Sasa Rais afanye nini - Pinda anamrushia mpira naye hataki kucheza?


Mkuu,
Very well said. CCM sio option kwa vyovyote vile kulingana changamoto tete zinazokabili nchi hii kwa sasa.

Nimeipenda kwa vile sasa wananchi watakuwa wanatumia akili zao vizuri kufikiri, kuchambua na kuchangua.

Lakini kati ya sasa na Octoba 2015 kuna mwendo! If there's better solution b4 then I will meditate it.
 
The most useless Person in Magogoni at all the time in our country history. Sitegemei mabadiliko kutoka kwake zaidi ya sisi wenyewe wananchi kufanya mabadiliko ya kumtimua kinguvu hata ikibidi kutumia bunduki ili kuweza kulinisuru hili Taifa zidi ya hawa Wapumbavu, tusipofanya hivyo vizazi vijavyo vitatulaumu kwa ujinga na upumbavu wetu. Its time now or never, Muda wa bla bla umekwisha sasa tunahitaji Vitendo vya kulikomboa hili Taifa
 
Mfumo na mawaziri wameoza na dawa ni ku overhaul serikali yote......JK hawezi kuchukua hatua cuz hana nia ya dhati na kinachoonekana nchi ilishamshinda hivyo anavuta muda tuu 2015 ifike but tutafikaje kwa mendo huu?????
 
tatizo ni kwamba rais hana replacement kwa nyazifa za mawaziri.
Hana mpango mbadala
Hana uwezo wa kuamua cha kufanya
.
Hana uoga wa lolote.
Hana chochote cha kupoteza.
Hawezi kuamua.

Mkuu hapo kwenye RED si sahihi hata kidogo
Kama atikitala kuunda Baraza Dogo litakaloperform vizuri, atapata watu wazuri, na atapunguza gharama. Kwa hapa tulipofikia anaweza hata akachukua compitent personel kutoa vyama vyama vya upinzani kama ataona wanamfaa, kwani katiba na sheria nyingine ndogo ndogo hazizuii hilo.

Kumbuka bado rais hajatumia zile nafasi zake 7 za kikatiba. Na kama tatizo ni CCM kwa sasa, bado anaweza akalivunja bunge ili tuanze moja
 
Kimsingi hatuna Rais mwenye hadhi na mamlaka ya Rais, kwa kipindi chake chote kashindwa kutofautisha urafiki na utendaji kazi. Naunga mkono wanaoshauri Pinda ajivue gamba, maana kabaki mtu wa kuumia na kulalamika siku zote.
 
Sasa nimeamini Gazeti la Mtanzania lina uchokozi wa ukweli ukweli. Gazeti lilisema 'UPEPO HUU UTAPITA! Ni kweli si mnaona. CCM ni gari linalokwenda mtoni kwa kasi ya 200km/hr huku dereva amekwenda nyuma kupiga story. Nawasilisha
 
Kama kweli Pinda hana maamuzi ktk baraza la mawaziri wake na kweli hawawajibishi hana maana ya yeye kuendelea kuwepo ktk kiti hicho cha WM kama pambo tu ni bora ajiuzuru ili raisi mwenye uwezo wa kuwawajibisha mawaziri wanaolalamikiwa aweze kufanya kazi au aendelee na ziara ambazo zitasimamishwa na nguvu ya umma. Hii maana yake nini kila kunapokuwa na tatizo kubwa nchini raisi wetu ye ndo anaona ni muda wa kutoka nchini ni kukwepa wajibu wake au ni nini? Pinda kama kweli amebanwa na ajitoe kama posho lake ataendelea nalo.
 
" Lakini katika sakata lile la madaktari mwisho wa siku Waziri Mkuu akampasia Rais Kikwete mpira na safari hii Rais akacheza kama pele kwa kuwapiga mkwara wake madaktari na kuwalazimisha kurudi kazini. Madai yao ya kutaka Waziri na Naibu wake waondoke yakipuuzwa! Wote bado wapo na wanaendelea na kazi. Hakutaka kucheza. "

Naona kuna mgongano wa hoja hapo, kama rais alipasiwa na akacheza kama pele, mwisho unatoa conclusion HAKUTAKA KUCHEZA.

Wewe unajua ushauri pinda liompa rais wake? unakijua walichoongea maDr na Rais magogoni? huwezi kuja na conclusion unless ujue alichoshauriwa JK na pinda na alichozungumza rais na madr.
yet another fabricated story.
 
yes mwanakijiji
This indicate that the ruling part government has failed,has no serous presdent who can analys issues on his government,how can his govn has eighty minister which according to mp are "total corupt minsters",and he ddn't even think about his country, he just pass air to air(Brasil to malawi) with cofindency,
 

Mie kwa akili zangu za chekechea nilijua kuwa waziri mkuu ndio mtendaji mkuu wa serikali, na alitakiwa kutoa tamko na ONYO kali kwa puuzi zinazoendelea. Lakini jinsi ninavyozidi kukua nagundua kuwa the man is just a ceremonial leader, na pengine yuko plae kwa ajili ya mapitisho ya fisadi zingine, consuming our money. La, sioni umuhimu wa vyeo hivi hapa Tanzania
  1. Waziri Mkuu
  2. Makamu wa Raisi.
Hawana hata uwezo wa kumshauri huy boga aliye huko juu. Inauma kwa kweli kuona tunachezewa shere kiasi hiki. bora tugawane majibo na kila jimbo liwe na Raisi wake, ili tutiane adabu "KIMILA" huko.
 

Pinda hawezi kuwa na maamuzi kwa walio chini yake kwani wote wako pale kwa ajili ya mkulu ili WM huyu ajilindie heshima yake ambayo imepotea kkwa kukosa confidence / power of command. Tusubiri siku akiwa na kimavi ndo utasikia akilalama kuwa mi nilikuwa tu kondoo wa kafara, na achukuwe hatua sasa.
 
Wasubirie nguvu ya umma ndo itawaadhibu

We are tired of them already, wanatutoa povu hapa, usikute wao sasa hivi wako kwenye majacuzzi wanafurahia posho walizokusanya for the two weeks or so, za vikao vilivyokwisha. Haki ya MUNGU vile tutawafunga mawe shingoni mwao tuwatpe BAHARINI, they don't deserve this LAND
 
waacheni waliochaguliwa na wananchi wamalizie muda wa miaka 5 waliopewa na wananchi wa majimbo wao (mawaziri), na rais chaguo la Mungu aliyechaguliwa na waTanzania (kumbuka repoti za baada ya uchaguzi mpaka za viongozi wa dini)
Tuombe uchaguzi ujao waTanzania tujue kuchagua makapi then kulalamika ndio kansa ya Utanzania,......Gabbage in Gabbage Out coz mawaziro wote wanaotakiwa kujiuzulu walichaguliwa na watanzania tena kwenye majimbo ambayo wanaishi maisha duni (chini ya 1US $)
 
hatuna serikali ikiwa inashindwa kutekeleza majukumu yake.
ila kuna kikundi cha watu wanaofanya biashara yao na kujiwekea namna rahisi ya kufaika kupitia wengi.na huu ni unyonyaji ama wizi.
 

ang'a'tuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…