Sijawahi kusikia kama kuna wakati wowote, Masiha Yesu Kristo au Mtume Mohamad, alikodi ukumbi ili kuwahubiria watu neno la Mungu.
Walitumia nyika, barabara, pembezoni mwa nyumba za ibada, na mara chache ndani ya nyumba za ibada. Lakini mpaka leo, ujumbe wao unaendelea kusambaa na kuishi.
CHADEMA, endeleeni kupiga kazi, iwe nyikani, barabarani, vichochoroni au kumbini, cha muhimu ni jukumu kuu linafanyika.
Walitumia nyika, barabara, pembezoni mwa nyumba za ibada, na mara chache ndani ya nyumba za ibada. Lakini mpaka leo, ujumbe wao unaendelea kusambaa na kuishi.
CHADEMA, endeleeni kupiga kazi, iwe nyikani, barabarani, vichochoroni au kumbini, cha muhimu ni jukumu kuu linafanyika.