Sasa umeamini kwamba Lowassa ni visionary?

Sasa umeamini kwamba Lowassa ni visionary?

Ametudharau sana yaani huku hapaeleweki yeye yuko nje anakula bata hahhhh hi haifai

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
wewe umetumwa na nani kuja kumsafisha mtu? Au chimpumu na mnazi zinakuchanganya? Kuwa smart na unacho post.

Kwani uchafu wa Lowasa ni UPI unaozidi uchafu mwingine? Huko MAGAMBA wote Wachafu. Balaa lilomkuta EL ni kuwa Wachafu wenzie walimuwahi kisiasa na "KUMPAKAZIA". Lakini Kati ya "MASHETANI" kuna shetani aliye bora kuliko wengine, naye ni EL
 
wewe umetumwa na nani kuja kumsafisha mtu? Au chimpumu na mnazi zinakuchanganya? Kuwa smart na unacho post.

Yaani watu wakiwa wanamchukia mtu basi hata akisema jambo lenye maana huwa wanapinga tu,lowassa mwizi ok wewe mpaka sasa umeshafanya madili mangapi hapo kazini kwako ambayo sio halali? Wengi wetu ni wizi sehem tunazofanyia kazi au biashara'kodi ngapi umekwepa kulipa huo nao ni wizi kwa taifa, na mungu angekuwa kama sisi binadamu basi hakuna ambae angeingia peponi'maana sisi wote tunamkosoa ila watu hawayaoni yao ni ya lowassa tu,
 
Mwasisi wa taifa hili J.K.NYERERE anabaki kuwa mfano wa kweli wa visionary,na si hawa waliopo katika ccm ya sasa hivi kwa ujumla wao.Wamepotoka,wametoka nje ya mstari, na tatizo linaanzia pale walipotoka kwenye miiko ya uongozi na hasa ule mwiko unaomtaka kiongozi wa serikali kutojiingiza kwenye kufanya biashara kwa azimio kengeufu la Zanzibar.(hakuna mtu awezaye kuwatumikia mabwana wawili,maana anaweza kumchukia huyu na kumpenda huyu). Hapa ndipo ilipochinjiwa fursa sawa kwa wote,na hapa ndipo palipozaliwa tatizo la ajira kwa vijana.Sasa baadae anapokuja mtu ambaye kashiriki kuliestablish azimio bovu kisha anaonekana visionary ni kituko na wakati huohuo ni mwito wa mleta uzi kurudi nyuma na kujifunza 'vision' ni nini na 'visionary' ni nani.Vinginevyo tuache kupotoshana,nchi ina hali mbaya sana kwasababu ya kukosa maono ya kitaifa ambayo ndiyo yanayopaswa kutuongoza.
 
Mkuu kwa ufisadi wa el tumepoteza nafasi za ajira karibu laki moja-Jamani wabongo hata nyerere alitustua kuwa haka kajamaa ni kachori sana kamaweza hata kuwauza nyinyi kama watu,Tujikumbushe kidogo tu nani alisuka mpango mzima wa kusaini mkataba wa Buzwagi nchini London,kumbukeni vizuri Lowasa alitokea Canada akatua London siku moja kabla ya kusainiwa kwa mkataba na inasadikika kuwa alikuwepo yeye na kalamagi wake...utakataa kuwa mihuri yote ya kustamp alikuwa nayo EL...Tafakali

napita tu!????????????
 
Kweli mkuu.Kwanza Dr. Slaa ndiye aliyeanzaga kulizungumzia hilo na si EL

Hili ndio tatizo la member wengi wa jf kila kizuri basi ni wazo lao, awe wataka waone kasema Slaa,mbowe,au Mtei basi hao ndo vision lakini sio mwingine
 
Wadau mnamuandama tu lowasa bure yeye alikua ka chambo ya mkuu wa kaya kuepusha aibu ya chama chake
 
wewe umetumwa na nani kuja kumsafisha mtu? Au chimpumu na mnazi zinakuchanganya? Kuwa smart na unacho post.

unajua tuwe tunaacha ushabiki wa kijinga. Lowasa angekuwepo angefanya nini? Ni yeye alikuwepo karamagi alivyopaa kwenda kusaini mkataba wa buzwagi hotelini, kuna ajira zilizoletwa kwa vijana? Alisaini tanesco kunyonywa tumekuwa kwenye mgao uliokosesha watu ajira na mikopo yao imewatia hasara kubwa sana. Yumo ndani ya system inayosababisha haya yote,amefanya nini zaidi ya kutafuta sifa za kupata madaraka yake binafsi ili wakale na familia yake?
 
Mnyonge mnyongeni haki zake mpeni EL kama ana makosa yake lakini anayo yasema yana ukweli ndani yake,hakuna bina damu aliye kamilika kila mtu ana mapungufu yake.
 
Acheni chuki binafsi EL amefanya mambo mengi katika nchi hii ina bidi heshima yake apewe.
 
EL amekua akipiga kelele mpaka sauti kumkauka kwamba vijana wasio na ajira ni bomu linalosubiri kulipuka. Ameongea kwenye majukwaa, mashuleni hata vikao vya ndani ya CCM. Vurugu zote zinazoendelea leo ni kutokana na umasikini na kukosekana kwa fursa [ opportunities] kwa vijana wengi nchini. Ajira hamna, vikwazo visivyo na maana katika ujasiriamali, manyanyaso na kujuana kumepelekea suala dogo kuyumbisha nchi. Amani tunayoichukulia for granted inaanza kuyeyuka nchini mwetu.
Licha ya kwamba kuna udhaifu wa serikali yetu wa kutochukua hatua mapema kwa vitendo vya uvunjifu wa amani, kutokufuatutilia madai halali yanayolalamikiwa na waislamu, sera za CCM za divide and rule, ni wazi kwamba sakata hili limechocheka kwa kiasi kikubwa na vijana wanaokaa vijiweni kwa kukosa ajira.
Lowassa angekuwepo haya yasingetokea.


Siyo mshabiki mkubwa wa Mjenga, hasa baada ya sakata la Mwangosi, lakini leo hebu soma hii masterpiece yake leo
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/340157-ya-mbagala-na-bedui-aliyekojoa-msikitini.html

Unachosema kina mantiki japo sikubaliani na wewe unaposema hakuna yeyote aliye wahi sema hili bali EL.

Tusipende kuwa na mawazo mgando!EL anaweza kuwa mzuri ila si yeye peke yake, nchi hii! Mbona mwalimu alikuwa the best na kaondoka na tunaishi.

EL ana mapungufu mengi kuliko strength, na isitoshe kesha choka. So wakati wake umeisha look out for others to lead us from here on.

Pia na-boreka na watu kuwa na mawazo ya kutaka serikali ilete suluisho za kila changamoto mbele yetu.
Tatizo la vijana bila ajira sio muujiza, ni matokeo ya unplanned population burge! Tunazaa bila mpangilio, na wakati mwingine hata kodi hatulipi, jsasa tunataka serikali itoe wapi nguvu ya kutusaidia?!

May be its time if we want govt to provide all solutions then it be governed by a dictator, ambaye ata-control hata kuzaliana kwetu, to the extent that the govt can support.

Wakilisha!
 
Alikua ni PM tu, hakua na ultimate powers to run this country.
lol, u r ready to make excuses about anything ..don't you!?
alipokua ana-fire watu on - the spot (bila busara, of coz) alikua anatumia powers gani?
ukweli ni kwamba the guy is useless self-serving bas.tard..if this country can count on this kind 'leaders' in 2015 it is obvious our fate is sealed.
 
bado lile la uchaga halijalipuka sababu liliwekwa kuiua chadema....utasikia maduka ya wachaga yavamiwa mtwara waambiwa warudi kwao
 
Uzi huu unaweza kuwa ba ukweli lakini chokochoko za dini zimeanza muda mrefu na aliyezipalilia na kuziivisha vizuri ni JK na magamba yake wakati wa kampeni baada ya kuishiwa sera na kuzidiwa na cdm. Suala la ajira kwa vijana ni secondary na chuki za kidini ni primary.

ukweli ni kuwa watu wengi wakikosa kazi ni rahisi kurubunika maana kukicha tu wanaamkia vijiweni na huko ndo wanapanga mambo yasiyo na tija lkn hicho kisiwe kisingizio mbona wanaofanya fujo ni waisilamu pekee?ina maana hakuna vijana wa kikristo ambao hawana kazi? nafikiri hapa ni uelewa mdogo wa watu hawa.na pia dola kukosa nguvu ya kukemea hili hadharani bila kujali itikadi ya dini yeyote.
 
Kinachonisikitisha humu ndani ya JF ni kuwa mtu anapost mada badala ya kujadiliwa mtu anaamua kutukana au kukashifu
ni hii inaonyesha ni utapiamlo wa mawazo,

Tatizo la ajira ni chanzo cha maafa yote yanayotokana vurugu au kuipundua Serikali so EL anajua kitakachotokea Tuangalie Arab Spring, Madagasca, Orange Revolution But Unatakiwa uwe na akili nzuri ya uchunguzi kuweza kujua tatizo la ugonjwa na kutoa dawa sahihi kuliko kutoa painkiller kwa mgonjwa
 
Hapa sio mahala pa kusafishia MAFISADI NA MAJAMBAZI NA MABAKAJI YA MALI ZA UMMA KAMA EL NA TIMU YAKE. HIVYO UMEPOTEA TAFUTA JUKWAA JINGINE SIO HILI.GAMBA TU WW.
 
Ukweli husemwa:


Kama maneno hayo ya Lowassa yanakufanya umuone kama ni 'visionary' basi Watanzania bado tuko bado mbali kuyafikia mabadiliko kamili.

Mbona hata kipofu wa fikra alilijua hilo. Lowassa alichokuwa akifanya ni kutumia jukwaa la kisiasa ambalo ni pana kwake kutokana na nafasi yake katika jamii kusema jambo ambalo hata kipofu wa fikra alilijua.

Tatizo letu Watanzania, tumejengeka tabia ambayo pale tunapomkubali mwanasiasa basi hata akisema pumba tunaona ni mchele kwa sababu hatujongelei yale anayoyasema kwa walakini ili kuwa na kipimo mbadala.

Hebu tusimpe sifa ambayo hasitahili.

Sure thing mkuu!Sijui hii akili imetoka wapi...yaani mtu kusema vitu OBVIOUS anaonwkana kama "visionary"
 
Ni mnafiki na muongo wa kawaida. Mbona hakuyafanya alipokuwa madarakani kama ni visionary kama unavyotaka tuamini kana kwamba hatuna ubongo. Go tell it to the birds.

Mkuu, Umeona enh? ..wakati wa uongozi qake mbona hakuns tunaloweza kusema kumkumbuka kwalo?..Siye huyu aliyosema hata kama ni majani tutakula ndege ya Rais inunuliwe? Siye guyu aliyesema katikakati ya mbuga watajenga "mahoteli" ..sasa wanasafirisha wanyama kama juice?
 
Back
Top Bottom