Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,110
Hapa ndipo Nchi nzuri ya Tanzania ilipofikishwa na Watu waoga walioshindwa hoja .
Taarifa inaonyesha kwamba Wamiliki wote wa kumbi za mikutano Mjini Kyela wamepewa onyo la kutowapa nafasi kwenye kumbi zao Chadema kwa ajili ya shughuli zao , Watakaokiuka onyo hilo watabambikwa kesi za uhujumu uchumi na utakakatishaji fedha .
Hata hivyo Wanachama wa Chadema Kyela imebidi wajichukulie nafasi kwenye Ukumbi wa Mungu mwenyezi , ambapo ni chini ya miti ili waendelee na mipango yao kufanya usajili kwa njia ya kisasa ya Chadema Digital
Mungu ibariki Chadema .
Taarifa inaonyesha kwamba Wamiliki wote wa kumbi za mikutano Mjini Kyela wamepewa onyo la kutowapa nafasi kwenye kumbi zao Chadema kwa ajili ya shughuli zao , Watakaokiuka onyo hilo watabambikwa kesi za uhujumu uchumi na utakakatishaji fedha .
Hata hivyo Wanachama wa Chadema Kyela imebidi wajichukulie nafasi kwenye Ukumbi wa Mungu mwenyezi , ambapo ni chini ya miti ili waendelee na mipango yao kufanya usajili kwa njia ya kisasa ya Chadema Digital
Mungu ibariki Chadema .