Of course.Kwahiyo kuna utumwa kwa hiari yake?
OkOf course.
Wewe unapoajiriwa na kutumwa km punda masaa 24 huoni km hio ni hiari yako? Na unakuta kuacha huo utumwa huwezi kutokana na hali yako duni ya kimaisha. Inabidi uvumilie tu.
Huo ndio tunauita Utumwa wa hiari.
Fikiri kabla ya kuuliza swali mkuu.
Nakubalia kuwa Saudia hakuna haki za binaadamu hasa juu ya wanawake ila sio ubaguzi wa rangi.
Saudia na hata UAE, Qatar Kuwait na Oman kuna vigogo wa kijeshi na polisi watu weusi wa mpingo kabisa. Tofauti na Tanzania amabako jeshini tokea baada ya Muungano hasa Zanzibar hawaruhusu machotara katika vyombo vya usalama.
Naanza kupata picha ya Wasaudia weusi wa TanzaniaNgoja waje wasaudi arabia weusi waliozaliwa vizaz na vizaz africa. Wataitetea nchi yao hasa tena kwa kutokwa na mate na mishipa usoni kusimama wakitoa na mifano wa mataifa mengine ya ulaya na marekani to justify their stupidity. Wazungu ni wabaguzi ila waarabu ni wabaguzi na wakatili sana tena sana.
Subiri tu Donald Trump apate chaka huko Marekani.Wacha watutese tu, sisi Waafrika wenyewe tunabaguana mwanzo mwisho, hatuna umoja na tumejaa uroho, chuki na wivu. Kila mmoja wetu anapothubutu kujitoa, anamiminiwa chuki na majirani. Hadi ile siku sisi weusi tutaweza kujikomboa kiuchumi kwenye bara letu hili lililobarikiwa na kila aina raslimali, hiyo ndio siku tutaheshimiwa hata huko nje.
Dada zetu wanafanyiwa unyama wa kila aina huko uarabuni, wanakwenda baada ya kukosa namna kwenye nchi zao. Halafu la kushangaza hawa Waarabu wanaamini eti dini imewaruhusu kutesa watumwa. Nayo mijitu ya kiafrika inatokwa na povu huku ikiwatetea kwa misingi ya kidini. Tufe wote bloody-hell.
Kweli ndugu, kutokana na mtoa mada na yale yanayojiri Tanzania, Watanzania ni mafisadi hatari, Watanzania ni majangiri wanaomaliza tembo duniani, Watanzania ni wakwepaji kodi wazuri sana, Watanzania in light of Gambosh , Sumbawanga na kwengineko ni wach..wi wa kutupwa. Yapo mengi ya ku generalize kama kweli watu wanataka tu generalize tabia za wachache ziwe representative ya tabia za jamii yote kiujumla. Hasty Generalization ni shida wakuu, na limekuwa blindy likifanyika dhidi ya Uislam, waislamu, Waarabu. Jamani si kila muarabu ni muislamu, na si kila muislamu anafuata mafundisho ya Uislam, si kila Msaudi hata awe ni mfalme na akajinasibisha na uislamu basi akatenda jambo lionekane ndio sheria ya usilamu. Haya mleta mada unasema under the pressure of President Kenedy Saudia wali abolish slave trade in 1962. Mie nitakwambia uislamu uli abolish slave trade and slavery 1400 years ago. So don't compare the two, by the way njooni madrassa tuwafunze Quran na hadith muielewe.Kutoka na kauli ya Mtoa mada sisi waTanZania ni waauwaji na makatili wakubwa Duniani kwa kuwakatakata na kuwauwa wa Albino.
Watu wengi wana fikiria Uarabu ndio Uislamu.Quraan imeandikwa kwa Lugha ya Mtume Wetu ambaye ni Muarabu.
Waarabu wengi sio waUmini wa DINI ya Kiislam na Wengi ni wakristo na Wayahudi.Nchi za Kiarabu ambazo wa Kristo na Wayahudi Misri,Lebanon,Siria,Jodan na Palestina.
Jamani kabla hamjaandika Utumbo
Someni ELIMU NI BURE
kwani nao watukupa bure !! au wanakuhitaji ? mbona wanawapata multi-Nationals!!Hiyo nchi ya Saudi Arabia hata nipewe mamilioni ya dola za kimarekani bure siendi kuishi huko, ng'o!
Lakini tuwe wa bora na wenye kujikubali (ubinaadamu)That's why the world is the most interesting place.
We are all different.
Wewe hudhani ya kwamba dunia ingekuwa very boring kama wote tunafana kwa kila kitu?
Galatian look at the FACT here.
Not fictions.
Jimmy Carter: Israel's 'apartheid' policies worse than South Africa's
Former U.S. president Jimmy Carter said in remarks broadcast Monday that Israeli policy in the West Bank represented instances of apartheid worse even that those that once held sway in South Africa.
waarabu ni MAPEPO/MASHETANI/WANYAMA .
Waarabu hao hao wameingia mkataba na serikali yako ya kuwajengea Bandari bagamoyo na ndio watoa ajira wakuu hapo nchini.
Na bidhaa zao unakula wewe na wazazi wako mpk leo.
ngoja nikusaidie jambo pia. nadhani mbali na madrsa pia uliweza soma moja ya lugha kuu duniani zilizosambazwa na hawa makafiri. soma hapa.
Natural gas production
The data in the following table comes from The World Factbook.[6]
Rank Country Continent Annual natural gas production (m³) Date of
information
— World — 4,359,000,000,000 2010 est.
1United States North America 681,400,000,000 2012 est.
2Russia Eurasia 669,700,000,000 2013 est.
—European Union — 164,600,000,000 2012 est.
3Iran Asia 162,600,000,000 2012 est.
4Canada North America 143,100,000,000 2012 est.
5Qatar Asia 133,200,000,000 2011 est.
6Norway Europe 114,700,000,000 2012 est.
7China Asia 107,200,000,000 2012 est.
8Saudi Arabia Asia 103,200,000,000 2012 est.
9Algeria Africa 82,760,000,000 2011 est.
Sijajifunza matusi hivyo ntakuita tu wewe ndugu yangu. maana ndugu ni ndugu tu hata akiwaje.
Total Petroleum and Other Liquids Production, 2014. ("Other liquids" include biofuels, liquids derived from coal and oil shale, and refinery gain.)[3]
Country Production (bbl/day)
1United States 13,973,000
2Saudi Arabia (OPEC) 11,624,000
3Russia 10,853,000
4China 4,572,000
5Canada 4,383,000
6United Arab Emirates (OPEC) 3,471,000
7Iran (OPEC) 3,375,000
8Iraq (OPEC) 3,371,000
9Brazil 2,950,000
10Mexico 2,812,000
UTAGUNDUA WAZUNGU WALITUZIDI SANA AKILI NA NI NGUMU KUSEMA UTAISHI BILA KUTUMIA KITU CHA MZUNGU. AU UTAISHI KWA KUTUMIA VITU TOKA KWA MARABU TU. NI NGUMU MAANA WAARABU PAMOJA NA KUWACHUKIA WAZUNGU KIASI KIKUBWA WANATUMIA VITU VYAO. baniani mbaya KIATU CHAKE DAWA.
Km ni mashetani usile wala kuajiriwa na wao na mafuta yao usinunue tembea kwa miguu km una jeuri.
Bata mzinga.
We cheka cheka tu lkn waarabu huwezi kuwaepuka.ha ha ha..... hii bandari ya bagamoyo ni dili alilokula mtu mmoja miaka hiyo akiwa kiongozi na aliona hawa ni watu ambao angewza kushare nao vizuri. hayo mafuta yao yasingekuwa na maana kama kusingekuwa na magari yaliyotengenezwa na Mzungu, na usisahau mashine wanazotumia pia hawakutengeneza wao. kiuhalisia hujui kuwa hakuna ambacho mwarabu ametengenza kinachotumika duniani. mafuta waliyakuta ardhin kma ambavyo tanzania kuna dhahabu,tanzanite n.k hatukuviumba sisi.
Waarabu walikaa kwa wingi sana Tabora,Morogoro,Iringa,Songea,Shinyanga,mbona huko hakuna mashoga.Na hata Tanga,Mtwara,Lindi hakuna mashoga kama unavyodhania wewe.Miji iliyoathirika kwa ushoga ni Zanzibar ambako hakuna warabu,waarabu waliishi Pemba,Zanzibar kulikuwa na Wazungu wengi ,wareno na waingereza,na Mombasa mpaka leo waarabu ni wa kuwahesabu,wengi ni machotora wanaotokana na Wareno kwa kuoana na wenyeji waafrika,ndio nyinyi mwawaitwa warabu kwa kukosa elimu,ambapo huko9 Mombasa wanaitwa Wagunya,kwa Lugha ya kimvita kwa maana ya ya Mgunya ni 'Wakuja'.Hawa machotara wa Kireno ndio wengi ni mashoga,ukiwaona utafikiri waarabu.Homosexual si maendeleo na haikuanza leo ipo toka siku za sodoma na gomorrah na Mungu Jehovah aliangamiza hiyo miji kwa sababu hii pia. Waarabu wana practice homosexual sana. na acha hilo tu ni watumiaji sana wa kinyume na maumbile kwa wake zao naweza kukupa ushahidi. wazungu nao wana upuuzi huo sema wao wamefanya liwe jambo la uwazi maana wazungu inaonekana wanshindwa sana unafiki. waarabu wanapinga but ndiyo watendaji wazuri wa toka zamani,
angalia mikoa waliyokaa waarabu inaongoza kwa ushoga. mashoga wengi wanatoka tanga,zanzibari,mtwara,pwani ,mombasa n.k huko kaulize wenyeji asilimia 80 ni watu wa namna gani au historia ya mikoa hiyo.utasikia waarabu walikaa huko.
mizungu yenyewe inaona ni jambo la kuweka wazi wakati wenzao wanaficha. kwa desturi zetu waafrika ushoga ni kosa..lakini je ushoga haukuwepo zamani? tuulize kwa mababu zetu miaka ya nyuma ilikuwaje. MIMI HATA BAADA YA MIAKA 1,000,000. NITAPINGA USHOGA UWE WA WAZI AU WA KUJIFICHA. sikubaliani na sitokuja kukubaliana na ushoga,ubakaji kuoa au kuoza watoto wadogo, kuwaingilia wnawake kinyume na maumbile n.k.
NARUDIA KUSEMA KUWA UARABUNI KUNA USHOGA SANA TENA SANA. SEMA WAARABU WANAWEZA UNAFIKI.
Na ndio kwako tunapata Picha ya mzungu weusi wa Tanzania.Naanza kupata picha ya Wasaudia weusi wa Tanzania
kwani nao watukupa bure !! au wanakuhitaji ? mbona wanawapata multi-Nationals!!
Waarabu walikaa kwa wingi sana Tabora,Morogoro,Iringa,Songea,Shinyanga,mbona huko hakuna mashoga.Na hata Tanga,Mtwara,Lindi hakuna mashoga kama unavyodhania wewe.Miji iliyoathirika kwa ushoga ni Zanzibar ambako hakuna warabu,waarabu waliishi Pemba,Zanzibar kulikuwa na Wazungu wengi ,wareno na waingereza,na Mombasa mpaka leo waarabu ni wa kuwahesabu,wengi ni machotora wanaotokana na Wareno kwa kuoana na wenyeji waafrika,ndio nyinyi mwawaitwa warabu kwa kukosa elimu,ambapo huko9 Mombasa wanaitwa Wagunya,kwa Lugha ya kimvita kwa maana ya ya Mgunya ni 'Wakuja'.Hawa machotara wa Kireno ndio wengi ni mashoga,ukiwaona utafikiri waarabu.
We cheka cheka tu lkn waarabu huwezi kuwaepuka.
Wewe na ukoo wako mzima.
Mpk mkate wa mwarabu unakula.
Siku yako huwezi imaliza bila kugusa cha mwarabu basi roho korosho ya kimaskini tu inakupa tabu.
Ukafiri kitu kibaya sana .
Dah...
Kafiri mara zote wanakuwa na Sura mbilli.mkate gan wa marabu we unakula unaamini nami nakula? but pia hata ungekuwepo sidhan kama kwangu ni tatizo. mi sina tatizo na mwarabu mwema. kama ambavyo sina tatizo na mzungu mwema. umaskini labda unao wewe maana mimi hata sifaham unazungumzia umaskin gani ikiwa najiweza na maisha yangu yapo vizuri napata ninacho taka. sasa wewe tajiri wa kiarabu nambie una nini?
mara ya mwisho umeenda urabuni ni lini?na wat did they do to yu? mbona unawatetea sana ingawa wao wanakubali mambo kadhaa? mimi mwafrika,mtanzania.
Tatizo letu watanzania tunashindwa kumtofautisha mwarabu na asiyemuarabu,kila chotara tunamuona,tunasema muarabu,wakati anaweza kuwa chotara wa kizungu,ambaye amezalika mababu na mababu,kizazi hiki kikiendelea,utasema ni waarabu,maana chotara wa kizungu anabadilika na kushabihiana na uwarabu,na ikiwa mzungu alizaa na na mabibi au mababu waislamu,kwa mfano Obama angebaki na upande wa babake waislamu,Kenya,angeonekana ni muarabu.KIKWAJUNI KAMA HUYAJUI HAYA UNGENYAMAZA. asilimia 999 ya wakazi wa zanzibar ni watu gani ? tanga,mtwara,lindi, tabora pia imo nliisahau tu . ni maeneo ambayo nimeishi. nayafaham sana na ndo mara ya kwanza mimi kuwafahamu mashoga hivi kwa macho kutoka mikoa hiyo na si hicyo tu mpaka kumsikia shoga akijinasibu kabisa. ni mikoa hiyo. Mombasa hukutaja. Iringa hakuna athari za kiarabu kama mikoa hiyo. shinyanga kuna sehemu na sehemunpia kama ilivyo Kigoma ukienda maeneo ya Ujiji n.k
nimetembea na kukaa asilimia 94 ya mikoa ya tanzania. kasoro mara na unguja nadhani. nimeona ninachozungumza. nakifahamu. nimezunguka huko kikazi na pia kifamilia. nafaham nazungumza nini. hivi sasa nafanya kazi kampuni ya kiarabu. najua watoto wa mwenye kampuni wanavyowafanya baadhi ya wafanya kazi wa kiume na kuwapa pesa nyingi sana. so sibahatishi. lakini nenda kinondoni na ilala. nimekulia ilala. nmeishi kinondoni mwka na nusu. ushoga mkubwa unafanyika huko. sisemi kuwa hakuna wanaojiita wakristo mashoga..sipend uongo. wapo lakini nachosema tofaut ya wazungu na waarabu ni kuwa wazungu wao wanaamini katika kujiweka wazi wakati waarabu wanaamini katika unafiki. ila tunajua ndio wanaoongoza kwa kuwaingilia kinyume na maumbile wanawake na pia wanaume. na hili naweza ku prove kwako.
Kwa hiyo huyu alikuwa Gaidi la kikristo?