Sasa umeamini kwamba Lowassa ni visionary?

Mwenye sifa hii huitwa visionary. EL anayo.
Ni ukweli ucopngka EL ni kama mfalme Daudi! Naye alikua na mapungufu yake! Tukimbeza na kumtupa EL tutakosa maendeleo watanzania wote! Tuache kupenda viongoz wenye blablaa za mdomoni. Tusipokua makini tutachagua kiongozi dhaifu zaid 2015 kwasbbu tu ya kuamini chuki zilizojengwa na kundi la mh. 6.
Uongo juu ya EL Umechukua mrefu
na utasababisha watanzania tukose viongozi wenye uwezo na wabunifu,wachapakazi na wenye uwezo wa kusimamia maamuzi kama EL. Hata mwalimu alikua na mapungufu yake. Na endapo hiki kizazi cha lawama na malalamiko kingekuwepo enzi za mwalimu basi huenda angetajwa kama kiongo mbovu kuliko anavyotajwa na historia. Miaka ya 80 watu walikua wamemchoka mwakimu kwa kiwango kikubwa sana kutoka na umaskini wa nchi na hata familia yake mwenyewe. Sasa bora lipo kuwa na Rais maskini asiye na uwezo na mikakati ya kuleta maendeleo au kuwa na rais tajiri mwenye mikakati,ucmamizi na uwezo wa kuhamasisha maendeleo?
 
Yeye pia alikuwa kwenye serikali hiyo hiyo ambayo haikutegua bomu la vijana kukosa ajira! Yeye alikuwa 'busy' kutafuta mvua Thailand ili atuingize mkenge watanzania. Hatakasiki aslani!
 
Ukweli husemwa:

Maneno hayo siyo pumba hata kidogo lakini hayawezi kumfanya aonekane 'visionary' kwenye macho ya watu weledi kwa vile atakuwa anachombeza tu kile ambacho jamii inakiona na kukifahamu. Tusirahisishe kiasi hiki neno 'visionary'.

Kwa hiyo mtu akisema kwamba kuna tatizo la ajira Tanzania, na kwamba serikali iliyopo madarakani haifanyi jitihada zozote za maana kutatua tatizo hilo ni pumba?
 
Acha unafiki? Amekuwa waziri kwa muda gani na waziri mkuu muda gani mbona hakufanya lolote kwa ajili ya vijana?
 
Ni ukweli ucopngka EL ni kama mfalme Daudi! Naye alikua na mapungufu yake! Tukimbeza na kumtupa EL tutakosa maendeleo watanzania wote! Tuache kupenda viongoz wenye blablaa za mdomoni. Tusipokua makini tutachagua kiongozi dhaifu zaid 2015 kwasbbu tu ya kuamini chuki zilizojengwa na kundi la mh. 6.
Uongo juu ya EL Umechukua mrefu
na utasababisha watanzania tukose viongozi wenye uwezo na wabunifu,wachapakazi na wenye uwezo wa kusimamia maamuzi kama EL. Hata mwalimu alikua na mapungufu yake. Na endapo hiki kizazi cha lawama na malalamiko kingekuwepo enzi za mwalimu basi huenda angetajwa kama kiongo mbovu kuliko anavyotajwa na historia. Miaka ya 80 watu walikua wamemchoka mwakimu kwa kiwango kikubwa sana kutoka na umaskini wa nchi na hata familia yake mwenyewe. Sasa bora lipo kuwa na Rais maskini asiye na uwezo na mikakati ya kuleta maendeleo au kuwa na rais tajiri mwenye mikakati,ucmamizi na uwezo wa kuhamasisha maendeleo?
Acheni lugha za kijinga, yaani unataka kusema Tanzania tuna uhaba sana wa viongozi bila Lowassa nchi haitakwenda? Please, mambo haya yanakera. Lowassa akiwa rais nitajinyonga
 
Hakuna chochote cha maana alichosema Lowasa hapa. This is very simple visioonary, in which even a blind man could say.
If that was the case, kwa nini vijana wa kikikristo wasio na kazi hawajalipuka kama wenzao waislamu? EL alikuwa kwenye serikali hii, ilifanya nini kuzuia bomu hilo?

My TAKE: Kama angekuwa visionary leader kama unavyomtetea, WL aje na vision ya jinsi atakavyoweza kujenga institutions za muhimu katika Taifa leo. Kukosemaka kwa functional institution ni moja ya sababu ya kufanya nchi uyumbe bila direction. Atafanyaje ili polisi, mahakama, magereza, hospitals, vifanye kazi inavyotakiwa?

Atawezaje kujenga a strong "state" ambayo watu wote watakuwa responsible, itaweza kusimamia maslai ya Taifa na sio maslai ya viongozi wa serikali?

Angefanya baadhi ya hayo hapo juu, hata hilo tatizo analopigia kelele kutafuta umaarufu halitakuwepo.
 
Wewe huyo Lowasa wako yuko nje ya nchi hii? Si mmojawapo wa viongozi wa juu sana wa Tanzania? Je ni wazo gani alilolitoa kwa rais wake likakataliwa? Acha kampeni ya huyo mcheza filamu uanayempigia debe hafai na mkimpa nchi ataimaliza kabisa.
 
Wewe huyo Lowasa wako yuko nje ya nchi hii? Si mmojawapo wa viongozi wa juu sana wa Tanzania? Je ni wazo gani alilolitoa kwa rais wake likakataliwa? Acha kampeni ya huyo mcheza filamu uanayempigia debe hafai na mkimpa nchi ataimaliza kabisa.
 
Kila tatizo ccm kunamatatizo mengine yapo wazi...haya basi PONDA nae CCM. Ishue ya sasa haihitaji uccm wala umarangu....wa CDM hilisuala ni janga la taifa na sio siasa...funguka macho.

el aliisha sema hajakutana barabarani na jk ...this mean lao moja kilo ya sukari tutanunua 10,000 na hivi anamtandao wake subiri muda tu umeshasikia musoma zilitumika 300m mwanza na moshi napo
 
sasa lowassa amefaanya nini cha maana? au unataka watu wawe wanamtaja tu bila sababu ya msingi? kila mtu anajua kuwa ukosefu wa ajira kwa vijana ni tatizo. hata kama lowassa asingesema ingebaki kuwa hivyo. Tunisia waliondoa utawala uliokuwa madarakani chanzo ni ukosefu wa ajira
 
Acheni lugha za kijinga, yaani unataka kusema Tanzania tuna uhaba sana wa viongozi bila Lowassa nchi haitakwenda? Please, mambo haya yanakera. Lowassa akiwa rais nitajinyonga

Mimi stajinyonga ila nitaingia msituni, najua nitungwa mkono.

kumpa EL nafasi ya kugombea urais iitakuwa ajabu lingine la dunia
 
Hili suala la machafuko ya kuchoma makanisa lisihusishwe kabisa na ukosefu wa ajira kwa vijana. Cha kushangaza hakuna hata msikiti mmoja uliovunjwa hata kioo sembuse kuchoma nyumba za ibada za watanzania wengine kama wao. Ina maana tatizo la ajira linawakabiri waislamu pekee? Ina maana hakuna vijana wa kikristo wanaokabiliwa na ukame wa ajira nchini?

Kama Lowassa ni mtu wa vision, hilo tatizo angelitafutia ufumbuzi wakati akiwa na dhamana akitumikia serikali iliyoundwa na CCM. I guess mtetezi wake atakuja na utetezi mwepesi akidai wakati huo kulikuwa hakuna tatizo la ajira. Kuna matajiri wengine mfano R. Mengi anatumia nafasi au utajiri wake kupunguza tatizo la ajira kwa kutoa misaada kwenye vikundi vya maendeleo (kwa akina mama, Handicapped na makundi mengine). Yeye Lowassa ni utakuta anatoa kusaidia harambee kwenye makanisa (sina tatizo na hilo), lakini anafanya hivyo akitegemea something back (KURA ili aendelee KULA)........
That isn't VISIONARY bali ni UFISADI.
 
EL amekua akipiga kelele mpaka sauti kumkauka kwamba vijana wasio na ajira ni bomu linalosubiri kulipuka. Ameongea kwenye majukwaa, mashuleni hata vikao vya ndani ya CCM. Vurugu zote zinazoendelea leo ni kutokana na umasikini na kukosekana kwa fursa [ opportunities] kwa vijana wengi nchini. Ajira hamna, vikwazo visivyo na maana katika ujasiriamali, manyanyaso na kujuana kumepelekea suala dogo kuyumbisha nchi. Amani tunayoichukulia for granted inaanza kuyeyuka nchini mwetu.
Licha ya kwamba kuna udhaifu wa serikali yetu wa kutochukua hatua mapema kwa vitendo vya uvunjifu wa amani, kutokufuatutilia madai halali yanayolalamikiwa na waislamu, sera za CCM za divide and rule, ni wazi kwamba sakata hili limechocheka kwa kiasi kikubwa na vijana wanaokaa vijiweni kwa kukosa ajira.
Lowassa angekuwepo haya yasingetokea.


Siyo mshabiki mkubwa wa Mjenga, hasa baada ya sakata la Mwangosi, lakini leo hebu soma hii masterpiece yake leo
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/340157-ya-mbagala-na-bedui-aliyekojoa-msikitini.html

Unamaanisha Mjengwa au siyo? Kwani amefanya nini kuhusiana na Mwangosi? Maana nafahamu alichangisha fedha kwa ajili ya mjane sasa je alizinywa ama?

Lowasa hafai, hao vijana unaowasema wamekosa kazi kwa sbabu walifunga saloon zao kwa kukosa umeme sababu ya Richmond. Huyu ni wa kufunga jela sema bahati yake hakukutana na jk barabarani
 
haya yanayotokea hayana uhusiano na ukosefu wa ajira. Ni upungufu tu wa ufahamu na maarifa kadhaa. Ni sawa na kutaka kutuaminisha kuwa hili ni Taifa la kiislam kwani wanaosumbua huko ni wao pekee. Hakuna wakristo wasio na ajira? Wamevunja cha mtu? Tatizo ni mbegu ya chuki na utengano inayopandikizwa kisiasa kwa mgongo wa imani

kwani mgogoro wa waislamu unahusu ajira?au inimradi na wewe ume comment.
 
Back
Top Bottom