SAUTI: Membe kuwa Waziri Wkuu

SAUTI: Membe kuwa Waziri Wkuu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,224
Reaction score
162,858
Habari wakuu,

Gazeti la SAUTI la leo tarehe 01/01/2014, limeripoti kuwa waziri wa mambo ya nje mh.Bernad Membe ndie atakuwa waziri mkuu.Pia gazeti hili limeripoti kuwa Dr Asha Rose Migiro ndie atateuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje.

Vile vile gazeti hilo linasema mh Pinda kaamua kuachi ngazi kufuatia kelele za kumtaka ajiuzulu.

CHANZO:SAUTI

MY TAKE:
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
 
Hivi pinda bado anataka kuitwa mtoto wa mkulima?kwa mshahara wa Mil 30 per month?
 
Habari wakuu,

Gazeti la SAUTI limeripoti kuwa waziri wa mambo ya nje mh.Bernad Membe ndie atakuwa waziri mkuu.Pia gazeti hili limeripoti kuwa Dr Asha Rose Migiro ndie atateuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje.

Vile vile gazeti hilo linasema mh Pinda kaamua kuachi ngazi kufuatia kelele za kumtaka ajiuzulu.

CHANZO:SAUTI

MY TAKE:
Lisemwalo lipo kama halipo laja.

mbona mimi nimesikia membe waziri wa tamisemi kimkakati zaidi.
Source. New year
 
...labda comoro,aende na gazeti lake akapige promo...
 
Membe kuwa PM? Asahau kuwa mgombea urais. Zaidi ya Baba wa Taifa,Mwl JK,hakuna PM mwingine aliyefanikiwa kuwa mgombea urais,acha kupata hicho kiti cha urais,ingawa karibu wote walijitosa(isipokuwa Moringe name Warioba).
 
Membe kuwa PM? Asahau kuwa mgombea urais. Zaidi ya Baba wa Taifa,Mwl JK,hakuna PM mwingine aliyefanikiwa kuwa mgombea urais,acha kupata hicho kiti cha urais,ingawa karibu wote walijitosa(isipokuwa Moringe name Warioba).

Akili ya msukule wa mamvi! unaweza shangaa mtu huyuhuyu ndiye pro mamvi kana kwamba hajawahi kuwa waziri mkuu na kufukuzwa kazi kwa ufisadi maana njaa hupofusha macho!
 
Ha ha ha ha ha a dah you are very fun. Nimecheka mpaka basi
 
haiwezekani kutoa wote hao wakabaki makatibu wakuu tumalizie ngwe???!!!!

nilitoa huo ushauri mwezi november. Yaani ukiangalia walio bench unaweza kuona ni wabovu kuliko walio ndani na kinyume chake pia.
 
litakuwa jambo la busara sana ......

Maana hao waliobaki ndio hawa tunawaona bungeni na michango yao sio migeni kwetu ati!!!!!!
Kwa kweli kama inawezekana mkulu apunguze safari za nje akae na makatibu wapige kazi kwa kipindi kilichobaki hii ingia toka sasa haina tija tena!!!!!!

Mawaziri wasiwe wabunge jamani utendaji utaongezeka sababu watajua wakivurunda bunge litawashukia
,hii ya sasa uma huku unapuliza inakwamisha saaaaanaaaaa!!!!!
 
Back
Top Bottom