Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,837
Baada ya kupata shida sana kwa muda sasa kuwaelewa wafuasi wa UKAWA/Lowasa mwishowe nimekuja kuwaelewa ni kwamba wao wanachokitaka Chama Cha Mapinduzi kiondoke madarakani na kinaondokaje na nani anakuja baada ya CCM kuondoka hilo kwao siyo muhimu ila cha muhimu tu CCM iondoke!
Kitu kilichokuwa kinanipa shida kuelewa ni kwamba ni kwanini maswali magumu hawataki kuyajibu? Maswali kama Je, kama CCM ndiyo mbaya iweje tena muwe tayari kuwaamini Watu wale wale waliokuwa CCM na wengine bado wapo wajibadilishe Jina nakujiita UKAWA badala ya CCM halafu mseme mnataka kuindoa CCM madarakani hamuoni kwamba mtakuwa mmefanya kazi bure?
Jibu la hili swali ni kwamba tutajua mbele kwa mbele cha muhimu CCM iondoke!
Sasa baada ya majibu kama haya basi nimeamua kuwaelewa na kutambua kwamba wana UKAWA wana Intelejensia ndogo na hamna kitu mtu utafanya kuwashawishi vinginevyo kwa maana hata hawako tayari kwa majadiliano yenye maswali mgumu!
Kwao haijalishi nani anakuja lkn Cha muhimu CCM Iondoke!
Kitu kilichokuwa kinanipa shida kuelewa ni kwamba ni kwanini maswali magumu hawataki kuyajibu? Maswali kama Je, kama CCM ndiyo mbaya iweje tena muwe tayari kuwaamini Watu wale wale waliokuwa CCM na wengine bado wapo wajibadilishe Jina nakujiita UKAWA badala ya CCM halafu mseme mnataka kuindoa CCM madarakani hamuoni kwamba mtakuwa mmefanya kazi bure?
Jibu la hili swali ni kwamba tutajua mbele kwa mbele cha muhimu CCM iondoke!
Sasa baada ya majibu kama haya basi nimeamua kuwaelewa na kutambua kwamba wana UKAWA wana Intelejensia ndogo na hamna kitu mtu utafanya kuwashawishi vinginevyo kwa maana hata hawako tayari kwa majadiliano yenye maswali mgumu!
Kwao haijalishi nani anakuja lkn Cha muhimu CCM Iondoke!