Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,016
- 54,299
Haa Haa Haa HaaMajinjah inawahi kufika!!!!
YA Zamani
Haa Haa Haa HaaMajinjah inawahi kufika!!!!
Siwezi nikaacha kupanda Mercedes Benz au Scania nikapanda michina.Wakuu naomba mnijuze
Kaleta marcopolo?Sauli mzee tena ukipata ile Ya tunduma ndo swafi...kuna Marcopolo G7 sijajua kama imeanza
Ukisema bora unamaanisha nini?Wakuu naomba mnijuze
Yes Dar - Tunduma ....nimependa jamaa yeye hataki michina hata kama ana gari chache ila vyuma vya maanaKaleta marcopolo?
Now Iman kaleta na yeye bus mpya Mbili japo Sauli ndo kakomesha kaleta vyuma tupu..Imani alijaribu ligi miezi fulani ila imemshinda katuliaSauli linapendwa sana na wasafiri ya route hiyo ya Dar -Mbeya. Ticket za Sauli unafanya booking siku 5 hadi wiki moja kabla ya safari. Ukienda kukata ticket kwa lengo la kusafiri kesho au keshokutwa utakuta tayari basi la siku hiyo limeshajaa. Na mara nyingi mpaka ticket za basi la sauli linalosafiri siku fulani ziishe ndio Imani plus nao wauze ticket labda kama kutakuwa na abiria wengi sana ndio Imani na wenyewe wanauza ticket kwa wingi. Sauli yapo comfotable na mwendo wao pia ni mzuri kwa maana ya kwamba wanazingatia muda wa kufika waendako. Imani Plus haiko comfortable sana na pia wana aina fulani hvi ya kutokuzingatia muda. Nimeshasafiri na haya mabasi yote lakini kwangu mimi SAULI WAPO POA ZAIDI.
Kabisa kwa hili heko kwake michina sijawahi kuiaminiYes Dar - Tunduma ....nimependa jamaa yeye hataki michina hata kama ana gari chache ila vyuma vya maana
Imani ni ya zamanibtoka 2019 mwanzo sauli ni ya juzi mm naona kwa usafiri wa amani moyoni bora IMANI BUS loli sauli mmaChukua sauli hutojutia wanajali mda Sana hawasimami kizimbe japo iman n bus mpya ila Chukua sauli
Haya karibu utakuta tumepika mbalagha na utumbo zenye kipome na parachichiWakuu nashukuruni kwa maoni yenu.
Hatimaye Nimekata tiketi basi la Sauli.Nitaleta mrejesho.
Ndugu zangu wa 'Ughonile' mgeni naja! Mnipokee!
Inshallah nifike salama!
Ndio ila iman wameleta Gar mpya kampun Sawa ya zaman ila wameleta Gar mpya inategemea nawew ila Kama unaharaka na hiyo sehem unatakiwa ufike mapema nahuku usiwe mchovo sauli is the bestImani ni ya zamanibtoka 2019 mwanzo sauli ni ya juzi mm naona kwa usafiri wa amani moyoni bora IMANI BUS loli sauli mma
Umegundua vipi ni washamba ? kwa hizi coment au ulifanya utafiti eneo husika?Nimegundua baadhi ya watu wa mikoani ni wapuuzi na washamba bado wanafurahia na kushangilia mwendo kasi badala ya kuangalia usalama wa maisha na afya zao.
Nimeshangaa...kupenda speed au kutopenda ni hobi sio ushamba kama anavyosema huyo jamaa.Umegundua vipi ni washamba ? kwa hizi coment au ulifanya utafiti eneo husika?
Mfano wako hauendani kabisa mkuu, hapo ungefananisha shabaha ya zamani, na chakito ndio waliendana na sauli then Iman hapo ungeifananisha na kina kilimanjaro au EstherUkitaka kufaham ushamba wao fanya hivi mkuu...
Ukiwa unaelekea Arusha panda Saibaba, mbazi au kimotco za kwanza next trip panda BM, Extra au Kidia zile za kwanza.
Alafu njoo ukoment mara ya pili.
Wanyaki naona mmekataa kuchafuliwa cv ya basi lenuYaani unaifananisha Sauli na Imani kweli? Aah acha hizo mzee Sauli habari nyingine ile