kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,156
- 11,608
Una haki ya kusema utakalo lkn Huwezi kukataa maana halisi ya USHIRIKINA.Hizo ndiozo dalili zenu za kuchanganyikiwa!! Mungu wako mie naamini ni shetani , Lusifa! Sasa usinchanganye sifa za Mungu wako na Mungu wa Dini zingine lazima mjitahidi kupenda dini zenu na kuziamini kuwa zinajitosheleza!
Yesu hakuwa MSHIRIKINA wala Hakuabudu mtu wala hakusema Yeye ni Mungu.
Nakupa maneno hapa km Una busara huenda yakakufaa.
MUNGU ANASEMA.
QURAAN 3:64.
قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ تَعَالَوْا إِلَىٰ كَلِمَةٍ سَوَاءٍ بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمْ أَلَّا نَعْبُدَ إِلَّا اللَّهَ وَلَا نُشْرِكَ بِهِ شَيْئًا وَلَا يَتَّخِذَ بَعْضُنَا بَعْضًا أَرْبَابًا مِنْ دُونِ اللَّهِ ۚ فَإِنْ تَوَلَّوْا فَقُولُوا اشْهَدُوا بِأَنَّا مُسْلِمُونَ
Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.
NA wewe UKIENDELEA Kumshirikisha MUNGU mimi jibu ni kuwa :"MIMI NI MUISLAMU"
Na SIMSHIRIKISHI MUNGU MKUU NA KITU CHOCHOTE.
Ahsante
hakukosea.