imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,039
Wale mchwa😂Nimeipenda sana the elite class within the system( kigogo 2014) hawa jamaa wamejipanga na kweli wanaenda kuuangusha mbuyu mwaka huu
Wale mchwa😂Nimeipenda sana the elite class within the system( kigogo 2014) hawa jamaa wamejipanga na kweli wanaenda kuuangusha mbuyu mwaka huu
Ni shidaah kwa kweli.Wale mchwa😂
Wananchi nao hawataki ujinga mwizi wa kura anaweza kuuwawaNi shidaah kwa kweli.
Wananchi nao hawataki ujinga mwizi wa kura anaweza kuuwawa
Msikilize Lema akiushtukia mchezoHawa jamaa wamekataliwa vibaya sana kwa kweli. Na wasijiroge kuiba kura au kubadiri matokeo kwa kweli, tutagawana mbao mwaka huu
Unawawekea link watu ili waingie muweze kuwahack na kuwajua??? Mtasubiri sana
Magufuli keshawekewa kura feki
Sema wewe na familia yako unawasemea watanzania wewe kama naniSisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Hapo sasa nimekuelewa pimbi weweHivi neno 'Pimbi' ni Tusi? Kumbe kuna 'Wapuuzi' huwa nikiwa 'ninawadharau' hapa Jamvini kwa 'Ujuha' wenu wa 'Kurithishwa' nao huwa siwakosei.
Sio Robert tu we fala hata mimi na ukoo wangu kura ni kwa Lissu tuu.Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Tena Mwambie ni watanzania wote wenye akili timamu ambao Tuko wengi sana kuliko wasio na akili timamu Kama yeye , tunampa kura zetu Tundu Antiphas Lissu!Sio Robert tu we fala hata mimi na ukoo wangu kura ni kwa Lissu tuu.
Na mbaya zaidi hizo kura feki wala hazitomsaidiaMagufuli keshawekewa kura feki
Tunawasihi watanzania kufuata sheria, kutofanya fujo wala kuharibu mali. Tuwe watulivu muda wote huku tukisimamia haki zetu. Tupige na kulinda kura zetu bila hofu wala woga wowote hii ni Haki zetu kisheria. Ukipiga kura kaa umbali wa mita 200 kutoka kituo cha kura. TUTASHINDA!Wameshatepeta hawa!! Kiuhalisia hawawezi kushinda , hata kwenye hila kuna elite class within the system imejipanga kuwa outsmart kwenye hila zao zote
we gonna prove you wrong hahahahahaSisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
waambie hao 2015 tu walishinda kwa wizi sembuse sasa hivi, na wanajua hawapendwiNakwambiaje Mark my words, CCM hawashindi uchaguzi wa wiki ijayo, iwe kihalali au kwa kuiba kura!
we gonna prove you wrong hahahahaha
tatizo mkwara wako unaishia kwenye keyboardHawa jamaa wamekataliwa vibaya sana kwa kweli. Na wasijiroge kuiba kura au kubadiri matokeo kwa kweli, tutagawana mbao mwaka huu