donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
Jamaa: hello mrembo ,samahan una mpenzi?
Binti: hapana sina mpenzi
jamaa: mwanzo 2:18 Bwana Mungu akasema ,si vema huyu mtu awe peke yake nitamfanyia msaidizi wa kufanana nae
binti: lakini mimi sikupendi
Jamaa: waraka wa kwanza wa yohana 4:8 Yeye asiyependa hakumjua Mungu, kwa maana mungu ni upendo
Binti: mh, mm nitajuaje kama we mwaminifu
Jamaa: Injili ya marko 13:31 Mbingu na nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe
Binti: wewe kwanini umekuja kwangu? Wasichana wengine hujawaona?
Jamaa: Mithali 31:29 Binti za watu wengi wamefanya mema lakn wewe umewapita wote! CHEZEA MPENDWA KWA VIFUNGU WEWE!
Binti: hapana sina mpenzi
jamaa: mwanzo 2:18 Bwana Mungu akasema ,si vema huyu mtu awe peke yake nitamfanyia msaidizi wa kufanana nae
binti: lakini mimi sikupendi
Jamaa: waraka wa kwanza wa yohana 4:8 Yeye asiyependa hakumjua Mungu, kwa maana mungu ni upendo
Binti: mh, mm nitajuaje kama we mwaminifu
Jamaa: Injili ya marko 13:31 Mbingu na nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe
Binti: wewe kwanini umekuja kwangu? Wasichana wengine hujawaona?
Jamaa: Mithali 31:29 Binti za watu wengi wamefanya mema lakn wewe umewapita wote! CHEZEA MPENDWA KWA VIFUNGU WEWE!