Sato wanauzwa

Sato wanauzwa

muhala.jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
751
Reaction score
659
Habari wana JF. kwa mwenye uhitaji wa Sato fresh kutoka fish farming wanapatikana. Ni fresh kabisa unavuliwa from pond. wana size nzur kuanzia gm 500-700. wapo kidugalo eneo la ruvu. kuna kg zaid ya 2000. ukihitaji kg kuanzia 100 kg bei Ni 6500tsh./kg. ukihitaji chini ya hapo bei Ni 7000/kg negotiations ipo depending na kiasi utakacho. kwa maelezo zaid na picha tuwAsiliAne kwa namba 0717451771. ahsante
 
peleka kiwanda kimoja cha samaki kipo kipawa watanunua wote
 
kiwanda kinaitwaje msaidie huyo mjasiriamali atoke au yeyote mwenye samaki apeleke
 
Back
Top Bottom