Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,697
- 164,971
Sikuu chache zilizopita(haizidi week), mh.Zitto,alisema kuwa kashifa ya Tegeta Escrow account inaweza kumuangusha "tembo mkubwa".
Baada ya kauli ile,nilijiuliza swali moja tu,huyu tembo mkubwa ni nani?Baade nikajisemea(kwa uzoefu wa siku za nyuma) atakuwa ni PM wetu ingawa nilibaki na duku duku moyoni mwangu.
Hat hivyo,nashukuru leo nimepata jibu na dukuduku langu ambalo nilikuwa nalo, sasa limeisha, kwani leo nimepata jibu sahihi zaidi kuhusu huyu "tembo mkubwa" ni nani.
Kweli hakuna siri chini ya jua na siri ni ya mtu mmoja na si zaidi.
Ahsante Zitto japo uliniboa sana kuwaita viongozi wa UKAWA wasaka tonge.
Pia,shukrani @Yericko nyerere
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Baada ya kauli ile,nilijiuliza swali moja tu,huyu tembo mkubwa ni nani?Baade nikajisemea(kwa uzoefu wa siku za nyuma) atakuwa ni PM wetu ingawa nilibaki na duku duku moyoni mwangu.
Hat hivyo,nashukuru leo nimepata jibu na dukuduku langu ambalo nilikuwa nalo, sasa limeisha, kwani leo nimepata jibu sahihi zaidi kuhusu huyu "tembo mkubwa" ni nani.
Kweli hakuna siri chini ya jua na siri ni ya mtu mmoja na si zaidi.
Ahsante Zitto japo uliniboa sana kuwaita viongozi wa UKAWA wasaka tonge.
Pia,shukrani @Yericko nyerere
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Last edited by a moderator: