ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,291
- 4,967
- Thread starter
- #141
Mfalme Abdullah aliweka mabinti zake4 kizuizini karibu miaka 20 bila sababu al saud is a sign of ev
Binti anawekwa vipi kizuizini mkuu.Mfalme Abdullah aliweka mabinti zake4 kizuizini karibu miaka 20 bila sababu al saud is a sign of ev
KIKWAJUNI KAMA HUYAJUI HAYA UNGENYAMAZA. asilimia 999 ya wakazi wa zanzibar ni watu gani ? .
Hawa pia wanaishi Mtwara na Zanzibar?KIKWAJUNI KAMA HUYAJUI HAYA UNGENYAMAZA. asilimia 999 ya wakazi wa zanzibar ni watu gani ? tanga,mtwara,lindi, tabora pia imo nliisahau tu . ni maeneo ambayo nimeishi. nayafaham sana na ndo mara ya kwanza mimi kuwafahamu mashoga hivi kwa macho kutoka mikoa hiyo na si hicyo tu mpaka kumsikia shoga akijinasibu kabisa. ni mikoa hiyo. Mombasa hukutaja. Iringa hakuna athari za kiarabu kama mikoa hiyo. shinyanga kuna sehemu na sehemunpia kama ilivyo Kigoma ukienda maeneo ya Ujiji n.k
nimetembea na kukaa asilimia 94 ya mikoa ya tanzania. kasoro mara na unguja nadhani. nimeona ninachozungumza. nakifahamu. nimezunguka huko kikazi na pia kifamilia. nafaham nazungumza nini. hivi sasa nafanya kazi kampuni ya kiarabu. najua watoto wa mwenye kampuni wanavyowafanya baadhi ya wafanya kazi wa kiume na kuwapa pesa nyingi sana. so sibahatishi. lakini nenda kinondoni na ilala. nimekulia ilala. nmeishi kinondoni mwka na nusu. ushoga mkubwa unafanyika huko. sisemi kuwa hakuna wanaojiita wakristo mashoga..sipend uongo. wapo lakini nachosema tofaut ya wazungu na waarabu ni kuwa wazungu wao wanaamini katika kujiweka wazi wakati waarabu wanaamini katika unafiki. ila tunajua ndio wanaoongoza kwa kuwaingilia kinyume na maumbile wanawake na pia wanaume. na hili naweza ku prove kwako.
Binti anawekwa vipi kizuizini mkuu.
Hebu dadavua hapa tukusome.
Au Palace pia inaweza kuwa kizuizi!
Au unaleta ile story ya yule mama mpuuzi aliyekwenda kuomba hifadhi kwa Wazungu baada ya kupewa Talaka?
Unajua story kamili ya huyo mama? Au umebeba mazima galatian style.
Rudi shule we mgalatia.
Ktk kanuni za hesabu hakuna kitu km asilimia 999.%
Nyambaff
WorldViews
Don’t forget the late Saudi King’s ‘jailed’ princesses
Resize Text
Comments
Ishaan Tharoor January 23, 2015
statementswere made by other Western leaders.
Christine Lagarde, the female head of the International Monetary Fund, evenhailed the monarch as "a strong advocate for women."
That last eulogy ought to furrow brows. After all, when it comes to gender rights, Saudi Arabia's absolute monarchy is one of the most heavily criticized regimes in the world. Its draconian religious laws place limitations on everything from the clothes women can wear to the means by which they travel outside their homes. Controversially, women are still banned from driving in the country.
Lagarde did qualify her comment, saying Abdullah was a reformer "in a very discreet way," credited with initiating a number of measures aimed at it giving women a bigger stake in the country's economic and political life. But the change is very gradual, stymied by traditionalists who still hold sway in the country's courts. Abdullah's reforms, writes one commentator, have "all the substance of a Potemkin village, a flimsy structure to impress foreign opinion."
Closer to home, moreover, there are a few women related to the late monarch who may object to the praise being heaped upon him. Abdullah, like other Saudi royals, had numerous wives — at least seven, and perhaps as many as 30. He had at least 15 daughters. Four of them, according to news reports, live under house arrest.
The plight of the Princesses Jawaher, Sahar, Hala, Maha attracted attention last spring, when details emerged of their supposedly dire condition living in captivity in Saudi royal compounds in the city of Jeddah. Their mother, Alanoud Al-Fayez, has lived in the United Kingdom for the past decade and a half. She was divorced by her husband multiple times, the final instance in 1985.
Fayez claims her daughters' supposed incarceration, which has gone on for some 13 years, was both a mark of Abdullah's vindictive streak and intolerance of his daughters' modern, independent upbringing. She says the four have been locked away for more than a decade, subject to abuse and deprivation.
'We just want our God-given [HASHTAG]#rights[/HASHTAG] & 4 all [HASHTAG]#women[/HASHTAG] in this country to enjoy these rights'Sahar [HASHTAG]#FreeThe4[/HASHTAG] End [HASHTAG]#VAW[/HASHTAG] #UNpic.twitter.com/iSPEc7JzBs
— Free The 4 Women (@Freethe4)January 21, 2015
Last year, various news stations managed to reach Sahar, 42, and Jawaher, 38, who live in a separate compound from Maha, 41, and Hala, 39. In an interview with RT last May, the pair described how they were running out of food and water.
Binti anawekwa vipi kizuizini mkuu.
Hebu dadavua hapa tukusome.
Au Palace pia inaweza kuwa kizuizi!
Au unaleta ile story ya yule mama mpuuzi aliyekwenda kuomba hifadhi kwa Wazungu baada ya kupewa Talaka?
Unajua story kamili ya huyo mama? Au umebeba mazima galatian style.
Mkuuu mpuuzi nadhani ni alieoa wake30 nje ya ruhusa ya kiislamu lakini vipe mmedanganywa kuwa Abdullah ni ukoo wa mtume mnadhani hakosei
Jaribu kuficha mapungufu yako ya kuelewa,ili usijulikane kama una mapungufu ya kutoelewa.Kahtan sasa hapo si unatumia common sense tu kujua kuwa ni typing error? Au mpaka nalo hilo unataka boko haram wakusaidie? Mambo mengine ni kujiongeza tu kizungu wala huhitaj nalo kutangaza fatwah. Au unataka kusema pia mwandishi amekuonea?maana nyie pro arabs huwa hamchelew kutangaza fatwah
Ukiwa na undugu na mtume kumbe unaruhusiwa kuoa au kuwa kama yeye? Safi sana ndo maana mi napenda sana tamaduni za kiarab nami nataka niwe na utamaduni wao. Niwakamue sana....kama alivyokuwa mwanzilishi 40 wives na masuria/masulia.
Teh teh teh.another interview with an Arabic channel, the princesses described how they were being punished for championing women's rights and resisting the kingdom's strict rules mandating male guardianship over women.
Speaking to the New York Post last April, their mother claimed her daughters' continued detention was "about psychological warfare and breaking them down," and that her children "are wasting away."
There are some doubts about the extent to which the women are living in genuine captivity. When confronted with the daughters' claims, Saudi authorities have been tight-lipped, insisting that the situation "is a private matter." The women have not been formally charged with any crime.
Last June, in an email exchange with a Middle East affairs news site, Princess Sahar explained why she and her sister had been ostracized by the rest of the royal family:
We, along with our mother, have always been vocal all our lives about poverty, women’s rights and other causes that are dear to our hearts. We often discussed them with our father. It did not sit well with him and his sons Mitab and AbdelAziz and their entourage. We have been the targets ever since. We have been treated abysmally all our lives, but it got worse during the past 15 years. When Hala began to work as an intern at a hospital in Riyadh, she discovered political prisoners thrown in psychiatric wards, drugged and shamed to discredit them. She complained to her superiors and got reprimanded. She began to receive threatening messages if she didn’t back off. The situation deteriorated, and we discovered that she was also being drugged. She was kidnapped from the house, left in the desert, then thrown in Olaysha’s Women’s Jail, Riyadh. She soon became yet another victim of the system, as were the so-called patients (political prisoners) she was trying to help. Maha, Jawaher and I have all been drugged at some point... We have been told to lose all hope of ever having a normal life.
Aliyekwambia King wa Saudia ni ukoo wa Mtume ujue hana akili timamu.Mkuuu mpuuzi nadhani ni alieoa wake30 nje ya ruhusa ya kiislamu lakini vipe mmedanganywa kuwa Abdullah ni ukoo wa mtume mnadhani hakosei
Teh teh teh.
So when a lady complains about her former husband you take that as a conclusion to all the royals. That is very primitive buddy.
What was the last time a divorcee talked nice about her husband?
I think we have lingua problem here.No body complains about the divorce!!it's about the her detained princesses!!buddy Why would the girls be detained without trials ??if the were criminals ?
Aliyekwambia King wa Saudia ni ukoo wa Mtume ujue hana akili timamu.
Na hakuna King hatta mmoha aliwahi Kuoa wake 30 kwa WAKATI MMOJA.
Waislamu wanaruhusiwa Kutoa talaka kwa sababu maalum.
Sio km wagalatia na wahindu.
Wao hata ukimkuta mke yuko Uchi na jirani huwezi kumuacha.
Alieongelea divorce ni weweI think we have lingua problem here.
Teh teh teh.
Lets stick to bantu shall we? Cause you might ended up swearing unintentionally.
You didn't get any of my points did ya!
Who mentioned about divorce here!
Naaandika kwa kiswahili sasa labda tutakwenda sambamba.
Nimekuuliza toka lini mwanamke Aliyepewa talaka akamuongelea.mtalaka wake kwa uzuri?
Na toka lini watoto wakiwa na mama aliyetalikiwa wasema Mama ndio mbaya na baba muungwana?
Hao watoto wa kike kusema Wamefungiwa wao walitaka waachiwe watembee ovyo wakapigwe mimba huko nje wamletee Mfalme mkubwa km huyu KASHFA?
Huyo mama pashkuna tu hana lolote.
Kuna msemo unasema "actions talk louder than words " sijui km ufahamu nina maana gani hapo.
Check that women's body language on her interview,
First thing first that bitch had a trousers on and her hair style was like a man.
Tell me this. What was the last time you saw kings Wife looks like a man?
Toka lini Mke wa mfalme wa Saudia akavaa suruali na akate nywele ka dume bila Headscarf?
Hii tu peke yake inakuonyesha Upashkuna wa huyu mama na hao watoto wake.
Acha kumpakazia mtu maovu tu kwasababu Watoto wake au mkewe kamuongelea Vibaya.
Tazama vitu Nje ya Box.
Hata Yesu alisingiziwa Uchawi kumbe alikuwa anaponya kwa Uwezo wa MUNGU.