Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 636
Hilo li nchi hata sio yani halifai kutembelea hata bure labda ukiwa muislam.Nakumbuka yule prince alimpiga sex slave wake wa kiume mpaka kumuua kule London na hakuchukuliwa hatua yoyote japo uingereza ni moja ya nchi zenye haki sawa duniani. Halafu kuna watu watakuja hapa na kuanza kutoka povu kwamba nchi takatifu ina tukanwa.
Waarabu ni kati ya watu wenye roho mbaya sana duniani. Hata enzi za utumwa ndio waliokua wanyanyasaji wa hali ya juu sana. Hiyo nchi siwezi kwenda huko hata kwa kulazimishwa