Saut huwa mna kiherehere cha kufungua chuo mapema.acha mkomeshwe.
Saut huwa mna kiherehere cha kufungua chuo mapema.acha mkomeshwe.
kuchelewa kufungua chuo ndo sifa?.
Nimefwatilia na kuhakiki kuwa, cheque ilishatumwa tangu January 22. Wewe subiria ifike Feb 22 ndo utaanza saini.
sa c unaona mnakua mko nje ya utaratibu wa bodi...?na mtakula nyasi mwaka huu.
Saut huwa mna kiherehere cha kufungua chuo mapema.acha mkomeshwe.
Angalia ww wabishi hawalali njaa bali wanachelewa kula
ngoja nkuibie siri ya bodi mkuu,bodi huwa haiwezi kuanza kutoa mikopo kwenye chuo kingne tofaut na udsm,so subiri kwanza sisi tufungue hyo tarehe 24/feb tukabidhiwe chetu afu chenji zinazobaki ndo mtaanza kupewa nyie wengne
sa c unaona mnakua mko nje ya utaratibu wa bodi...?na mtakula nyasi mwaka huu.
nonsense! Yani chuo kiache kufuata ALMANAC yake kwasababu ya bodi?. Vyuo venu vya kata ndo vinafanya ivo...!
kama udsm ni ya kata,cjui saut itakua ya nin!afu we ka nikilaza,ulifel form 6 ukakosa mkopo,wenzio wanaotegemea bodi wanakua wanaumia hapo,acha upang'ang'a.
Quarreling wit a bastard guy is biggest fear....! UDSM nimemaliza pale 2008 LL.B. Nilijuta kusoma chuo icho, vyoo vimejaa vinyesi hadi kwenye coridor!. Niliombwa nifundishe hapo nikapiga chini. Niko SAUT napiga kazi na kusoma pia. Ukitaka kunijua vizuri, ulizia wanafunzi wa miaka ya 1998-2001 GALANOS na 2002-2004 MZUMBE. 'SOKORO' ilikua chata yangu.
we akili yako itakua inahitaji jiki ili iwe sawa..we shule umeenda kupga kitabu au kuangalia vyoo ka vimejaa?cdhan ka we ni product yetu.