Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Tume ya Haki za Binadamu nchini humo imesema Serikali ya Taifa hilo imepiga marufuku adhabu ya vifo kwa watoto ikiwa ni muendelezo wa hatua mpya za mabadiliko zinazotekelezwa
Kamisheni hiyo inasema hakuna mtoto atakayekutwa na hatia na kupewa adhabu ya kifo, badala yake atatumikia kifungo kisichozidi miaka 10 katika gereza la watoto
Hatua hiyo inachukuliwa, ikiwa ni siku moja tu baada ya Utawala wa Kifalme wa Taifa hilo kufuta adhabu ya kuchapwa viboko
Shirika la Kimataifa la Utetezi wa Haki za Binadamu (Amnesty International) limeiweka Saudi Arabia katika orodha ya Mataifa yenye kunyonga watu wengi zaidi, baada ya Iran na China
Ripoti ya hivi karibuni ya Amnesty International kwa mwaka 2019 inaonesha Taifa hilo limewanyonga watu 184
Kamisheni hiyo inasema hakuna mtoto atakayekutwa na hatia na kupewa adhabu ya kifo, badala yake atatumikia kifungo kisichozidi miaka 10 katika gereza la watoto
Hatua hiyo inachukuliwa, ikiwa ni siku moja tu baada ya Utawala wa Kifalme wa Taifa hilo kufuta adhabu ya kuchapwa viboko
Shirika la Kimataifa la Utetezi wa Haki za Binadamu (Amnesty International) limeiweka Saudi Arabia katika orodha ya Mataifa yenye kunyonga watu wengi zaidi, baada ya Iran na China
Ripoti ya hivi karibuni ya Amnesty International kwa mwaka 2019 inaonesha Taifa hilo limewanyonga watu 184