Sasa nimeelewa hoja/shida ya wana-UKAWA

Sasa nimeelewa hoja/shida ya wana-UKAWA

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Baada ya kupata shida sana kwa muda sasa kuwaelewa wafuasi wa UKAWA/Lowasa mwishowe nimekuja kuwaelewa ni kwamba wao wanachokitaka Chama Cha Mapinduzi kiondoke madarakani na kinaondokaje na nani anakuja baada ya CCM kuondoka hilo kwao siyo muhimu ila cha muhimu tu CCM iondoke!

Kitu kilichokuwa kinanipa shida kuelewa ni kwamba ni kwanini maswali magumu hawataki kuyajibu? Maswali kama Je, kama CCM ndiyo mbaya iweje tena muwe tayari kuwaamini Watu wale wale waliokuwa CCM na wengine bado wapo wajibadilishe Jina nakujiita UKAWA badala ya CCM halafu mseme mnataka kuindoa CCM madarakani hamuoni kwamba mtakuwa mmefanya kazi bure?

Jibu la hili swali ni kwamba tutajua mbele kwa mbele cha muhimu CCM iondoke!

Sasa baada ya majibu kama haya basi nimeamua kuwaelewa na kutambua kwamba wana UKAWA wana Intelejensia ndogo na hamna kitu mtu utafanya kuwashawishi vinginevyo kwa maana hata hawako tayari kwa majadiliano yenye maswali mgumu!

Kwao haijalishi nani anakuja lkn Cha muhimu CCM Iondoke!
 
Watu wakugumu hata kufikiri. Watu ni hawahawa mil 45 waliko ccm na upinzani ili tupate mabadiliko utakuwa nwendawazimu ufikirie wapinzani wasichukue ex ccm members as if wako wengine labda kutoka mwezini. Ni sisi wenyewe hawa hawa na ni mwehu tu atawaza utapata watu toka mahali pengine. Acheni kuwaza kama mnalazimishwa
 
Kwa mara ya kwanza tutashuhudia wote CCM na UKAWA wakikimbia mdahalo wa wagombea uraisi.

Wote watakwepa kuhojiwa moja kwa moja suala nyeti la ufisadi.....

Muda utatupa majibu
 
Akili zako zimeishia hapo subiri uone time will tell mabadiliko ni sasa.
 
Yes,ccm iondoke kwanza!Win the war first and go back pick up the pieces!That's how its done!Kama na hawa wataendeleza yaleyale na wao tutapiga chini mpaka apatikane mtu sahihi,hakuna haja ya kuendelea kukumbatia chama kile kile kilichpoteza dira,tunataka mabadiliko!Chama kikiharibu kinapigwa chini
 
Kwa mara ya kwanza tutashuhudia wote CCM na UKAWA wakikimbia mdahalo wa wagombea uraisi.

Wote watakwepa kuhojiwa moja kwa moja suala nyeti la ufisadi.....

Muda utatupa majibu

Mwenye ushahidi aende mahakamani
 
Baada ya kupata shida sana kwa muda sasa kuwaelewa wafuasi wa UKAWA/Lowasa mwishowe nimekuja kuwaelewa ni kwamba wao wanachokitaka Chama Cha Mapinduzi kiondoke madarakani na kinaondokaje na nani anakuja baada ya CCM kuondoka hilo kwao siyo muhimu ila cha muhimu tu CCM iondoke!

Kitu kilichokuwa kinanipa shida kuelewa ni kwamba ni kwanini maswali magumu hawataki kuyajibu? Maswali kama Je, kama CCM ndiyo mbaya iweje tena muwe tayari kuwaamini Watu wale wale waliokuwa CCM na wengine bado wapo wajibadilishe Jina nakujiita UKAWA badala ya CCM halafu mseme mnataka kuindoa CCM madarakani hamuoni kwamba mtakuwa mmefanya kazi bure?

Jibu la hili swali ni kwamba tutajua mbele kwa mbele cha muhimu CCM iondoke!

Sasa baada ya majibu kama haya basi nimeamua kuwaelewa na kutambua kwamba wana UKAWA wana Intelejensia ndogo na hamna kitu mtu utafanya kuwashawishi vinginevyo kwa maana hata hawako tayari kwa majadiliano yenye maswali mgumu!

Kwao haijalishi nani anakuja lkn Cha muhimu CCM Iondoke!

Good observation.Na ndio maana hata majibu yao huku ndani ni ya ovyo ovyo..wanabaki kusema umamaliza? ...dawa inaingia... stupid comments. Hawako tayari kwa mjadala wowote...yaana hata ukiongea nao ukiwauliza watashindaje uchaguzi hawana mbinu wanabaki oooh suburi asubuhi. IT IS SUCH A DISGRACE TO BE AN UKAWA SUPPORTER.
 
tuanze kujibu hili kwanza. nini maana ya chama?

Wikipedia Inatoa maana ya Chama kama ifuatavyo;

,,Chama cha kisiasa ni maungano ya watu wanaotafuta mamlaka katika dola na hasa serikali kwa kusudi la kutekeleza shabaha za kisiasa au kifalsafa pamoja na faida kwa ajili vikundi fulani faida za binafsi".

 
Kwa mara ya kwanza tutashuhudia wote CCM na UKAWA wakikimbia mdahalo wa wagombea uraisi.

Wote watakwepa kuhojiwa moja kwa moja suala nyeti la ufisadi.....

Muda utatupa majibu

Nakuhakikishia kwa mara ya kwanza utaona mgombea wa Chadema/Ukawa anakimbia mdahalo wa urais.

Magufuli anauwezo wa kusimama na kujenga hoja kwenye podium sio Lowassa ambaye hawezi hata kutamka chadema, anatetemeka tu!
 
Good observation.Na ndio maana hata majibu yao huku ndani ni ya ovyo ovyo..wanabaki kusema umamaliza? ...dawa inaingia... stupid comments. Hawako tayari kwa mjadala wowote...yaana hata ukiongea nao ukiwauliza watashindaje uchaguzi hawana mbinu wanabaki oooh suburi asubuhi. IT IS SUCH A DISGRACE TO BE AN UKAWA SUPPORTER.

Mimi sio ukawa supporter ila siitaki CCM!
 
Good observation.Na ndio maana hata majibu yao huku ndani ni ya ovyo ovyo..wanabaki kusema umamaliza? ...dawa inaingia... stupid comments. Hawako tayari kwa mjadala wowote...yaana hata ukiongea nao ukiwauliza watashindaje uchaguzi hawana mbinu wanabaki oooh suburi asubuhi. IT IS SUCH A DISGRACE TO BE AN UKAWA SUPPORTER.
Subiri dawa ikuingie mkuu, mwaka mbaya kwako huu mpaka novemba tutaona matokeo ya matibabu ya afya yako, kama Mungu atakupenda zaidi wasalimie UNIP na KANU huko.
 
Nakuhakikishia kwa mara ya kwanza utaona mgombea wa Chadema/Ukawa anakimbia mdahalo wa urais.

Magufuli anauwezo wa kusimama na kujenga hoja kwenye podium sio Lowassa ambaye hawezi hata kutamka chadema, anatetemeka tu!

Time will tell.....
 
Mtoa post cjui umekula maharagwe ya juzi maana unajambamba tu hamna la maana katika post yako....
 
Barbarosa, kimsingi huo ndio ukweli weneywe kwamba sio tu ukawa ila wananchi wengi wamechoshwa na mfumo uliopo na wanachokihitaji kwa sasa ni kuona unaondolewa madarakani.

Nani alitegemea ukawa ingedumu hadi leo, nani alitegemea ukawa ingeendelea kua hai baada ya viongozi wa vyama viwili vinavyounda umoja huo kusua sua na wengine kujiuzulu ntazifa zao? Nani alitegemea baadhi ya vingozi na watu maarufu wangejiunga na ukawa na kusababisha hofu kwenye mfumo uliopo madarakani?

Uko sahihi kabisa kwamba wanachokitaka watu sasa hivi ni kuondoa mfumo uliopo kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Barbarosa, kimsingi huo ndio ukweli weneywe kwamba sio tu ukawa ila wananchi wengi wamechoshwa na mfumo uliopo na wanachokihitaji kwa sasa ni kuona unaondolewa madarakani.

Nani alitegemea ukawa ingedumu hadi leo, nani alitegemea ukawa ingeendelea kua hai baada ya viongozi wa vyama viwili vinavyounda umoja huo kusua sua na wengine kujiuzulu ntazifa zao? Nani alitegemea baadhi ya vingozi na watu maarufu wangejiunga na ukawa na kusababisha hofu kwenye mfumo uliopo madarakani?

Uko sahihi kabisa kwamba wanachokitaka watu sasa hivi ni kuondoa mfumo uliopo kwanza.

Kwa hiyo ni nini kinafwata hilo siyo muhimu? ila cha muhimu tu (kwa mujibu wa Lowasa/UKAWA) CCM iondoke kama nimekuelewa vizuri ndivyo ulivyomaanisha?
 
CCM Haina hati miliki ya ikulu na ubora wa mtu kwenda ikulu sio lazima haTOKE CCM
 
Good observation.Na ndio maana hata majibu yao huku ndani ni ya ovyo ovyo..wanabaki kusema umamaliza? ...dawa inaingia... stupid comments. Hawako tayari kwa mjadala wowote...yaana hata ukiongea nao ukiwauliza watashindaje uchaguzi hawana mbinu wanabaki oooh suburi asubuhi. IT IS SUCH A DISGRACE TO BE AN UKAWA SUPPORTER.

Kwanza wewe sema mtashindaje uchaguzi labda ndio gori la mkono nini . Tumeanza na Mungu tutamaliza na Mungu.
 
Back
Top Bottom