naanza kuamini tetesi zinazodai kuwa kuna mpango wa kuinusuru CCM isimeguke uchaguzi ujao kwa kutenegeneza mazingira ya kumteua mtu ambaye ni neutral (PINDA) na kuwapiga chini wgombea wenye makundi yaani EL,MEMBE,SITTA.
kwa maana hiyo basi kwa sasa kuna uwili mtakatifu kati ya JK na PINDA, ambao umejificha katika utendaji wa serikali,
ndo maana ukiangalia sakata la Escrow limekaa ki mtandao JK-PINDA kwamba JK anaonekana kumuhusisha pinda ili ipatikane hela ya kampeni 2015, wakati huo jk atapiga mihela ya capacity charge kupitia PAP & SIMBa TRUST,
kuna issue nyingine imeibuka muda sio mrefu kwamba uwili huu unahusika na mpango wa kifisadi wa kuiuza TTCL kwa kampuni ya VIETEL ya vietenam kumbuka ziara ya juzi ya mkulu vietenamu
ukichunguza kwa jicho la kiinteligensia utaona kwamba JK amemshawish PINDA agombee uraisi 2015 ili alinde maslahi ya dili zake ambazo Pinda amehusika ili kubalance mambo,
inabidi pinda ajiulize mara 2,2 je anamwamini huyu kigeugeu, kama ameisha wageuka maswahiba zake karibu wote, je issue ikisanuka si yatakuwa kama ya richmond??? Tusubiri muda utaongea