Tatizo vijana wengi hawajitambui wanaishi kinadharia zaidi..na ndio maana wanaficha uhalisia waoTujifunze kuweka taarifa sasa kwenye mitandao ya kijamii kwani sasa Hivi,tunapitia kwenye mitandao ya watu kutafuta vijana ambao wameandika unemployed ni wachache sana almost. ni kama hakuna
Yaaani hatari watu wote wamesoma UDSM hukuti SAUTI,SUA,UDOM,TEOFILI,ECKENFORD,IIRD,MOTC,KILOSA,DAKAWA TTCMkitumia data za mitandaoni mtagundua kwamba nusu ya watanzania wamesoma UDSM.
Mkuu hivi vyuo ni vya TZ? sii maarufu hata kidogo...mbaya zaidi nusu ya watumiaji wa fb na Insta ndiko watokako.Yaaani hatari watu wote wamesoma UDSM hukuti SAUTI,SUA,UDOM,TEOFILI,ECKENFORD,IIRD,MOTC,KILOSA,DAKAWA TTC
Tatizo vijana wengi hawajitambui wanaishi kinadharia zaidi..na ndio maana wanaficha uhalisia wao
Sasa kujiajir kwenyewe si ndo huku, ww ulitaka aandike self-employed akiwa amefungua kampuni yake, hata ukiwa unabeba mizigo stand, unakoroga zege hiyo ni self emloyed,