo?
 
Ni kutokana na mood pale akiongelea kuwapiga shilawadu alikuwa na mood ya hasira na ukakamavu hivyo ikapandisha sauti yake that's why ukiangalia mieleka au Boxing wakati wa matambo sauti ni tofauti na real sound ya mhusika.


Mm nimefurahi kujua kuwa kumbe ni kweli aliwapiga shilawadu.
 
Ni kutokana na mood pale akiongelea kuwapiga shilawadu alikuwa na mood ya hasira na ukakamavu hivyo ikapandisha sauti yake that's why ukiangalia mieleka au Boxing wakati wa matambo sauti ni tofauti na real sound ya mhusika.


Mm nimefurahi kujua kuwa kumbe ni kweli aliwapiga shilawadu.
Lakini anasauti ya kawaida tu ajaribu kuikaza tuhttps://youtu.be/ki7BRpEspsk
 
Wadau nimeona kuna uzi unamuonesha Moze Iyobo akihojiwa hivi karibuni huku sauti yake ikiwaacha wengi na mshangao.
Nimeingia YouTube na kukutana na video ya Moze Iyobo akiwa anatoa sauti kubwa na nzito hali iliyonifanya nijiulize kulikoni mtu mmoja ana sauti kubwa na ndogo? Je anaigiza sauti? Ipi ni sauti yake halisi kubwa au ndogo?
Msikilize hapa akitoa sauti kubwa


Hii hapa ndiyo sauti ya Moze Iyobo iliyowaacha watu na mshangao


Baada ya kuzikia hizo sauti hizi mbili je ipi sauti halisi ya Moze Iyobo?

Huyo wa kwanza ni mdananda tu anayetafuta kiki kwa mgongo wa Moze
 
Moze sauti yake haijakaa sawa sasa anavyoipimp ndio anaharibu kabisa inatoka kama "MPANDISHA MABEGA."
 
Back
Top Bottom