GedsellianTz
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 1,335
- 1,778
Katika uchunguzi wangu niliofanya nimegundua tatizo kubwa la nchi yetu kuwa nyuma kiuchumi na maendeleo ni sababu tulikuwa tunaongozwa na watu walio na elimu feki na vyeti feki, siasa na undugu vilitawala, watu wasio kuwa na sifa stahiki waliweza kukamata nyazifa mbalimbali katika serikali yetu na kuwaacha watu wenye ujuzi na waliosomea wakihangaika na kutafuta ajira kila kukicha, naimani kubwa toka mwanzo watu sahihi wangekamata nafasi sahihi walizotakiwa kushika tanzania ingekuwa ni nchi moja yenye utajiri wa hali ya juu.