Sasa ni dhahiri kwamba CHADEMA Digital yaanza kusambaratisha upande wa pili

Sijawahi kusikia kama kuna wakati wowote, Masiha Yesu Kristo au Mtume Mohamad, alikodi ukumbi ili kuwahubiria watu neno la Mungu.

Walitumia nyika, barabara, pembezoni mwa nyumba za ibada, na mara chache ndani ya nyumba za ibada. Lakini mpaka leo, ujumbe wao unaendelea kusambaa na kuishi.

CHADEMA, endeleeni kupiga kazi, iwe nyikani, barabarani, vichochoroni au kumbini, cha muhimu ni jukumu kuu linafanyika.
 
Amina
 
Ni kweli kaka, watu wameamua kusonga kidigitali - simu yako kadi yako
 
Mungu ibariki CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…