anna mwakaringa
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 351
- 75
Ningependa kujua kwani2 wanakitoa hicho kibao??
Eti wageni wakiingia Mara wanakua na khofu!!!Ningependa kujua kwani2 wanakitoa hicho kibao??
Ahahahaaahaaaaaaaaaaaa!Basi wakitoa hicho kibao wakataze na vyombo vya habari kurusha habari za mara haha
Jf raha sana karibuni sana hapa watu wa kanda maalum Excel charming lady Mwita Maranya Muraa ocampo four and the likes. kwaheri mkoa wa Mwanza sasa unaingia mkoa Mara. aha aha aha aha.
Wakuu nimepata taarifa kwamba kile kibao chetu pale maeneo ya mbugani"SASA UNAINGIA MKOA WA MARA"eti sasa kitafutwa rasmi maana kinawaogopesha wageni.
Mie hiki kibao kinanipaga mzuka kichizi.Hua nikifikaga maeneo hayo tuu basi hamu ya "KICHURI"lazima ije ata kama nikiwa usingizini najua kabisa sasa naingia eneo la ukakamavu adabu na uti!
Mie sikubaliani na mpango huo aise,maana huu ni mpango wa kutuletea "PANYA ROAD" mkoani MARA.
Si wale wa Dar waliokua wanailaza midume million2 ya Dar saa11.45 jioni!!!
Tarime ya zamani, ikinonke alikuwa anawalaza saa kumi thanks kanda maalum kwa eneo la wakakamavu zaidi mkoani mara.
Ningependa kujua kwani2 wanakitoa hicho kibao??
Mi nashauri wa improve kidogo tu hayo maandishi kwa kuongezea maneno kama 'Be strong' 'Be aware of..'Wakuu nimepata taarifa kwamba kile kibao chetu pale maeneo ya mbugani"SASA UNAINGIA MKOA WA MARA"eti sasa kitafutwa rasmi maana kinawaogopesha wageni
Wakuu nimepata taarifa kwamba kile kibao chetu pale maeneo ya mbugani"SASA UNAINGIA MKOA WA MARA"eti sasa kitafutwa rasmi maana kinawaogopesha wageni.
Mie hiki kibao kinanipaga mzuka kichizi.Hua nikifikaga maeneo hayo tuu basi hamu ya "KICHURI"lazima ije ata kama nikiwa usingizini najua kabisa sasa naingia eneo la ukakamavu adabu na uti!
Mie sikubaliani na mpango huo aise,maana huu ni mpango wa kutuletea "PANYA ROAD" mkoani MARA.
nimecheka sana eti midume ya Dar
hao wanaume wa mara wanatamani kuja dar
Hahahahahah Vitha ni vitha muraaaJf raha sana karibuni sana hapa watu wa kanda maalum Excel charming lady Mwita Maranya Muraa ocampo four and the likes. kwaheri mkoa wa Mwanza sasa unaingia mkoa Mara. aha aha aha aha.
Panya road waje Mara.......?.......hawajitaki.........au Panya road wa wapi.........?
Hatukubali kibao hicho kiondolewe au hata kubadilishwa. Hiyo ndo Identity yetu wana Mara.