Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,581
Jesus !!!Mim nisingempga chini kwa sbb mim pia kweny mambo ya mapenzi hata nisipofanya mwezi nakua oky....
Jesus !!!Mim nisingempga chini kwa sbb mim pia kweny mambo ya mapenzi hata nisipofanya mwezi nakua oky....
Ndio ugonjwa wangu mimi huo bwana extroHahahahah kwa uzoefu wangu wanaotoaga hii kauli huwa si mchezo. Kuna kamoja nilifungasha virago maana kalikuwa kanafagilia mchanyato yani kila mkikutana tu kamelowesha kufuli
Basi nmezaliwa hormone haziko sawaHomoni zitakuwa haziko sawa; kwa mtu anayekula vizuri, hana msongo wa mawazo, ni vigumu kuwa hivyo
WaoohSiwezi kuchepuka
Extrovert me nakwambia mim ni mvivu mno kweny hyo sectorHahahahah kwa uzoefu wangu wanaotoaga hii kauli huwa si mchezo. Kuna kamoja nilifungasha virago maana kalikuwa kanafagilia mchanyato yani kila mkikutana tu kamelowesha kufuli
Unanisemea shauri akoha ha ha atakuwa mzoefu
Unatakiwa upate tibaBasi nmezaliwa hormone haziko sawa
Lete nasubiriWaooh
Basi nilete posa hapo nyumbani bibie warda
Hormone ziko sawa bn.... Kila mtu Kuna kitu anafuraiUnatakiwa upate tiba
Safi sana kiongoziNipo kwenye hizo harakati mkuu
SawaLete nasubiri
Nipe namba yake inbox, mimi naliweza hilo shartiKatika pita pita zangu mitaani, nilikutana na mdada mwenye uzuri wake; ni mtu mzima mwenye miaka 38, na ana mtoto mmoja.
Kama mjuavyo tena wakuu, macho hayana pazia, na moyo ukatokea kumpenda kwa ghafla.
Basi nikajipa ujasiri; nikamsimamisha na kumuambia lengo langu, na baadaye tukabadilishana mawasiliano.
Baada ya kama siku tatu hivi, nikampigia simu ili nimtoe 'out'; kweli alikubali, nikamtoa nje ya mji kidogo.
Huko tukabadilishana mawazo, na tuliweza kulala mpaka kesho yake asubuhi.
Shoo ilikuwa kali sana, ilikuwa kama kukomoana; baada ya zoezi akawa analalamika maumivu ya tumbo n.k
Kesho yake tuliporudi, ilibidi amuone daktari, na akawa amepewa dawa za kutuliza maumivu.
Baada ya hapo, akaniwekea 'limit' kama kukutana kimapenzi iwe mara moja kwa wiki, na iwe goli moja tu.
Changamoto iliyopo kwa sasa, hataki niwe na mahusiano na mwanamke mwingine.
Na mimi kwangu inakuwa ni ngumu, kupewa mara moja kwa wiki goli moja.
Sasa wakuu, si nimpige chini tu?
Braza kunguru habenepi kwa jalala moja
Kwani ukichakata demu mwingine unamtaarifu huyo manzi wako wa goli moja kwa wiki? Wewe baharia vipi? Tangu lini mbuzi akafundishwa kula majani?Katika pita pita zangu mitaani, nilikutana na mdada mwenye uzuri wake; ni mtu mzima mwenye miaka 38, na ana mtoto mmoja.
Kama mjuavyo tena wakuu, macho hayana pazia, na moyo ukatokea kumpenda kwa ghafla. Basi nikajipa ujasiri; nikamsimamisha na kumuambia lengo langu, na baadaye tukabadilishana mawasiliano. Baada ya kama siku tatu hivi, nikampigia simu ili nimtoe 'out'; kweli alikubali, nikamtoa nje ya mji kidogo.
Huko tukabadilishana mawazo, na tuliweza kulala mpaka kesho yake asubuhi. Shoo ilikuwa kali sana, ilikuwa kama kukomoana; baada ya zoezi akawa analalamika maumivu ya tumbo n.k. Kesho yake tuliporudi, ilibidi amuone daktari, na akawa amepewa dawa za kutuliza maumivu.
Baada ya hapo, akaniwekea 'limit' kama kukutana kimapenzi iwe mara moja kwa wiki, na iwe goli moja tu. Changamoto iliyopo kwa sasa, hataki niwe na mahusiano na mwanamke mwingine. Na mimi kwangu inakuwa ni ngumu, kupewa mara moja kwa wiki goli moja.
Sasa wakuu, si nimpige chini tu?
Kuna damu nilikuwanae yeye halikuwa ana ninyima Sexy kwa mwaka alikuwa ana nipa mara moja" shakushangaza eti alikuwa anataka nimuhudumie kama mke wangu.Kwani ukichakata demu mwingine unamtaarifu huyo manzi wako wa goli moja kwa wiki? Wewe baharia vipi? Tangu lini mbuzi akafundishwa kula majani?