Sasa Raisi apunguze baraza la mawaziri

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,939
20,399
Baada ya hekaheka ya pale Bungeni Dodoma naona huu ni wakti mzuri wa kukaa kitako na kuunda baraza jipya la mawaziri tena dogo lenye idadi ndogo ya mawaziri na manaibu.

Halafu pia naona raisi achague mawaziri kutoka mikoa kona zote za Tanzania.

Pia namshauri mheshimiwa raisi, asipange wabunge aliowachagua yeye kupitia viti maalum kama mama Rwakatare kwani haitaleta haki kwa wapiga kura.

Sasa mtazamo wa baraza jipya la mawaziri ambalo ni la watu 22 ningependa mheshimiwa raisi aunde ni kama ifuatavo:

Waziri Mkuu

Naibu Waziri Mkuu

Waziri wa Mazingira, Maendeleo Endelevu na Makazi

Waziri wa Fedha na Uchumi

Waziri wa Sheria, Katiba na Serikali za Mitaa

Waziri wa Afya na Huduma za Jamii

Waziri wa Elimu (kwa ujumla), Watoto na Ujuzi

Waziri wa Maendeleo Vijijini na Ushirika

Waziri wa Mambo ya Ndani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikano wa Kimataifa

Waziri wa Utamaduni na Michezo

Waziri wa Biashara na Nishati

Waziri wa Miundombinu na Usafiri

Waziri wa Kazi

Waziri wa Utalii na Maliasili

Waziri wa Habari na Mawasiliano

Waziri wa Sayansi na Teknolojia

Waziri wa Uvuvi na mambo ya Baharini

Waziri wa Kilimo na Chakula

Waziri wa Uraia na Uhamiaji

Waziri wa Viwanda

Waziri wa Usalama wa Raia

Mwanasheria mkuu wa Serikali

Na Katibu wa Baraza



Naomba kutoa hoja
 
Baada ya hekaheka ya pale Bungeni Dodoma naona huu ni wakti mzuri wa kukaa kitako na kuunda baraza jipya la mawaziri tena dogo lenye idadi ndogo ya mawaziri na manaibu.

Halafu pia naona raisi achague mawaziri kutoka mikoa kona zote za Tanzania.

Pia namshauri mheshimiwa raisi, asipange wabunge aliowachagua yeye kupitia viti maalum kama mama Rwakatare kwani haitaleta haki kwa wapiga kura.

Sasa mtazamo wa baraza jipya la mawaziri ambalo ni la watu 22 ningependa mheshimiwa raisi aunde ni kama ifuatavo:

Waziri Mkuu

Naibu Waziri Mkuu

Waziri wa Mazingira, Maendeleo Endelevu na Makazi

Waziri wa Fedha na Uchumi

Waziri wa Sheria, Katiba na Serikali za Mitaa

Waziri wa Afya na Huduma za Jamii

Waziri wa Elimu (kwa ujumla), Watoto na Ujuzi

Waziri wa Maendeleo Vijijini na Ushirika

Waziri wa Mambo ya Ndani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikano wa Kimataifa

Waziri wa Utamaduni na Michezo

Waziri wa Biashara na Nishati

Waziri wa Miundombinu na Usafiri

Waziri wa Kazi

Waziri wa Utalii na Maliasili

Waziri wa Habari na Mawasiliano

Waziri wa Sayansi na Teknolojia

Waziri wa Uvuvi na mambo ya Baharini

Waziri wa Kilimo na Chakula

Waziri wa Uraia na Uhamiaji

Waziri wa Viwanda

Waziri wa Usalama wa Raia

Mwanasheria mkuu wa Serikali

Na Katibu wa Baraza



Naomba kutoa hoja

Richard,

Ushauri mzuri sana huo. Lakini pia ukichunguza sana utagundua kuwa nyingi ya wizara hapo zinaweza tu kuwa idara au kurugenzi za serikali na kazi ikafanyika badala ya kuwa na mzigo wa kuweka wanasiasa kuziendesha.

Wizara kumi ni nyingi sana.
 
Mawaziri ishirini mpaka ishirini na tano wanatosha kabisa na siyo kila wizara inahitaji kuwa na naibu waziri. Hii itapunguza gharama kubwa za uendeshaji serikalini.
 
Back
Top Bottom