Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,802
- 7,935
ana magonjwa/changamoto ya kike, atakua anashida ktk via vya uzaz, uke, uvimbe, n.k... Hawez kukuambia ila mchunguze atakuambia indirect...Ha ha ha leta ushauri mkuu; ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi
Halafu unataka kufa kwa presha bure, hii dunia sio yakubak na mpenz mmoja wakat nje kuna viumbe vizuri na vitamu...

