Sasa nimeelewa hoja/shida ya wana-UKAWA

Sasa nimeelewa hoja/shida ya wana-UKAWA

raia wamechoka na eskrow, pap, iptl, epa nk...

Huu ulisababishwa na mfumo au watu? Huyo mgombea wenu Ukawa si alikuwepo na kushiriki kikamilifu katika mfumo na kimemtajirisha. Unafikiri akiingia Ikulu ataanza kuubomoa mfumo huo? Sidhani!
 
Sasa Je kama muhimu ni kuondoa CCM tu, Na tuseme Lowasa akawa raisi wa JMT halafu ghafla akageuka kuwa Museveni (raisi wa Uganda) akafuta Upinzani na kuweka Udikteta kwa kufuta vyama vingi, akatumia Katiba iliyopo inayompa madaraka makubwa na kujimillikisha gesi na rasilimali zote yeye na wenzake tunawezaje kuirudisha tena nchi yetu ktk kwake?

Nasema hivi kwa maana mpaka sasa hivi hakuna chochote kinachoonyesha ni nini Lowasa anasimamia, ni ipi itikadi ya Lowasa/UKAWA hivyo ni kama kamari kuna kupata na kukosa ndivyo unavyotaka kusema?
Lakini kama ni hivyo huwezi kucheza kamari na Nchi hapa tunaongelea Nchi na siyo Kampuni au familia bali ni nchi yenye Watu milioni 45 sasa kutaka tu kubalisha Uongozi kwa kutegemea kamari kwangu mimi ni hiyo haitoshi!

Mkuu umenena na ukiuliza tu basi unaporomoshewa matusi hawana cha kujitetea
1. What guarantees do we have kuwa Lowassa hatageuka kuwa Idd Amin na Ukawa kuwa mignons wake?
JIBU: no guarantee!
2. What guarantees do we have that Ukawa has the right people lined up to take over smoothly?
JIBU: No guarantee maybe waombe coalition government kama Znz (look how it worked out!)
3. What guarantee do we have that Ukawa is not a ethnic/ regional / separatist interest group that wants to grab power?
Jibu: no guarantee
Sasa baada ya hayo mnataka tupigie tu kura Ukawa?
Jibu: Ndiyo tuing'oe tu CCM

No logic!
 
Ni kweli kuwa wa Tanzania walio wengi wamechoshwa na utawala wa Ma CCM kwasababu yame prove failure. Kila leo yanayuletea maneno yenye matumaini lakini hakuna lolote. Awamu hii ya JK ilianza na maisha bora kwa kila mtanzania, ....mwisho wa siku hakuna lolote. Mara, kilimo kwanza,.....nayo hakuna lolote. Tuhuma za ufisadi kibao, eg. EPA, RICHMOND, OPERATION TOKOMEZA, kumbe wao ndio majizi ya nyara za serikali na mwisho Kashfa ya TRGETa ESCROW. Jamma yameshindwa kanisa kushughulikiwa hata moja. Eti yanatakwimu za uchumi kupanda lakini maisha ya wananchi yanaporomoka kila kukicha. Ndiyo maana yamefanya umaskini/ufukara wa wananchi kuwa mtaji wa menyewe kwenda ikulu kwa kuwagawia vi hela kidogokidogo nyakati za uchaguzi mkuu. Angali sasa hivi yalivyofanya kwenye kura za maoni udiwani na ubunge, karibu nchi nzima ni malalamiko tu. Kwa hiyo nora tuyatoe kabisa huko magogoni. Kwakuwa itikadi na falsafa ya Chadema na vyama vyote vya upinzani ni kuchukia na kuondosha kabisa ufisadi nchini pamoja na kusimamia vizuri rasilimali ya nchi hii, yeyote atakayeingia ikulu atahakikisha anatekeleza hayo.
Ma ccm mlie tu.
 
Yes,ccm iondoke kwanza!Win the war first and go back pick up the pieces!That's how its done!Kama na hawa wataendeleza yaleyale na wao tutapiga chini mpaka apatikane mtu sahihi,hakuna haja ya kuendelea kukumbatia chama kile kile kilichpoteza dira,tunataka mabadiliko!Chama kikiharibu kinapigwa chini

Hii ndio watu wote wenye akili ndio wanataka Hapendwi mtu ni maendeleo tukishafikia hatua ya kila baada ya miaka5 Tunang'oa chama kilichotudanganya ndipo NCHI hii itakaposogea manake watakaopewa Madaraka lazima watekeleze watakayoahidi sasa miPOYOYOZ inang'ang'ania chama kimoja miaka nenda rudi then inategemea Maendeleo
 
Huu ulisababishwa na mfumo au watu? Huyo mgombea wenu Ukawa si alikuwepo na kushiriki kikamilifu katika mfumo na kimemtajirisha. Unafikiri akiingia Ikulu ataanza kuubomoa mfumo huo? Sidhani!

CCM na UKAWA ni vitu viwili tofauti so kwanza CCM itoke mamlakani na UKAWA baada ya 5yrs wakizingua tunatupa pembeni Hatuwezi kuwa na chama kimoja miaka yote then tutegemee Maendeleo ni UJUHA
 
Good observation.Na ndio maana hata majibu yao huku ndani ni ya ovyo ovyo..wanabaki kusema umamaliza? ...dawa inaingia... stupid comments. Hawako tayari kwa mjadala wowote...yaana hata ukiongea nao ukiwauliza watashindaje uchaguzi hawana mbinu wanabaki oooh suburi asubuhi. IT IS SUCH A DISGRACE TO BE AN UKAWA SUPPORTER.

Ukawa watashinda uchaguzi kupitia Kura za Wananchi.. Hatuna mbinu nyingine.
 
Baada ya kupata shida sana kwa muda sasa kuwaelewa wafuasi wa UKAWA/Lowasa mwishowe nimekuja kuwaelewa ni kwamba wao wanachokitaka Chama Cha Mapinduzi kiondoke madarakani na kinaondokaje na nani anakuja baada ya CCM kuondoka hilo kwao siyo muhimu ila cha muhimu tu CCM iondoke!

Kitu kilichokuwa kinanipa shida kuelewa ni kwamba ni kwanini maswali magumu hawataki kuyajibu? Maswali kama Je, kama CCM ndiyo mbaya iweje tena muwe tayari kuwaamini Watu wale wale waliokuwa CCM na wengine bado wapo wajibadilishe Jina nakujiita UKAWA badala ya CCM halafu mseme mnataka kuindoa CCM madarakani hamuoni kwamba mtakuwa mmefanya kazi bure?

Jibu la hili swali ni kwamba tutajua mbele kwa mbele cha muhimu CCM iondoke!

Sasa baada ya majibu kama haya basi nimeamua kuwaelewa na kutambua kwamba wana UKAWA wana Intelejensia ndogo na hamna kitu mtu utafanya kuwashawishi vinginevyo kwa maana hata hawako tayari kwa majadiliano yenye maswali mgumu!

Kwao haijalishi nani anakuja lkn Cha muhimu CCM Iondoke!

Hebu anzisha mjadala wa Hayo maswali magumu Ujibiwe..
 
Baada ya kupata shida sana kwa muda sasa kuwaelewa wafuasi wa UKAWA/Lowasa mwishowe nimekuja kuwaelewa ni kwamba wao wanachokitaka Chama Cha Mapinduzi kiondoke madarakani na kinaondokaje na nani anakuja baada ya CCM kuondoka hilo kwao siyo muhimu ila cha muhimu tu CCM iondoke!

Kitu kilichokuwa kinanipa shida kuelewa ni kwamba ni kwanini maswali magumu hawataki kuyajibu? Maswali kama Je, kama CCM ndiyo mbaya iweje tena muwe tayari kuwaamini Watu wale wale waliokuwa CCM na wengine bado wapo wajibadilishe Jina nakujiita UKAWA badala ya CCM halafu mseme mnataka kuindoa CCM madarakani hamuoni kwamba mtakuwa mmefanya kazi bure?

Jibu la hili swali ni kwamba tutajua mbele kwa mbele cha muhimu CCM iondoke!

Sasa baada ya majibu kama haya basi nimeamua kuwaelewa na kutambua kwamba wana UKAWA wana Intelejensia ndogo na hamna kitu mtu utafanya kuwashawishi vinginevyo kwa maana hata hawako tayari kwa majadiliano yenye maswali mgumu!

Kwao haijalishi nani anakuja lkn Cha muhimu CCM Iondoke!

hujielewi...ondoa kwanza mende ndani..kitaeleweka tu!
 
Baada ya kupata shida sana kwa muda sasa kuwaelewa wafuasi wa UKAWA/Lowasa mwishowe nimekuja kuwaelewa ni kwamba wao wanachokitaka Chama Cha Mapinduzi kiondoke madarakani na kinaondokaje na nani anakuja baada ya CCM kuondoka hilo kwao siyo muhimu ila cha muhimu tu CCM iondoke!

Kitu kilichokuwa kinanipa shida kuelewa ni kwamba ni kwanini maswali magumu hawataki kuyajibu? Maswali kama Je, kama CCM ndiyo mbaya iweje tena muwe tayari kuwaamini Watu wale wale waliokuwa CCM na wengine bado wapo wajibadilishe Jina nakujiita UKAWA badala ya CCM halafu mseme mnataka kuindoa CCM madarakani hamuoni kwamba mtakuwa mmefanya kazi bure?

Jibu la hili swali ni kwamba tutajua mbele kwa mbele cha muhimu CCM iondoke!

Sasa baada ya majibu kama haya basi nimeamua kuwaelewa na kutambua kwamba wana UKAWA wana Intelejensia ndogo na hamna kitu mtu utafanya kuwashawishi vinginevyo kwa maana hata hawako tayari kwa majadiliano yenye maswali mgumu!

Kwao haijalishi nani anakuja lkn Cha muhimu CCM Iondoke!

Hatua ya kuitoa ccm madarakani utakuwa ni ujumbe mahususi kwa viongozi kutia akili kuwa nchi ni ya wananchi na wala siyo ya chama.

Wananchi wataongeza ufahamu wa haki zao kwenye swala la uongozi wa nchi.

ITAFUATA VITA YA MLINGANYO WA UCHUMI MIONGONI MWA RAIA.

I.e pension za wana taaluma ziwe kubwa kuliko za wananasiasa (Tumeona mwanataaluma mmoja tena msomi aliyebobea PROFESOR akinunuliwa kama parachichi)

tutapambana kurejesha hadhi ya taaluma ya UALIMU.

Tutapambana kuyapunguza madaraka makubwa ya kujiongezea mishahara wakurugenzi na makatibu wakuu

tutaweka kigingi kuwa posho yoyote isizidi asilimia 15 ya mshahara wa kima cha chini

N.k
 
Sasa Je kama muhimu ni kuondoa CCM tu, Na tuseme Lowasa akawa raisi wa JMT halafu ghafla akageuka kuwa Museveni (raisi wa Uganda) akafuta Upinzani na kuweka Udikteta kwa kufuta vyama vingi, akatumia Katiba iliyopo inayompa madaraka makubwa na kujimillikisha gesi na rasilimali zote yeye na wenzake tunawezaje kuirudisha tena nchi yetu ktk kwake?

Nasema hivi kwa maana mpaka sasa hivi hakuna chochote kinachoonyesha ni nini Lowasa anasimamia, ni ipi itikadi ya Lowasa/UKAWA hivyo ni kama kamari kuna kupata na kukosa ndivyo unavyotaka kusema?
Lakini kama ni hivyo huwezi kucheza kamari na Nchi hapa tunaongelea Nchi na siyo Kampuni au familia bali ni nchi yenye Watu milioni 45 sasa kutaka tu kubalisha Uongozi kwa kutegemea kamari kwangu mimi ni hiyo haitoshi!

Mkuu usiwe km Mganga wa kienyeji kupiga RAMLI kwanza CCM itoke nasisi tunaotaka kutoa CCM sikwamba tunataka chama cha kudumu HAPANA tunataka kutengeneza mfumo ambao vyama vitakavyoingia madarakani viwe vinaheshimu wananchi kwamaana ndio maBOSS wao so chama kitakachodanganya Baada ya 5yrs Tutakitupa
 
Well said brother. Binafsi kadri siku zinavyoenda ukawa/chadema inazidi kupoteza mwelekeo. Ukweli chadema ya July /Augost 2015 sio ile tuliyozeoa! Hata wafuasi na wakereketwa wake walichobakiwa Nacho ni kukumbatia viongozi wao na kumeza wanayolishwa bila kuhoji! Ukombozi wa watz hautakuja leo wala kwsho bcoz - THE BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN!!

Ni afadhali kubaki na zimwi ulijualo kuliko shetani ambae hata sura yake huwezi ku-imagine!!!

Mkuu umewahi kujiuliza kwanini Uliacha Kunyonya?
 
Kwa mara ya kwanza tutashuhudia wote CCM na UKAWA wakikimbia mdahalo wa wagombea uraisi.

Wote watakwepa kuhojiwa moja kwa moja suala nyeti la ufisadi.....

Muda utatupa majibu

Yes hilo ni kweli mkuu
 
Wananchi wanataka jinamizi lililowanyonya miaka zaidi ya 50 litoke mengine yatafuata
 
Hatua ya kuitoa ccm madarakani utakuwa ni ujumbe mahususi kwa viongozi kutia akili kuwa nchi ni ya wananchi na wala siyo ya chama.

Wananchi wataongeza ufahamu wa haki zao kwenye swala la uongozi wa nchi.

ITAFUATA VITA YA MLINGANYO WA UCHUMI MIONGONI MWA RAIA.

I.e pension za wana taaluma ziwe kubwa kuliko za wananasiasa (Tumeona mwanataaluma mmoja tena msomi aliyebobea PROFESOR akinunuliwa kama parachichi)

tutapambana kurejesha hadhi ya taaluma ya UALIMU.

Tutapambana kuyapunguza madaraka makubwa ya kujiongezea mishahara wakurugenzi na makatibu wakuu

tutaweka kigingi kuwa posho yoyote isizidi asilimia 15 ya mshahara wa kima cha chini

N.k

Kitu ambacho hujui ni kuwa WANA UKAWA wamedhamiria kuleta mabadiliko na wanaamini hawawezi kufanya hivyo endapo system iliyopo ni mbovu kama ya CCM ambayo iko corrupted kuanzia juu mpaka chini, kwahiyo inawezekana CCM ikawa na watu wazuri lakini kwakua wako ndani ya mfumo mbovu, mfumo ule unawabadilisha

Ni sawa na kuchukua maji ya moto yaliyochemka 100○c uyaweke kwenye friji...baada ya muda nayo yatakua ya baridi..

Main agenda ni kubadili mfumo, na mfumo hauwezi kuondoka bila kuitoa CCM. ..ikiisha toka hapo ndipo tutaleta agenda nyingine mezani ambazo ni vipaumbele vyetu kama Elimu, afya, kupambana na umasikini nk
 
Baada ya kupata shida sana kwa muda sasa kuwaelewa wafuasi wa UKAWA/Lowasa mwishowe nimekuja kuwaelewa ni kwamba wao wanachokitaka Chama Cha Mapinduzi kiondoke madarakani na kinaondokaje na nani anakuja baada ya CCM kuondoka hilo kwao siyo muhimu ila cha muhimu tu CCM iondoke!

Kitu kilichokuwa kinanipa shida kuelewa ni kwamba ni kwanini maswali magumu hawataki kuyajibu? Maswali kama Je, kama CCM ndiyo mbaya iweje tena muwe tayari kuwaamini Watu wale wale waliokuwa CCM na wengine bado wapo wajibadilishe Jina nakujiita UKAWA badala ya CCM halafu mseme mnataka kuindoa CCM madarakani hamuoni kwamba mtakuwa mmefanya kazi bure?

Jibu la hili swali ni kwamba tutajua mbele kwa mbele cha muhimu CCM iondoke!

Sasa baada ya majibu kama haya basi nimeamua kuwaelewa na kutambua kwamba wana UKAWA wana Intelejensia ndogo na hamna kitu mtu utafanya kuwashawishi vinginevyo kwa maana hata hawako tayari kwa majadiliano yenye maswali mgumu!

Kwao haijalishi nani anakuja lkn Cha muhimu CCM Iondoke!

Sio kazi bure, itakua ni ishara nzuri kuelekea demokrasia ya kweli ya vyama vingi. Haina maana kusema kuna vyama vingi wakati chama kimoja pekee ndio kinaendelea kutalawa miaka yote, ni bora tujue tuna chama kimoja ili resources (kama pesa za ruzuku, watu wenye uwezo mkubwa wa kuongoza kutokua katika nafasi za juu za uongozi kisa wako vyama vya upinzani n.k) zisiendelee kupotea.

Pili uwiano wa wabunge wa chama tawala na wa vyama vya upinzani hauna uhalisia katika ushindani, kumaanisha kwamba ni kama tunapoteza muda kuwa na wabunge wa upinzani bungeni wakati wale wa chama tawala wanaweza kupitisha kitu chochote wanachokihitaji ukizingatia idadi yao. Bunge la katiba ni mfano mzuri wa kuelezea hoja yangu.

Kwa hizo hoja mbili tu, hiyo dhana ya kuwa wanapoteza muda ningependa kuipinga.
 
Mkuu wangu Mag3 Asante kwa somo zuri kuna watu wanadhani sisi tunaopambana kung'oa CCM tunapenda sana hao jamaa wa UKAWA hapana tunaweka mazingira ya watawala kutuheshimu sisi wananchi nasikitika hata watu tunaodhani wameelimika kdg bado wana mawazo mGANDO napitia kule Jukwaa la GT naona watu wazima wanavyojitoa ufahamu kujifanya wachambuzi mahiri kumbe ni uoga wa mabadiliko hakuna NCHI iliyoendelea kwa kuchagua chama kimoja miaka yote Lazima kila uchaguzi unapofika tuwahoji km walitudanganya tunawatoa Tukifikia hapo Nchi itasogea hakuna chama kits macho big any a kinahatimiliki nahii NCHI eti....wanaojifanya wameelimika wanakwambia sijui tufuate nini hakuna Huwezi kubadilisha mambo ikiwa CCM bado wanatawala
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom