Saudi Arabia: The middle east’s real apartheid state

Saudi Arabia: The middle east’s real apartheid state

Daaaaah!!! Kuna jamaa yangu anaitwa Walid na mtoto wake wa mwisho kampa Hilo jina pia....kumbe Lina maana ya mtumwa aliyebadili dini na kuwa Muislamu. Eeeeeh Mola weee!!!!
Mtumwa ni wewe unaeishi katika madhila ya uongo na chuki huo ndi utumwa wako tafuta ukweli upate uhuru.
 
Mtumwa ni wewe unaeishi katika madhila ya uongo na chuki huo ndi utumwa wako tafuta ukweli upate uhuru.
Acha upumbavu mbwa wahedi weee. Kwenye madhila anaishi aliyekuleta duniani kelbu wahedi wee.
 
Kuropoka bila elimu kunakuletea aibu wewe na wazee wako mkuu.
Nani alikwambia WAIRANI ni Waarabu?

Teh teh teh teh.
Wagalatia balaa tu.

Yaani Kila anaeishi nchi karibu na waarabu Basi na yeye Mwarabu.

Halafu mkiambiwa vichwa vyenu makamasi mnakuwa wakali na kutoa matusi.



Ni kweli wairani sio waarabu lakini haiondoi ukweli wangeipa saud mchakamchaka kama sio godfather wao marekani
 
Back
Top Bottom