Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,152
- 17,960
Baada ya hekaheka ya pale Bungeni Dodoma naona huu ni wakti mzuri wa kukaa kitako na kuunda baraza jipya la mawaziri tena dogo lenye idadi ndogo ya mawaziri na manaibu.
Halafu pia naona raisi achague mawaziri kutoka mikoa kona zote za Tanzania.
Pia namshauri mheshimiwa raisi, asipange wabunge aliowachagua yeye kupitia viti maalum kama mama Rwakatare kwani haitaleta haki kwa wapiga kura.
Sasa mtazamo wa baraza jipya la mawaziri ambalo ni la watu 22 ningependa mheshimiwa raisi aunde ni kama ifuatavo:
Waziri Mkuu
Naibu Waziri Mkuu
Waziri wa Mazingira, Maendeleo Endelevu na Makazi
Waziri wa Fedha na Uchumi
Waziri wa Sheria, Katiba na Serikali za Mitaa
Waziri wa Afya na Huduma za Jamii
Waziri wa Elimu (kwa ujumla), Watoto na Ujuzi
Waziri wa Maendeleo Vijijini na Ushirika
Waziri wa Mambo ya Ndani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikano wa Kimataifa
Waziri wa Utamaduni na Michezo
Waziri wa Biashara na Nishati
Waziri wa Miundombinu na Usafiri
Waziri wa Kazi
Waziri wa Utalii na Maliasili
Waziri wa Habari na Mawasiliano
Waziri wa Sayansi na Teknolojia
Waziri wa Uvuvi na mambo ya Baharini
Waziri wa Kilimo na Chakula
Waziri wa Uraia na Uhamiaji
Waziri wa Viwanda
Waziri wa Usalama wa Raia
Mwanasheria mkuu wa Serikali
Na Katibu wa Baraza
Naomba kutoa hoja
Halafu pia naona raisi achague mawaziri kutoka mikoa kona zote za Tanzania.
Pia namshauri mheshimiwa raisi, asipange wabunge aliowachagua yeye kupitia viti maalum kama mama Rwakatare kwani haitaleta haki kwa wapiga kura.
Sasa mtazamo wa baraza jipya la mawaziri ambalo ni la watu 22 ningependa mheshimiwa raisi aunde ni kama ifuatavo:
Waziri Mkuu
Naibu Waziri Mkuu
Waziri wa Mazingira, Maendeleo Endelevu na Makazi
Waziri wa Fedha na Uchumi
Waziri wa Sheria, Katiba na Serikali za Mitaa
Waziri wa Afya na Huduma za Jamii
Waziri wa Elimu (kwa ujumla), Watoto na Ujuzi
Waziri wa Maendeleo Vijijini na Ushirika
Waziri wa Mambo ya Ndani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikano wa Kimataifa
Waziri wa Utamaduni na Michezo
Waziri wa Biashara na Nishati
Waziri wa Miundombinu na Usafiri
Waziri wa Kazi
Waziri wa Utalii na Maliasili
Waziri wa Habari na Mawasiliano
Waziri wa Sayansi na Teknolojia
Waziri wa Uvuvi na mambo ya Baharini
Waziri wa Kilimo na Chakula
Waziri wa Uraia na Uhamiaji
Waziri wa Viwanda
Waziri wa Usalama wa Raia
Mwanasheria mkuu wa Serikali
Na Katibu wa Baraza
Naomba kutoa hoja