wewe umetumwa na nani kuja kumsafisha mtu? Au chimpumu na mnazi zinakuchanganya? Kuwa smart na unacho post.
wewe umetumwa na nani kuja kumsafisha mtu? Au chimpumu na mnazi zinakuchanganya? Kuwa smart na unacho post.
wewe umetumwa na nani kuja kumsafisha mtu? Au chimpumu na mnazi zinakuchanganya? Kuwa smart na unacho post.
Kweli mkuu.Kwanza Dr. Slaa ndiye aliyeanzaga kulizungumzia hilo na si EL
wewe umetumwa na nani kuja kumsafisha mtu? Au chimpumu na mnazi zinakuchanganya? Kuwa smart na unacho post.
EL amekua akipiga kelele mpaka sauti kumkauka kwamba vijana wasio na ajira ni bomu linalosubiri kulipuka. Ameongea kwenye majukwaa, mashuleni hata vikao vya ndani ya CCM. Vurugu zote zinazoendelea leo ni kutokana na umasikini na kukosekana kwa fursa [ opportunities] kwa vijana wengi nchini. Ajira hamna, vikwazo visivyo na maana katika ujasiriamali, manyanyaso na kujuana kumepelekea suala dogo kuyumbisha nchi. Amani tunayoichukulia for granted inaanza kuyeyuka nchini mwetu.
Licha ya kwamba kuna udhaifu wa serikali yetu wa kutochukua hatua mapema kwa vitendo vya uvunjifu wa amani, kutokufuatutilia madai halali yanayolalamikiwa na waislamu, sera za CCM za divide and rule, ni wazi kwamba sakata hili limechocheka kwa kiasi kikubwa na vijana wanaokaa vijiweni kwa kukosa ajira.
Lowassa angekuwepo haya yasingetokea.
Siyo mshabiki mkubwa wa Mjenga, hasa baada ya sakata la Mwangosi, lakini leo hebu soma hii masterpiece yake leo
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/340157-ya-mbagala-na-bedui-aliyekojoa-msikitini.html
lol, u r ready to make excuses about anything ..don't you!?Alikua ni PM tu, hakua na ultimate powers to run this country.
Is that important to you? kwamba alisemea wapi?
Uzi huu unaweza kuwa ba ukweli lakini chokochoko za dini zimeanza muda mrefu na aliyezipalilia na kuziivisha vizuri ni JK na magamba yake wakati wa kampeni baada ya kuishiwa sera na kuzidiwa na cdm. Suala la ajira kwa vijana ni secondary na chuki za kidini ni primary.
Ukweli husemwa:
Kama maneno hayo ya Lowassa yanakufanya umuone kama ni 'visionary' basi Watanzania bado tuko bado mbali kuyafikia mabadiliko kamili.
Mbona hata kipofu wa fikra alilijua hilo. Lowassa alichokuwa akifanya ni kutumia jukwaa la kisiasa ambalo ni pana kwake kutokana na nafasi yake katika jamii kusema jambo ambalo hata kipofu wa fikra alilijua.
Tatizo letu Watanzania, tumejengeka tabia ambayo pale tunapomkubali mwanasiasa basi hata akisema pumba tunaona ni mchele kwa sababu hatujongelei yale anayoyasema kwa walakini ili kuwa na kipimo mbadala.
Hebu tusimpe sifa ambayo hasitahili.
Ni mnafiki na muongo wa kawaida. Mbona hakuyafanya alipokuwa madarakani kama ni visionary kama unavyotaka tuamini kana kwamba hatuna ubongo. Go tell it to the birds.