4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,301
- 12,952
Wakuu amani ya Bwana ikawe juu yenu ,
Rejea mada tajwa .
Mh aliekua Mbunge wa bunge la JMT ,tulipenda sana tumia jina la mh Bwege, kuna kipindi ndani ya Bunge aliwambia wabunge wa ccm na serikali kwamba tunaanza upyaaa.
Sasa msemo huu leo nawambia pia ccm kwamba tunaanza upya ,drama zao zimeisha sasa ni nguvu ya Mungu juu ya wana wake ndani ya Tanzania vs CCM .
Mwamuzi ni yeye mwenyewe asema Bwana wa majeshi ,upande ulio wake utashinda.
Thanks
Rejea mada tajwa .
Mh aliekua Mbunge wa bunge la JMT ,tulipenda sana tumia jina la mh Bwege, kuna kipindi ndani ya Bunge aliwambia wabunge wa ccm na serikali kwamba tunaanza upyaaa.
Sasa msemo huu leo nawambia pia ccm kwamba tunaanza upya ,drama zao zimeisha sasa ni nguvu ya Mungu juu ya wana wake ndani ya Tanzania vs CCM .
Mwamuzi ni yeye mwenyewe asema Bwana wa majeshi ,upande ulio wake utashinda.
Thanks