Sasa wakuu, si nimpige chini tu?

Sasa wakuu, si nimpige chini tu?

Hahahahah kwa uzoefu wangu wanaotoaga hii kauli huwa si mchezo. Kuna kamoja nilifungasha virago maana kalikuwa kanafagilia mchanyato yani kila mkikutana tu kamelowesha kufuli
Extrovert me nakwambia mim ni mvivu mno kweny hyo sector
 
Katika pita pita zangu mitaani, nilikutana na mdada mwenye uzuri wake; ni mtu mzima mwenye miaka 38, na ana mtoto mmoja.

Kama mjuavyo tena wakuu, macho hayana pazia, na moyo ukatokea kumpenda kwa ghafla.

Basi nikajipa ujasiri; nikamsimamisha na kumuambia lengo langu, na baadaye tukabadilishana mawasiliano.

Baada ya kama siku tatu hivi, nikampigia simu ili nimtoe 'out'; kweli alikubali, nikamtoa nje ya mji kidogo.

Huko tukabadilishana mawazo, na tuliweza kulala mpaka kesho yake asubuhi.

Shoo ilikuwa kali sana, ilikuwa kama kukomoana; baada ya zoezi akawa analalamika maumivu ya tumbo n.k

Kesho yake tuliporudi, ilibidi amuone daktari, na akawa amepewa dawa za kutuliza maumivu.

Baada ya hapo, akaniwekea 'limit' kama kukutana kimapenzi iwe mara moja kwa wiki, na iwe goli moja tu.

Changamoto iliyopo kwa sasa, hataki niwe na mahusiano na mwanamke mwingine.

Na mimi kwangu inakuwa ni ngumu, kupewa mara moja kwa wiki goli moja.

Sasa wakuu, si nimpige chini tu?​
Nipe namba yake inbox, mimi naliweza hilo sharti
 
Katika pita pita zangu mitaani, nilikutana na mdada mwenye uzuri wake; ni mtu mzima mwenye miaka 38, na ana mtoto mmoja.

Kama mjuavyo tena wakuu, macho hayana pazia, na moyo ukatokea kumpenda kwa ghafla. Basi nikajipa ujasiri; nikamsimamisha na kumuambia lengo langu, na baadaye tukabadilishana mawasiliano. Baada ya kama siku tatu hivi, nikampigia simu ili nimtoe 'out'; kweli alikubali, nikamtoa nje ya mji kidogo.

Huko tukabadilishana mawazo, na tuliweza kulala mpaka kesho yake asubuhi. Shoo ilikuwa kali sana, ilikuwa kama kukomoana; baada ya zoezi akawa analalamika maumivu ya tumbo n.k. Kesho yake tuliporudi, ilibidi amuone daktari, na akawa amepewa dawa za kutuliza maumivu.

Baada ya hapo, akaniwekea 'limit' kama kukutana kimapenzi iwe mara moja kwa wiki, na iwe goli moja tu. Changamoto iliyopo kwa sasa, hataki niwe na mahusiano na mwanamke mwingine. Na mimi kwangu inakuwa ni ngumu, kupewa mara moja kwa wiki goli moja.

Sasa wakuu, si nimpige chini tu?​
Kwani ukichakata demu mwingine unamtaarifu huyo manzi wako wa goli moja kwa wiki? Wewe baharia vipi? Tangu lini mbuzi akafundishwa kula majani?
 
Kwani ukichakata demu mwingine unamtaarifu huyo manzi wako wa goli moja kwa wiki? Wewe baharia vipi? Tangu lini mbuzi akafundishwa kula majani?
Kuna damu nilikuwanae yeye halikuwa ana ninyima Sexy kwa mwaka alikuwa ana nipa mara moja" shakushangaza eti alikuwa anataka nimuhudumie kama mke wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mwanaume,

Yani umefeli, umefeli na ukafeli zaidi basi hakikisha una wanawake wawili ila kama mazngra yanaruhusu basi kuwa nao zaidi ya wawili,
Man huyo mmoja mtasumbuana tu bure
 
Back
Top Bottom