Sauli Vs Imani Bus lipi bora kwa safari Dar - Mbeya?

Chukua sauli hutojutia wanajali mda Sana hawasimami kizimbe japo iman n bus mpya ila Chukua sauli
 
kapande Mswidishi ww hii ni G7 sio iyo michina ya iman+
Screenshot_20210926-114944_Instagram.jpg
 
Nimegundua baadhi ya watu wa mikoani ni wapuuzi na washamba bado wanafurahia na kushangilia mwendo kasi badala ya kuangalia usalama wa maisha na afya zao.
Kila mtu na kipaombele chale mkuu, wewe usalama na afya wengine wawahi kufika wala hawahofii hicho unachohofia wewe.

Wafanyabiashar wengi wa mbeya wanaikubali majinjah sababu ya kifika haraka jijini na kufanya ishu zao chap.
Kupanga ni kuchagua mkuu usiwaite washamba.
 
Nimegundua baadhi ya watu wa mikoani ni wapuuzi na washamba bado wanafurahia na kushangilia mwendo kasi badala ya kuangalia usalama wa maisha na afya zao.
Ukitaka kufaham ushamba wao fanya hivi mkuu...

Ukiwa unaelekea Arusha panda Saibaba, mbazi au kimotco za kwanza next trip panda BM, Extra au Kidia zile za kwanza.

Alafu njoo ukoment mara ya pili.
 
Ukitaka kufaham ushamba wao fanya hivi mkuu...

Ukiwa unaelekea Arusha panda Saibaba, mbazi au kimotco za kwanza next trip panda BM, Extra au Kidia zile za kwanza.

Alafu njoo ukoment mara ya pili.
Wanakariri sana
Binafsi sipendi gari inayonyata ingawa pia isiwe na mwendo mkali ile ya roho mkononi.
Miaka ya nyuma niliwahi kupanda najmunisa kutoka moro kwenda dom.ile gari ilikua inatembea balaa moro ilitoka saa mbili asubuhi by saa tano tupo jamatini dom
 
Wanakariri sana
Binafsi sipendi gari inayonyata ingawa pia isiwe na mwendo mkali ile ya roho mkononi.
Miaka ya nyuma niliwahi kupanda najmunisa kutoka moro kwenda dom.ile gari ilikua inatembea balaa moro ilitoka saa mbili asubuhi by saa tano tupo jamatini dom
Wanakariri gari kuwahi kufika ni mwendo.

Kuna gari ikitoka Dar inasimama pale inaposimamishwa na trafiki tu vinginevyo inaenda kusimama point B ambayo ni sehemu ya chakula ikitoka hapo ni last point.

Njiani isimame kufanya nini wakati hakuna mwenye shida muhimu!.
 
Huu ushamba upo sana mkoa wa mbeya na kanda ya ziwa!!! Jitu zima linafurahia high speed ambayo ni hatari kwa maisha ya abiria!!! Pathetic
Acha ujinga ww, Route ya kutoka Mwanza to Dar ni zaidi ya Kilometre 1150 unataka mtu apande gari inayoenda mwendo wa kobe? Au unataka mtu atumie masaa 24? Acha mzee safari ni ndefu mno unadhani kukaa kwenye siti ya basi masaa zaidi 10 ni kazi ndogo. Sijui tu kwanini hatuna usafiri wa usiku wa coster kama kule Mbeya.

Haya Mbeya ni mkoa wenye harakati nyingi sana na pia una mwingiliano mkubwa na wafanyabiashara wengi hata kutoka nchi za kusini magharibi mwa nchi yetu, Na ndiyo mkoa pekee wenye routes nyingi za kwenda Dar kutoka wilaya zake kila moja na mabasi yake, Kyela wana mabasi yao, Mbeya mjini wana basi zao, Tunduma wana basi zao (Before hii ilkua upande wa Mbeya kabla haijawa Songwe)! Hapo napo kuna Kilometre zaidi ya 900 na barabara iko busy muda wote kupitisha magari na foleni za kutosha. Leo hii upande gari inayoenda slow kama trip town si mtakaa barabarani masaa 24!

Mbeya ndio mkoa pekee wenye usafiri wa usiku kwenda Dar maarufu unaitwa "Hakuna Kulala" na bei 30,000 yaani unaondoka saa 12 au 1 jioni unafika kesho yake asubuhi utaona ni jinsi gani ni mkoa ulikua busy na wasafiri wengi. Kuna routes ndefu balaa unakaa mpaka mwili unakufa ganzi, Mwanza to Mbeya, Bukoba to Dar, Dar to Swax, Moshi to Mbeya hizi routes zinahitaji basi nzuri imara na zenye speed, michina huwa haidumu sana kwenye hizi routes.
 
Kila mtu na kipaombele chale mkuu, wewe usalama na afya wengine wawahi kufika wala hawahofii hicho unachohofia wewe.

Wafanyabiashar wengi wa mbeya wanaikubali majinjah sababu ya kifika haraka jijini na kufanya ishu zao chap.
Kupanga ni kuchagua mkuu usiwaite washamba.
Majinjah inawahi kufika!!!!
 
Sauli mzee tena ukipata ile Ya tunduma ndo swafi...kuna Marcopolo G7 sijajua kama imeanza
 
Back
Top Bottom