Sauti Sol wa Kenya ni hatari

Sauti Sol wa Kenya ni hatari

Weka picha ya huyo jamaa mrefu mkuu..

Hilo kundi ndo linaakisi maana halisi ya wanamuziki
Hawa jamaa wakuitwa Sauti Sol ni hatari. Nasikiliza hii ngoma wakiwa na BurnaBoy inaitwa Afrikan Star ni hatari. Good Melody,Lyrics,Beats Etc.[emoji91][emoji91]

Nakuja kugundua huyu jamaa mrefu ni zaidi kwa kundi lao jamaa hatari..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • images (9).jpeg
    images (9).jpeg
    8.6 KB · Views: 7
Back
Top Bottom